Vituko vya waajiriwa wapya maofisini

Huko ndo mwake Bossman.

Amini ninachokwambia.

Cha msingi ni kuhakikisha tu unazi maintain kwa kiwango kizuri ili kuongeza equity.

Kuna wakati inafika mtu unajisemea tu mwenyewe moyoni 'duh mbona hizi hela zinaingia kirahisi hivi'....hahahaaa.

Mimi biashara sijui za maduka au zile zinazohitaji usimamizi wa kila siku siziwezi kwa kweli.

Wajanja wengi mno na mwisho wa siku faida inayoingia ni ndogo sana.

Kwenye real estate hata mtu kukuibia ni vigumu. Atakuibiaje wakati mmeingia makubaliano ya kimkataba na anakulipa kila baada ya miezi 6?

Tena nyakati hizi za Magufuli,,,,kila biashara in stress mpya tele
bora real estate tu...

nakuja slowly....soon ntakuwa better place...
 
Sio watanzania wote tafadhali ututake radhi sisi wengine.. Tupo kwenye ajira mpya tunapiga kazi hazi usiku// weekend bila hata kudai overtime!!!!
 
Inafahamika kazi siku hizi ni ngumu kupata
ajabu hao wachache wanao bahatika kupata hawaishiwi kufanya vituko maofisini

nidhamu hakuna

mara mtu asije tu kaziini bila taarifa

mwingine aje kwa mda anaoutaka

mwingine aombe ruhusa kila mara.....

kiukweli maofisi meengi hawa waajiriwa wapya ni 'gumzo'

wengine wengi wakifukuzwa mapema sana

Sijui hili tatizo ni kubwa sana kwenye ajira
Wengi hawapendi kazi walizonazo ila wanafanya sababu wanashida.
 
Mwingine anatuma sms saa tatu asubuhi

"leo nitachelewa kuja ofisini ninafua kidogo"

Ukitaka uone ni jinsi gani Watanzania tulivyo na ethics mbovu za kazi jaribu kwenda kwenye ofisi mbalimbali kufuatilia suala kama la haki zako flani flani...

Utazungushwa bila hata sababu za msingi...huko kwenye maofisi ukienda utajionea jinsi watumishi walivyo na attitude mbaya.

Unaweza kuambiwa ukae kwenye benchi usubiri huko huyo unayemsubiri anapiga umbea na watumishi wenzie.

Mtu unaweza ukajikuta unaanzisha sokomoko kwenye maofisi ya watu hivi hivi.

Huwa kuna maudhi mengi sana.
 
Ukitaka uone ni jinsi gani Watanzania tulivyo na ethics mbovu za kazi jaribu kwenda kwenye ofisi mbalimbali kufuatilia suala kama la haki zako flani flani...

Utazungushwa bila hata sababu za msingi...huko kwenye maofisi ukienda utajionea jinsi watumishi walivyo na attitude mbaya.

Unaweza kuambiwa ukae kwenye benchi usubiri huko huyo unayemsubiri anapiga umbea na watumishi wenzie.

Mtu unaweza ukajikuta unaanzisha sokomoko kwenye maofisi ya watu hivi hivi.

Huwa kuna maudhi mengi sana.


Sipendagi kwenda Police,Mahakama,NSSF,Halmashauri na kadhalika

siku moja nipo Police....nimeibiwa nimevunjiwa vitu
na baadhi ya vitu vilivyo dondoka nje nimeviacha ili nisiharibu uchunguzi
nafika police ....anaetakiwa kuongozana na mimi kwa uchunguzi
yuko busyy kununua vitu vya wamachinga wanavyopitisha maofisini

nilitamani niwazabe vibao kituo kizima
 
Ila upande fulani Kuna ukweli kwa mbaliii.. Mfano wakurugenz wengi (Maded).. Tena wapya walipo ripoti tu waliomba ruhusa.. Kurudi majumbani mwao, tena wengine sio Kuna jambo waenda kufanya.. Kwenda tu home.. Wengi walirudi majumbani mwao.. Kisingizio ruhusa ni Haki yangu
Sababu sio msiba tu yani tuna vi excuse visivoisha ilmradi tu uvivu
 
Sipendagi kwenda Police,Mahakama,NSSF,Halmashauri na kadhalika

siku moja nipo Police....nimeibiwa nimevunjiwa vitu
na baadhi ya vitu vilivyo dondoka nje nimeviacha ili nisiharibu uchunguzi
nafika police ....anaetakiwa kuongozana na mimi kwa uchunguzi
yuko busyy kununua vitu vya wamachinga wanavyopitisha maofisini

nilitamani niwazabe vibao kituo kizima

NSSF, mahakamani, na huko kwenye halmashauri sipapendi kabisa.

Halafu sijui kwa Dar kuna unafuu kidogo..

Huko mikoani ni balaa.

Mwezi jana nilienda kulipia kodi ya kiwanja na jengo bomani [mkoani huko]...aisee nilizunguka.

Mara unaambiwa sijui nenda ofisi gani...huko ndo utalipia halafu uje na risiti yako hapa na sisi tutakupa sijui karatasi gani ambayo utaipeleka kwenye ofisi nyingine.

Nimeenda kulipia, narudi Bomani ili nipewe hiyo karatasi...naambiwa eti kitabu kimeisha mpaka waletewe kipya.

