Vituko mahakamani: Kesi ya waliogomea sensa, Hakimu awa mdhamini wa washitakiwa

umenifurahisha sana...saizi kuna watu akili zao hazifany kazi vizuri..kila kitu lazima CDM itajwe...
ila ndo akili za kukulia muhogo hizo...
 
Mkuu mbona unakuwa kipofu?

Hujasikia kuna walimu wameondolewa kwenye zoezi la ukarani kwa kuwa walishiriki mgomo?
Hujasikia taarifa za ubadhirifu, watu hawajalipwa posho zao?
Hujasikia idadi kuwa ya watu hadi leo hawajawaona hao so called makarani?
Hujasikia kuna upungufu mkubwa wa vifaa kama dodoso,sare e.t.c.
zoezi la sensa kama ulivyo sema , kwamba watu wengi haajawaona hao makarani wa sensa, ni kwamba tume yenyewe ya kuhesabu watu ndio imeliharibu hili zoezi, sasa hapa inabidi tuangalie hao wateuliwa (makamishana walikuwa na sifa zinazo faa) au waliteuliwa mahususi kuharibu hili zoezi.
 
[h=2]Nukuu Sita za Nyerere ambazo CCM hawana budi kuzitafakari kwa makini sana leo hii [/h] 1. "Amini nawaambieni enyi Waswahili wachache mnaotawala; mnategemea kweli kuwa mtawaongoza Watanzania kwa lazima wakati wamepoteza matumaini, na mtegemee kuwa watasalia wamekaa kimya kwa amani na utulivu?"
2. "Amani ni zao la matumaini, pindi matumaini yatakapotoweka kutakuwa na vurugu katika jamii."
3. "Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi?"
4. "Wakati wengi wa wananchi wanapopoteza matumaini unajenga volcano. Volcano hii italipuka siku moja. Labda kama watu hawa ni wajinga."
5. "Na hakutakuwa na watu wa kizazi hiki na karne hii ambao watatakiwa kujitoa muhanga kwa ajili ya maisha bora katika siku zijazo wakakubali, wakati wanawaona watu wachache wakiendelea kuneemeka machoni pao bila kujali wakati ujao, wakati wao na watoto wao wakiendelea kuishi katika maisha duni na dhalili."
6. "Watanzania watakuwa ni wajinga na mataahira, kama watakubali kuendelea kukandamizwa na watu wachache katika nchi yao wenyewe...."


Na ya saba ambayo aliitoa siku nyingi sana;

7. “Siku inakuja ambapo watu watachagua kifo kuliko fedheha na ole wao wale watakoiona siku hiyo! Na ole wao wale watakakaoifanya siku hiyo isiepukike. Natumaini na kusali kuwa siku hiyo kamwe haitofika" - Mwalimu Nyerere (Januari, 1966)

Na nyingine ya nane;

8. “Kwani fursa iko mbele yetu na inategemea kama tuna ujasiri wa kuichukua. Kwani uchaguzi uliopo siyo kati ya kubadilika au kutobadilika; uchaguzi kwa Afrika ni kati ya kujibadilisha au kubadilishwa – kubadilisha maisha yetu wenyewe kwa mwongozo wetu, au kubadilishwa na matokeo ya nguvu zilizo nje ya udhibiti wetu.. .Tunapendelea kushiriki katika kutengeneza hatima yetu sisi wenyewe” –MwalimuNyerere (Januari, 1966)

Nukuu hizi zimo katika kitabu kinachoitwa : Reflections on leadership in Africa: forty years after independence : essays in honour of Mwalimu Julius K. Nyerere, on the occasion of his 75th birthday ' , by Haroub Othman, VUB University Press, 01 Jul 2000.
 
