ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 908
- 604
Baada ya mbwa wa mourinho kupewa mimba na mbwa wa sergio ramos(beki wa madrid) katika mazingira ya utata,mourinho alimlaumu sana mkewe.Mourinho akamwambia mkewe;"kama mbwa wetu ambaye ni mlinzi wetu kapewa mimba basi na huyu binti yetu hana muda mrefu naye atapewa mimba kiurahisi kabisa".