Vituko vya ndoa Jamani

Usimwachishe kazi.Kosa ulilifanya wakati wa uchumba wenu ulijiweka katika uwezo ambao hutaumudu baada ya ndoa.Toka mwanzo ungemzoesha kuchangia gharama.Hata hivyo hujachelewa endelea kuzungumza nae kuhusu hilo atabadilika tu badae.
 
Mkuu lazima huyo mkeo umuelimishe aachane na fikra za misemo ya kichovu eti fedha ya mke ni yake na ya kwako ni yenu huo ni uupuuzi ambao utawarudisha nyuma maishani na utajuta milele. Lazima mpange jinsi ya kusaidiana gharama ili kufikia malengo katika maisha yenu. Kamwe msihalalishe uonevu kwa wanaume ama wanawake kwa kutumia vijimsemo vya kibabu wee.
 
bado kuna mwanamke dunia hii ya leo unaweza kumuachisha kazi kirahic rahic tu?.....

Wanaachishwa sana tena. Na wengine wanazuiwa kabisa kufanya kazi. Kuna wadada 2, wana Master degrees na wamezuiwa kunyanyua mguu kutafuta kazi.

halafu wanaachishwaje kazi? simpaka apende mwenyewe...

Hapana dada. Kila ndoa ni taifa huru. Kwa hiyo usidhani wote wanaishi kama nyie. Wapo akina mama pamoja na kukata shule wanalazwa chini na kutandikwa viboko kwa makosa ya kipuuzi kama kuvunja chupa ya chai.

Hata hivyo mimi sipendi tabia za namna hiyo. Mama akiwa huru familia inakuwa na amani zaidi. Na uhuru ni pamoja na kufanya kazi na kuwa na uhuru wa kuamua jinsi ya kutumia mapato yake. Hata hivyo inabidi aangalie mipango mizima ya maendeleao ya familia kwa ujumla!
 
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!
usichukue jukumu la kumwachisha kazi, vitu vingine katika ndoa ni kulekezana na kufundishana tena kwa upole na amani mkitawaliwa na furaha, tena usionekane kuwa unaumia kwa jinsi anavyokufanyia, onesha upendo zaidi kwake, huku ukiwa unaruhusu hali kutaka kuiweka ndoa yenu kwenye mstari wa kufundishana, wewe ndiyo baba, usiwe mtawala wa fikra zake bali uwe msaada pale anapoenda kinyume na ile kauli mbiu ndoa ni kusaidiana
 
Ulitaka usaidiweje; tuulize tunaogharamia kila kitu tukueleze huko badget yake ni kubwa kiasi gani? Inawezekana umemwendea kwa kwa ubabe without reasoning! jaribu kujenga daraja mwache yeye akujie wewe na usiwe na haraka atachoka huyo !
Mkuu nikiangalia comments zako nyingi napata picha kwamba you have a "perfect" lady for you but remember this does not mean that every woman is perfect for the guyz who have them. Kwa hiyo sometimes inawezekana kabisa mke akawa na matatizo na haina maana kwamba mtu anapoleta tatizo basi hajajaribu kuongea na mwandani wake. Kuna watu wengine mkuu ni watata sana yaani ni vichwa ngumu kama nazi, unaweza kujaribu kuongea naye mwaka mzima lakini mwendo ni uleule tu.
 
Utamwachshaje kazi? how? yani asomeshwe yeye na wazazi wake wewe uje umwachishe kazi lol? vunja ukimya kaka, ongea na mkeo.
Carmel bwana umenifurahisha sana. Hivi unaishi wapi, ina maana huoni jinsi wanaume wanavyowaachisha kazi wake zao???????? Haya mambo yapo na yanatokea sana tu.
 
Wanaachishwa sana tena. Na wengine wanazuiwa kabisa kufanya kazi. Kuna wadada 2, wana Master degrees na wamezuiwa kunyanyua mguu kutafuta kazi.



Hapana dada. Kila ndoa ni taifa huru. Kwa hiyo usidhani wote wanaishi kama nyie. Wapo akina mama pamoja na kukata shule wanalazwa chini na kutandikwa viboko kwa makosa ya kipuuzi kama kuvunja chupa ya chai.

Hata hivyo mimi sipendi tabia za namna hiyo. Mama akiwa huru familia inakuwa na amani zaidi. Na uhuru ni pamoja na kufanya kazi na kuwa na uhuru wa kuamua jinsi ya kutumia mapato yake. Hata hivyo inabidi aangalie mipango mizima ya maendeleao ya familia kwa ujumla!

Haya lakini nahao wanawake wamekubali kulazwa chini na kutandikwa viboko.... I mean wamekubali kuachishwa kazi na kutandikwa viboko na kuwa humiliated... kitu ambacho mie siwezi kukubali....
 
Ukisikia mwanzo wa ndoa kuvunjika ndio huu.
WANAUME mmeambiwa muishi na wake zenu kwa "akili'

kabisa kabisa, mie nililetewa za kuleta mwanaume hakuamni nilipomuambia kuliko niache kazi ni bora tutengane/tuachane.....yaani niache kazi halafu iweje?...mama mkwe amenisumbuaga sana.
 