Hii imetokea leo katika mahakama iliyopo ifakara mjini, hakimu baada ya kuwasomea kesi waislam waliogoma kuhesabiwa, amewawekea dhamana yeye mwenyewe ya sh 500,000 kila mmoja ili kuepusha shari ya waumini waliokuwa wakiongezeka kwa kasi mahakamani, Sambamba na hilo, waumini hao ambao weni wanatoka kiberege na mang'ula walipewa usafili wa bure wenye uhakika kurejea makwao. Kesi imehairishwa hadi tarehe 10 october.

nimeipenda hiyo muvi ya waislamu, unajua hii nchi tunakoelekea, lazima tutwangane. maana hakuna haki tena. WALIOTAKIWA KUTOA MAELEZO NI HAO (wa-R.C, BODI YA UTALII NA NYIE OFISI YA WAZIRI MKUU) WALIOTOA TAKWIMU ZA KUGHUSHI, HAWA NDO WAMESABABISHA HII SINTOFAHAMU, lakini cha ajabu wapo tuli, matokeo yake wanaoitaka serikali ihesabu kwa haki ndo wanaonekana wahuni, hapa WAISLAMU HATUKUBALI, MPAKA KIELEWEKE, HATA KAMA ELIMU YETU NI YA MADRASA, SAWA TU, SI NDO HUKOHUKO TULIKOFUNDISHWA HATA KUCHEZEA KEYBOARD, TATIZO LIKO WAPI?? TUACHENI NA ELIMU YETU YA MADRASA, ILA MSIDHANI NYIE NDO MNA HATI MILIKI YA KUFIKIRIA, KISA ETI ELIMU ZENU ZA VYUO VIKUU. wakulaumiwa ni nyie wa-R.C, BODI YA UTALII NA NYIE OFISI YA WAZIRI MKUU.


Mapadri (R C) wametoa takwimu feki za idadi ya watu kwa mujibu wa imani zao=WANA BUSARA (WATU WAZURI).

LAKINI

waislamu wanapoitaka serikali ihesabu watu kwa mujibu wa imani zao kuondoa utata=HAWANA BUSARA (WATU WABAYA)

kuna umuhimu wa kuwa na akili huru, ndio maana siku hizi mwizi=MJANJA, muungwana=MPUUZI. kweli dunia ina maajabu.
 
kituko kingine “ hawamkamati sheikh ponda wanakamata wafuasi” vs " wanafungia mwanahalisi kwa kuandika ukweli ,hawafungii redio amani inayogomea sensa ”

ila hapo napo panatia mashaka!!Ponda aliye sababisha yote hayo yupo anadunda mitaani na hajahesabiwa wanakamatwa watu wa huko mbaliii.
 
ila hapo napo panatia mashaka!!Ponda aliye sababisha yote hayo yupo anadunda mitaani na hajahesabiwa wanakamatwa watu wa huko mbaliii.

Hakyanani hili jambo watu mmeamua kujitoa akili. Sheikh Ponda akamatwe kwa lipi?? kwani Sheikh Ponda ndo aliwapa tbc, kanisa R C, bodi ya utalii na ofisi ya waziri mkuu hizo takwimu?? kwa nini hamuhoji uhalali wa kanisa kuwa na nyaraka za kughushi wakati ni wasomi wa vyuo vikuu na wanajua sheria?? leo Sheikh Ponda kwa kutumia reasoning yake ndogo tu ya madrasa anawatoa jasho, vipi kama na yeye angekuwa na degree kama hizo mlokuwa nazo nyie wenye ma-vyuo vikuu?? si ingekuwa balaa?? KUNA HAJA YA KUJIULIZA, HIZI TAKWIMU KANISA LILIKUWA LIMEZITUNZA KWA MADHUMUNI GANI?? NYIE MNAOENDA HUKO MAKANISANI, HEBU TUSAIDIENI KUWAULIZA MAPADRI, LENGO LA TAKWIMU ZA ASILIMIA YA IDADI YA WAISLAMU LILIKUWA NI NINI?? NI LINI KANISA LILIWAHESABU WAISLAMU?? MSIJE MKACHOKOZA WATU, HALAFU MKAANZA KUTAFUTA VISINGIZIO VYA KUWALAUMU. au kanisa lilitunza hizi takwimu kwa lengo la kujifurahisha?? they must have been using them for hiden agenda, it can't be all in vein (samahani kiingereza changu cha madrasa, mnivumilie kidogo mtanzania mwenzenu)

kumshika Ponda mnaweza mkasababisha ya Mombasa bure hapa. haiwezekani walioandaa mazingira ya tatizo tunawakenulia meno, halafu wanaotaka kuli-fix tatizo waonekane wabaya.
 
Back
Top Bottom