Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,284
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nikisikia visa na vituko mbalimbali vya golikipa maarufu wa yanga na taifa stars Juma Pondamali.
Nasikia amewahi kuudaka mpira na kuuficha watu wakabaki wanashindwa kuelewa ni goli limeingia au la...
Pia nimeshawahi kusikia amewahi kuudaka mpira kisha akamrushia kwa makusudi adui, adui alipopiga akadaka kisha akamrushia tena...
Je hivi visa ni vya kweli, au ndio yalikuwa magirini ya kitoto?
Kama ni kweli naomba nijulishwe pia nipewe habari zake zaidi kwani amekuwa ni kivutio kikubwa sana kwani alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana.
Nasikia amewahi kuudaka mpira na kuuficha watu wakabaki wanashindwa kuelewa ni goli limeingia au la...
Pia nimeshawahi kusikia amewahi kuudaka mpira kisha akamrushia kwa makusudi adui, adui alipopiga akadaka kisha akamrushia tena...
Je hivi visa ni vya kweli, au ndio yalikuwa magirini ya kitoto?
Kama ni kweli naomba nijulishwe pia nipewe habari zake zaidi kwani amekuwa ni kivutio kikubwa sana kwani alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana.