Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
kuna taarifa hapa kupitia ITV kuwa kuna gari moja ambalo linasemekana ni la ccm na jingine la chadema yamepita yakifukuzana, huku gari lililokuwa likifukuzwa likisemekana ni la ccm,
na kuna taarifa kuwa kwenye baadhi ya vituo kura zilizokuwa zikijaribu kupenyezwa zimekamatwa na makada wa chadema ambao wako doria.
pia kuna taarifa kuwa kuna waandishi wa habari wamepata ajali na wapo hospitali kwa sasa, walikuwa katika harakati za kutafuta habari.
na kuna taarifa kuwa kwenye baadhi ya vituo kura zilizokuwa zikijaribu kupenyezwa zimekamatwa na makada wa chadema ambao wako doria.
pia kuna taarifa kuwa kuna waandishi wa habari wamepata ajali na wapo hospitali kwa sasa, walikuwa katika harakati za kutafuta habari.