vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
mkuu duuu hii balaaa :focus:
ebwanaeeee nlijua umetusi ...... ehehehe
mkuu duuu hii balaaa :focus:
1. Ukibikiri, huyo ni wako tu, hata miaka mia ikipita.
2. Ukimkubali mtu inakuwa siri yako moyoni, ikimkataa unatangaza mji mzima
3. Unaye mpenda hakupendi, usiyempenda ndo kakuganda
hebu na wewe mwaga yako moja
Mademu wanapenda sana watu wenye sura ngumu kuliko mahendsam
kweli kdg lakin
hahaha,,,,MKIRUA pale kwenu pakame kweli ndugu yanguMijanaume ndivyo ilivyo ukishalivulia nguo basi linakuona huna maana tena....lol ...apo mtu kaachwa njia panda.
Mademu wanapenda sana watu wenye sura ngumu kuliko mahendsamu
1. Ukibikiri, huyo ni wako tu, hata miaka mia ikipita.
2. Ukimkubali mtu inakuwa siri yako moyoni, ikimkataa unatangaza mji mzima
3. Unaye mpenda hakupendi, usiyempenda ndo kakuganda
hebu na wewe mwaga yako moja
Wawili kati yao kwa nyakati tofauti waliniambia kuwa I'll always live in them hata kama wakiolewa but still nitakuwa na nafasi ndani ya mioyo yao. Tatizo wangu wa sasa nilimkuta TAYARI, sijui naye alimwambia hivo mtu wake wa kwanza:doh:
Mijanaume ndivyo ilivyo ukishalivulia nguo basi linakuona huna maana tena....lol ...apo mtu kaachwa njia panda.
Mademu wanapenda sana watu wenye sura ngumu kuliko mahendsamu
4. Ukimwambia ukweli ana sema muongo , ukimdanganya anaamini
nmeipenda ya kumuita fundi majeneza
ziko sababu nyingi...moja kutokukidhi matarajio...Hapa ndio huwa sipati jibu, kwanini huwa wanakumimina.
4. Ukimwambia ukweli ana sema muongo , ukimdanganya anaamini
very true!wanaume warembo hua hawanivutii hata kidogo!