Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Hii imetokea leo katika mahakama iliyopo ifakara mjini, hakimu baada ya kuwasomea kesi waislam waliogoma kuhesabiwa, amewawekea dhamana yeye mwenyewe ya sh 500,000 kila mmoja ili kuepusha shari ya waumini waliokuwa wakiongezeka kwa kasi mahakamani, Sambamba na hilo, waumini hao ambao weni wanatoka kiberege na mang'ula walipewa usafili wa bure wenye uhakika kurejea makwao. Kesi imehairishwa hadi tarehe 10 october.