Vituko kombe la dunia (2014)

daah wabongo sijui tumelogwa au nini yaani hata kuandika vizuri majina ya timu ishu. tunaweza ni nini sasa?
wa ndugu hii sio bongo, ata kama wabongo mambulula lakini hii too much, Hii kitu ni ya Kongo DRC maeneo ya Mbujimayi, wao wanatumia faranga (franc) na mara nyingi maeneo kisangani na mbujimayi na goma wanaangaliga mechi kwenye vilabu kwa faranga 300 mpaka 500
 
acha kutetea ujinga..na kwa bahati mbaya utakuta huyo aloandika kamaliza darasa la saba..ts so sad.
Labda hujui maana ya lugha.Au labda unafikiri lugha ni lazima iwe ile unayoifahamu wewe.Au labda hujui kuwa si kila lugha ni rasmi.
 
wa ndugu hii sio bongo, ata kama wabongo mambulula lakini hii too much, Hii kitu ni ya Kongo DRC maeneo ya Mbujimayi, wao wanatumia faranga (franc) na mara nyingi maeneo kisangani na mbujimayi na goma wanaangaliga mechi kwenye vilabu kwa faranga 300 mpaka 500

Haya na hapo ni Congo??
 

Attachments

  • 1403551828800.jpg
    1403551828800.jpg
    49.7 KB · Views: 301
Hapo umewamaliza, sasa hivi elimu imedidimia. Utakuta mtu hapandi daladala mpaka aambiwe linaenda posta wakati limeandikwa usoni na ubavuni. Basi la Kimara - Posta anauliza kama linafika Manzese.
 
Tushike sana elimu wandugu kuishi kwa kutegemea kuuza sembe kutawagharimu sana watanzania walio wengi huko mbeleni
 
Nimefanya utafiti japo mdogo tu, nimegundua wahudumu wengi wa Baa ile lugha wanayotumia kuandikia Bili mteja si ya kawaida.... Kama inafanana na lugha hiyo kwenye mabango

Utakuta bia zinavyoandikwa siyo kama vile vilivyo kwenye lebo;
1. Kesto laiti-Castle Light
2. Safari laga-Safari Lager
3. Windoki laga-Windhoek Lager....
 
yaani hii ni kiashiria kuna tatizo katika mfumo wa elimu Tanzania. wazazi/walimi/wizara stukeni
 
Labda hujui maana ya lugha.Au labda unafikiri lugha ni lazima iwe ile unayoifahamu wewe.Au labda hujui kuwa si kila lugha ni rasmi.
Kwahiyo hiyo hapo sio lugha rasmi.??na wew ndo wale wale tu na elimu zenu za kukalili.
 
Back
Top Bottom