Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Hapa sijaelewa kinachoendelea. CCM sio kwamba wanafanya kampeni ya kwelikweli jamani? Ahadi zinazosemwa haziwahusu wanaccm peke yao, kwani bahari inayoahidiwa kupelekwa jimboni kalenga watavua pweza waliomo mle wanaccm peke yao? Message is being sent everyday and is perfectly delivered. Wapinzani wa CCM wakifanya kama wafanyavyo wanaccm kweli wataachiwa?