Kwa hiyo nirudi siku ingine. Nawauliza lini...eti hawajui. Wananambia nijaribu kesho kutwa yake.

Halafu watu wenyewe ukiwaangalia na jinsi vile wanavyoongea...wanakuonyesha kabisa hawako serious na kazi zao.
 
hahahaaaa!!kumbe je!full kujiachia na mshahara unaukuta pia!
Ila kuna wengine wanazidi asee....
Kuna Madame mmoja bwana eeeh huyo kiboko nadhani kikao cha mwisho wa mwaka nitatoa maoni atoke kwenye darasa la mtihani make too much, leo anaumwa, kesho mtoto anaumwa, kesho kutwa anaenda kupima miwani, siku inayofata kaitwa kikao cha shule kwa mwanae wanafunzi hawafundishi huku ni kufelisha watoto asee mie nakwazika kwa hilo, japo namie huwa nachomoka chomoka ila dhamira inanisuta nisipofundisha nitafanya tu namna kucover!!! Unoko loading....
 
Ila kuna wengine wanazidi asee....
Kuna Madame mmoja bwana eeeh huyo kiboko nadhani kikao cha mwisho wa mwaka nitatoa maoni atoke kwenye darasa la mtihani make too much, leo anaumwa, kesho mtoto anaumwa, kesho kutwa anaenda kupima miwani, siku inayofata kaitwa kikao cha shule kwa mwanae wanafunzi hawafundishi huku ni kufelisha watoto asee mie nakwazika kwa hilo, japo namie huwa nachomoka chomoka ila dhamira inanisuta nisipofundisha nitafanya tu namna kucover!!! Unoko loading....
hahahaaaa!mikoani Mna raha sana yani angekua dar Huyo angejutaa!
Sie kipindi Niko mkoa kuna madam alikuaga hvyo hvyo then darasa la mitihani wee!watoto wanalalamika balaa,kila mwaka yy martenity yaani ana vurugu balaa!!

Basi utoro wangu bwana necta nkwa 3345huko kwa somo langu duuh nliumia sana!

Sasa nikawa na form two geography nkasema hawa lazima nife nao!nilikomaa nikitega wiki,Siku nikija nafundishaaa mpk j1 au jumapili jioni wanaotaka!!wee Mungu akaniona bwana form four Somo langu likafanya vizuri!
Nikahama na historia yangu ya kufelisha na kufaulisha sana!

Huku nliko weee acha tunapiga kazi kama private jamani Ila watoto!!majangaaa
 
NSSF, mahakamani, na huko kwenye halmashauri sipapendi kabisa.

Halafu sijui kwa Dar kuna unafuu kidogo..

Huko mikoani ni balaa.

Mwezi jana nilienda kulipia kodi ya kiwanja na jengo bomani [mkoani huko]...aisee nilizunguka.

Mara unaambiwa sijui nenda ofisi gani...huko ndo utalipia halafu uje na risiti yako hapa na sisi tutakupa sijui karatasi gani ambayo utaipeleka kwenye ofisi nyingine.

Nimeenda kulipia, narudi Bomani ili nipewe hiyo karatasi...naambiwa eti kitabu kimeisha mpaka waletewe kipya.

Kwa hiyo nirudi siku ingine. Nawauliza lini...eti hawajui. Wananambia nijaribu kesho kutwa yake.

Halafu watu wenyewe ukiwaangalia na jinsi vile wanavyoongea...wanakuonyesha kabisa hawako serious na kazi zao.
Serikalini ndo kulivyo kaka hakuna kujituma,ukijituma watakufanyia majunguu,ujutee!!
 
La kwetu ni la zaidi
labda malezi au culture.....

mtu anakulilia mno umpe kibarua
unampa kibarua leo.kesho haji na simu hapokei...

Naam, mojawapo ni hilo la malezi, linaanzia kwenye mfumo wa elimu ya Tanzania, unajaza sana watu ujinga badala ya kuwafundisha ya maana, hiyo hiyo inasababisha hata malezi yanakuwa mabovu kwani wanaowalea pia wengi wao walishajazwa ujinga.
 
Nadhani Tanzania inahitaji system za kufanya kazi kama nchi za Ulaya na America, unapofika kazini uwe una SIGN IN na kutoka kuwe na ku SIGN OUT. Pia kuwekwe system ya points ukikosa kufika kazini au kuondoka mapema kazini iwe mtu anapata point. na zikifika 12 kazi anapoteza lakini kwa hivi tunavyokwenda serikali itapata hasara milele.
Apprasal sysytem pia itasaidia, kila mwaka ukae na supervisor/manager wako aangalie perfomance yake ya mwaka mzima, kama ni mbovu usipate increment. Lazima aangalie uwezo wako wa kufanya yaliyo kwenye employment contract yako kila mwaka. Hicho pia kiwe kigezo kwa nafasi za kusoma kuongeza ujuzi.
 
Makampuni na taasis nyingi hawana utaratibu mzuri wa induction wakati wanapofanya ajira mpya.hili nimeliona hata kwetu na matatizo ni mengi kubwa zaidi ni kutokujua chain of commands na taratibu zinazoendesha ofisi.ni tatizo la kiutawala zaidi
 
Back
Top Bottom