Haya lakini nahao wanawake wamekubali kulazwa chini na kutandikwa viboko.... I mean wamekubali kuachishwa kazi na kutandikwa viboko na kuwa humiliated... kitu ambacho mie siwezi kukubali....

kuna ndoa eeehh, kha mbona tabu hizi jamani.
 
Usimwachishe kazi.Kosa ulilifanya wakati wa uchumba wenu ulijiweka katika uwezo ambao hutaumudu baada ya ndoa.Toka mwanzo ungemzoesha kuchangia gharama.Hata hivyo hujachelewa endelea kuzungumza nae kuhusu hilo atabadilika tu badae.
Point taken. Unajua ss vidume wakati wa kufukuzia demu saa nyingine huwa tunafanya mambo ya ajabu sana.
Nimekupa na thanks hapo juu.
The Following User Says Thank You to Charity For This Useful Post:

Da Womanizer (Today)

Halafu hiyo location yako nimeipenda (sorry off topic)
(Ni-PM tuiongelee vizuri)
 
Wanaachishwa sana tena. Na wengine wanazuiwa kabisa kufanya kazi. Kuna wadada 2, wana Master degrees na wamezuiwa kunyanyua mguu kutafuta kazi.



Hapana dada. Kila ndoa ni taifa huru. Kwa hiyo usidhani wote wanaishi kama nyie. Wapo akina mama pamoja na kukata shule wanalazwa chini na kutandikwa viboko kwa makosa ya kipuuzi kama kuvunja chupa ya chai.

Hata hivyo mimi sipendi tabia za namna hiyo. Mama akiwa huru familia inakuwa na amani zaidi. Na uhuru ni pamoja na kufanya kazi na kuwa na uhuru wa kuamua jinsi ya kutumia mapato yake. Hata hivyo inabidi aangalie mipango mizima ya maendeleao ya familia kwa ujumla!

Watu wengine wana tabia mbaya, hasa hiyo shule mwenzake kasoma ili akae nyumbani? Ila vitu vingine nafikiri hata hao wadada wenyewe labda maisha yao tambarare! Sisi wengine tuna watu wanatutegemea kibao, ambao waume zetu wanakijausha kama hawawaoni, so inabidi tuwakwamue. Sasa, kwenye hayo majadiliano ya kuachishana kazi, tuanze na kuulizana, je akina fulani na fulani utawaweka kwenye list yako ya kuwaendeleza kimasomo?
 
Wanaachishwa sana tena. Na wengine wanazuiwa kabisa kufanya kazi. Kuna wadada 2, wana Master degrees na wamezuiwa kunyanyua mguu kutafuta kazi.



Hapana dada. Kila ndoa ni taifa huru. Kwa hiyo usidhani wote wanaishi kama nyie. Wapo akina mama pamoja na kukata shule wanalazwa chini na kutandikwa viboko kwa makosa ya kipuuzi kama kuvunja chupa ya chai.

Hata hivyo mimi sipendi tabia za namna hiyo. Mama akiwa huru familia inakuwa na amani zaidi. Na uhuru ni pamoja na kufanya kazi na kuwa na uhuru wa kuamua jinsi ya kutumia mapato yake. Hata hivyo inabidi aangalie mipango mizima ya maendeleao ya familia kwa ujumla!


Do

Dark City hiyo ni sawa na UTUMWA KAMILI!

Hiyo si ndoa tena ni kitu kingine kabisaaaa!
 
Watu wengine wana tabia mbaya, hasa hiyo shule mwenzake kasoma ili akae nyumbani? Ila vitu vingine nafikiri hata hao wadada wenyewe labda maisha yao tambarare! Sisi wengine tuna watu wanatutegemea kibao, ambao waume zetu wanakijausha kama hawawaoni, so inabidi tuwakwamue. Sasa, kwenye hayo majadiliano ya kuachishana kazi, tuanze na kuulizana, je akina fulani na fulani utawaweka kwenye list yako ya kuwaendeleza kimasomo?

atakukubalia kwa wakati huo coz ana nia zake, ukishaacha yatatimizwa?...kwanza kwanini mtu uache kazi jamani....
 
Ukisikia mwanzo wa ndoa kuvunjika ndio huu.
WANAUME mmeambiwa muishi na wake zenu kwa "akili'

sio ndio hayo sasa " you take it or leave it" ....

Money is major issue that can really undo a marriage, and it is important to have a serious money talk b4 entering the wed locks... ni bora kukubaliana kabla ya kuoana, kama mtakubali ku wa na joint account or not,,, to share responsibilities or not... kuna watu wanaamini kama 1+1= 1 ; nakuna watu wanaoamini 1+1=2
 
Simple -

1. Jaribu ku-bana matumizi hapo ndani kwenu (mkate bila blue band: wali maharage: soda marufuku: e.t.c) then she will always "fill the vaccum"

2. Chukua likizo ya siku 14 halfu mtaarifu mkeo umesimamishwa kazi indefinitely - usitoke ndani kabisa : then utaona umuhimu wa pato lake
 
Back
Top Bottom