Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,447
Nakumbuka Wakati Richard aliposhinda BBA miaka michache iliyopita, kuna vimbelembele(soma viongozi) kutoka CCM walidai kuwa ushindi huo ulikuwa ni matokeo ya sera nzuri za CCM katika kuendeleza utamaduni na michezo. Hiyo ilikuwa ni licha ya aibu alizofanya Rich akiwa BBA na bi Tatiana kutoka Malawi.
Majuzi mshiriki kutoke TZ, Bhoke amerudi na zigo la aibu, alichokifanya na yule kijana kutoka Uganda kinafahamika na kila mwenye kufatilia matukio.
Sijasikia comments za viongozi wa CCM (au wameshughulishwa na tishio la kufutwa kwa posho?) wakieleza kuwa aibu hii ni matokeo ya nini, kushindwa kwa sera au ni vipi?
CCM mpo, tuelezeni basi, mbona kimya??? au mnasubiri kudandia treni kwa mbele???? Maana siku hizi huwa mnasubiri suprise mkurupuke na hoja mfu!!!!! always behind the time!!!! shame!!!
Majuzi mshiriki kutoke TZ, Bhoke amerudi na zigo la aibu, alichokifanya na yule kijana kutoka Uganda kinafahamika na kila mwenye kufatilia matukio.
Sijasikia comments za viongozi wa CCM (au wameshughulishwa na tishio la kufutwa kwa posho?) wakieleza kuwa aibu hii ni matokeo ya nini, kushindwa kwa sera au ni vipi?
CCM mpo, tuelezeni basi, mbona kimya??? au mnasubiri kudandia treni kwa mbele???? Maana siku hizi huwa mnasubiri suprise mkurupuke na hoja mfu!!!!! always behind the time!!!! shame!!!