BIASHARA YA MAFUTA ITAIFISHWE MARA MOJA
KIONGOZI MKUU wa mgomo wa vituo vya mafuta inavyoelekea ni OILCOM ambao walianza kuficha mafuta ya peteroli kuanzia mwishoni mwa mwaka jana.
Sasa ni Watanzania vs Wauza Mafuta. Zao au zetu. Iweje Marekani bei ya mafuta imeshuka toka dola 4 kwa lita hadi kufikia dola 0.50 na sisi tukubali kufanywa mabwege tu katika nchi yetu tena na wahamiaji na watu wengine wa kupita tuU!
Ushauri wangu kwa serikali ni kwamba TUTAIFISHE BIASHARA YA MAFUTA UPYA mbona Warussi wameondokana na upuuzi huu na maisha yao yanakwenda kama kawaida.
Tumewapa watu binafsi nafasi lakini wanajifanya kichwa ngumu.
Rais Kikwete na CCM kwa faida yenu na ya Watanzania tafadhali taifisheni BIASHARA YA MAFUTA TANZANIA maana ni WIIIIIZI MTUUUUPU!
KIONGOZI MKUU wa mgomo wa vituo vya mafuta inavyoelekea ni OILCOM ambao walianza kuficha mafuta ya peteroli kuanzia mwishoni mwa mwaka jana.
Sasa ni Watanzania vs Wauza Mafuta. Zao au zetu. Iweje Marekani bei ya mafuta imeshuka toka dola 4 kwa lita hadi kufikia dola 0.50 na sisi tukubali kufanywa mabwege tu katika nchi yetu tena na wahamiaji na watu wengine wa kupita tuU!
Ushauri wangu kwa serikali ni kwamba TUTAIFISHE BIASHARA YA MAFUTA UPYA mbona Warussi wameondokana na upuuzi huu na maisha yao yanakwenda kama kawaida.
Tumewapa watu binafsi nafasi lakini wanajifanya kichwa ngumu.
Rais Kikwete na CCM kwa faida yenu na ya Watanzania tafadhali taifisheni BIASHARA YA MAFUTA TANZANIA maana ni WIIIIIZI MTUUUUPU!