1.Kuhesabu nywele zako
2.Kuosha macho kwa kutumia sabuni
3.Huwezi kuhema ukiwa umetoa ulimi nje.
Mmmh hebu rudisha ulimi wako ndani nakuzingua tu!
Kuangalia masaburi bila ku2mia kioo
1.Kuhesabu nywele zako
2.Kuosha macho kwa kutumia sabuni
3.Huwezi kuhema ukiwa umetoa ulimi nje.
Mmmh hebu rudisha ulimi wako ndani nakuzingua tu!
Kuangalia masaburi bila ku2mia kioo
kweli mkuu, ndo maana nlikuwa napumua huku najiuliza, 'mbona jamaa katuingiza mkenge?' ile naamua nimalizie kusoma afu nireply kwa nguvu zote, ndo nikakuta kwamba niko 'busted'! Ha ha.Tatizo ulikuwa unataka kuhakikisha kitu unachofahamu