Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
tega sikio bwana.kwani nikikuambia nikuulize kitu darling? hapo nakutega nini sasa?MMH hata sijakupata MM unamaansha nini hapa? tugutukie ama tutege masikio?
tega sikio bwana.kwani nikikuambia nikuulize kitu darling? hapo nakutega nini sasa?MMH hata sijakupata MM unamaansha nini hapa? tugutukie ama tutege masikio?
Ebwana ee moja ya vitu ambavyo vinanikera ni kule kulalamikiwa na Mke wangu kwamba ni siku kibao hujaniambia "I LOVE U" imefikia mahala nimetegesha kwenye simu inikumbushe kufanya hivyo kila siku. Hii inanikera japo simaanishi kwamba simpendi mke wanguUnaweza kufikiria vitu vitatu au vinne ambavyo kwa kweli kwenye mahusiano watu wanakubali kuishi navyo lakini kwa kweli vinakera sana. NI vitu ambavyo unatamani mwenzako angeweza kuvibadilisha lakini baada ya muda umeamua kukubali kuwa huo "ndio" mzigo wako. Umejifunza kuishi navyo lakini kwa kweli ungeweza kuishi bila kuwa navyo. Kwa mfano watu wengine wanakereka na vitu kama kukoroma, kuimba imba, kulala mapema, kuzungumza usiku wa manane na maswali yanayoanza na "nikuulize swali" n.k Hivi siyo vitu vinavyohusiana na watu wengine (siyo mambo ya kucheat n.k) bali vijitabia, mazoea, mambo na hata vijimambo ambavyo ni "kero" kama zile "kero za Muungano".
Hapa tunaweza kufundishana maana wengine kuna vitu ambavyo hawajali kabisa na wala hawafikirii kuwa ni "kero"...
Unaweza kufikiria vitu vitatu au vinne ambavyo kwa kweli kwenye mahusiano watu wanakubali kuishi navyo lakini kwa kweli vinakera sana. NI vitu ambavyo unatamani mwenzako angeweza kuvibadilisha lakini baada ya muda umeamua kukubali kuwa huo "ndio" mzigo wako. Umejifunza kuishi navyo lakini kwa kweli ungeweza kuishi bila kuwa navyo. Kwa mfano watu wengine wanakereka na vitu kama kukoroma, kuimba imba, kulala mapema, kuzungumza usiku wa manane na maswali yanayoanza na "nikuulize swali" n.k Hivi siyo vitu vinavyohusiana na watu wengine (siyo mambo ya kucheat n.k) bali vijitabia, mazoea, mambo na hata vijimambo ambavyo ni "kero" kama zile "kero za Muungano".
Hapa tunaweza kufundishana maana wengine kuna vitu ambavyo hawajali kabisa na wala hawafikirii kuwa ni "kero"...
tega sikio bwana.kwani nikikuambia nikuulize kitu darling? hapo nakutega nini sasa?
ahahaaa dah nachukia ilo neno loh? angejua ?????????Ebwana ee moja ya vitu ambavyo vinanikera ni kule kulalamikiwa na Mke wangu kwamba ni siku kibao hujaniambia "I LOVE U" imefikia mahala nimetegesha kwenye simu inikumbushe kufanya hivyo kila siku. Hii inanikera japo simaanishi kwamba simpendi mke wangu
ahahaaaaaaaaaaa labda kapata hawara alitaka kutoa story then anashtuka wrong person loh?Kuuliza uliza maswali yenye majibu' sjui hizi sim niweke hapa eee? Ndo tunaenda kuoga wife?. .....na kingine kutoa hadith kwa mafungu' labda tuseme anasema aisee wife leo nimepata bonge la zali? Unauliza kwa shauku ehe lipi ilo? Unaambiwa tulia kwanza afu anaanza kuongea na kid! Baadae anasema ehe nliishia wapi vile? Khaaaaa nachoka kabisa.
swaga tu kila mtu ana style yake bwanana kwa nini uanze na kiji spotlight badala ya kushoot moja kwa moja kwenye maada.........uliza tu!
Dada mkubwa Tena hii ya mpira ndio ugonjwa wa wengi yani hata km kulikuwa na outing ndio imekufa ili mradi timu yake imefungwa unaweza ukapokea hata msg ya leo hatuwezi kuonana!lol.
Mh! Hapo kwenye kampira ni noma, kwa kweli Man Utd Ikifungwa ni balaa tunaweza tusisemeshane hadi kesho yake. Ila nilishamwambia kabla ya kuwa na mahusiano naye kuwa mimi ulevi wangu ni mpira tu.
Naona mmenipata kabisa....lol... Hivo basi sina ujanja but kuvumilia na kuzoea...
Mh! Hapo kwenye kampira ni noma, kwa kweli Man Utd Ikifungwa ni balaa tunaweza tusisemeshane hadi kesho yake. Ila nilishamwambia kabla ya kuwa na mahusiano naye kuwa mimi ulevi wangu ni mpira tu.
At least kwangu ni vice versa,akifungwa anataka kupoozwa
Sipendi ubahili na umbea.