Mazingira
JF-Expert Member
- May 31, 2009
- 1,833
- 298
mmmh hizo ndo zao mm niliganda moshi last week for 5hrs,wanasema ndege haijatoka dar,kumbe ipo kia haina mafuta!I HATE THEM
Yaani sijui kwanini mashirika yetu ya ndege ni waongo hivyo. Hivi majuzi nilikuwa nasafiri na Precision Air na makubaliano yangu na wao kuwa nasafiri na Boeing. Siku ilipofika tukaambiwa Boeing ni mbovu tukapanda ATR kumbe Boeing ni nzima inafanya safari za Nairobi. Jamaa mmoja alikuwa ana tiketi ya business class akabaki kulalamika tu maana kwenye ATR hakuna cha business class.