nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Sasa kama uwepo wa shetani ni mpango wa mungu, kwanini shetani anatangaziwa ubaya? Basi shetani si mbaya kama tunavyoaminishwa. Maana anafanya kazi kwa kufuata order za mungu. Ukijiuliza sana kuhusu hili utapata ufumbuzi. Na kuhusu miaka wala isikupe shida. Siku zote wapigaji wanajua wacheze vipi. Walikaa chini na kutumia akili nyingi ili waweze kukuteka. wanakuambia vitu ambavyo wanajua hutarudi kwenda kuvionaShetani ni moango wa Mungu... hakuna kitu ambacho Mungu anashindwa,, jiulize kwa nn ww una akili ya kutafakari (rational thinking) na wanyama hawana? Je hii ilitokea tu? Mungu amesema kwenyw QUran kuhusu hili. Mungu ni mkubwa na ufalme wake hauna mipaka.. turn back to your lord before its too late. Kuna vitu vingi sana ambavyo kwa akili ya kawaida tu ukiviangalia unajua kama MUngu yupo... mie ntakupa hiki kimoja tu ukichunguze kisha utajua kama Mungu yupo. "Fertilization->embryo->zygote->feutus->birth" kwa mwanadamu. Kisha rudi katika Quran ambayo ilishaelezea kila kitu hapo juu 1400 years ago wakat bado hata wanasayansi hawajui na haikuwepo technolojia hiyo. Hapo ndipo utajua kama hii dunia na kila kitu kilichomo it wasnt an accident. Good luck.