Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #21
....alafu bado watu wanabisha eti hakuna EVOLUTION! Siku itafika hatutahitaji wenza wakufanyanao tendo la kujamiiana, ukitaka mtoto unaenda kliniki unawekewa mbegu, kwa mwanamume unatoa mbegu wanakuuzia yai 'vinaunganishwa' unapewa tarehe ya kwenda kuchukua kichanga chako.
Kaka mimi sikupi leseni ya kuuza hivyo viungo. ukae ukilijua kabisa.