The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Inafahamika kazi siku hizi ni ngumu kupata
ajabu hao wachache wanao bahatika kupata hawaishiwi kufanya vituko maofisini
nidhamu hakuna
mara mtu asije tu kaziini bila taarifa
mwingine aje kwa mda anaoutaka
mwingine aombe ruhusa kila mara.....
kiukweli maofisi meengi hawa waajiriwa wapya ni 'gumzo'
wengine wengi wakifukuzwa mapema sana
Sijui hili tatizo ni kubwa sana kwenye ajira
ajabu hao wachache wanao bahatika kupata hawaishiwi kufanya vituko maofisini
nidhamu hakuna
mara mtu asije tu kaziini bila taarifa
mwingine aje kwa mda anaoutaka
mwingine aombe ruhusa kila mara.....
kiukweli maofisi meengi hawa waajiriwa wapya ni 'gumzo'
wengine wengi wakifukuzwa mapema sana
Sijui hili tatizo ni kubwa sana kwenye ajira