Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
nahisi at a kunywa maji mengi inasababisha wanakuwa weupe
Wengine mpaka Maji ya Betri wanatumiaKuna jangili la kichina linaitwa carolight+ maji yake nahisi huyu ndo anawamaliza
Duh...Black is beautiful.....lakini wazungu wametutawala mpaka akili zetu na kutuletea 'mikorogo' na 'kubambua' (hivi hili neno ni la Kiswahili kweli???) ngozi zetu ili tuwe kama wazungu....Kwa hakika utumiaji wa 'mikorogo' ni ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, lakini taasisi zetu za haki za binadamu kamwe hutasikia wakilizungumzia hilo...ila nina hakika na jambo moja: siku ikitokea kwa kuanzishwa operesheni ya kutokomeza 'mikorogo' zile taasisi za haki za binadamu zitajitokeza na kupinga operesheni ya aina hiyo....
kama huyo itabidi atumie maji ya betriWengine mpaka Maji ya Betri wanatumia
Kuna jangili la kichina linaitwa carolight+ maji yake nahisi huyu ndo anawamaliza
ahaha ray?nahisi at a kunywa maji mengi inasababisha wanakuwa weupe
nimerejea maneno ya bongo muvi mmoja hivi
ahahaha hamna jinsi .Itafikiwa wakati tutahitaji kwenda kuwaona jumba la makumbusho, tena kwa kiingilio cha maana.
Weusi wanasmell ngoziHakuna mademu ninao waelewa kama mablack aisee, siku wakija potea wote sijui nitafanyaje