Vitu muhimu vya kujua kuhusu alama ya mnyama(RFID chip/666)

Mtoa mada nakupata sana,asante kwa kuleta haya mambo humu wengi hawajui maisha yamewaweka watu bize.endelea kutufungua macho mkuu!..
 
Elimu elimu elimu......

Matatizo ya njaa kuhamia kwenye kichwa badala ya kukaa tumboni...Hivi si wewe uliyeleta mada kama hii ukimhusisha Pope nikakuuliza maswali ukalala mbele..??

Hebu tafuta clinic ya magonjwa ya akili ukatibiwe ..Unakoekekea utakuja kuwa kichaa....

Ulivyo-bogus huwezi kujiuliza maswali au ukadadisi mambo madogomadogo...Hivi huyo shetani anakaa wapi kwenye hiyo chip..?

Halafu kama ni chip mbona unazo nyingi....Sim Card, ATM , una Laptop....Au hujui maana ya chip na kazi zake....unaakili timamu kweli wewe..? Nani kakuloga???
Mtoa mada watu kama huyu hawakosekani wapo wengi mno,endelea kutupa nondo umenifungua macho.
 
Sawa,that blaa blaa is exactly the language they use in luring you and me to accept the gudgets not knowing that they have disastrous consequences in our physical and spiritual life.

Kileo hakuna kitu ambacho hawa watu watatengeneza ambacho hakina serious effects in our life.Kutumia kidogo tu the other side of your brain itakupa picha halisi ya yale yanayotokea.Think of simple items like tooth paste,sweets,on the shelf foods,bottled industrial water,medication etc.,not forgetting ofcourse the things we cherish so much like phones,computers,TVs,cars and the consequences they have on our health!Unaona jinsi watu walivyokuwa vibogoyo kwa ajili ya kutumia tooth paste na kinga za watu zilivyoshuka kwa sababu ya medication.Do you know, they talk very positively about the items as if they do not have any side effects at all.And now you want us to believe that those same people have now reformed and have brought us an RFID technology which is good to us.Ridiculous.That is not possible,the devil will remain the devil.
Nimekutana na hii habari kwenye jarida moja wakiongelea RFID hata hivyo sijui Ni kwanini tunaihusisha na Unabii wa Ufunuo! Kwani alama za Kiimani hufanyika nafsini kwa ishara itakayo fanywa Juu ya mwili kwa lengo Hilo . Kwa mfano Ukimwagia mtu Maji au hata ukimzamisha mtoni kama mhusika hajui 'ubatizo' utakua hujambatiza! Lkn kumwagia Maji mtu anaetaka kubatizwa kwa Lengo la kumbatiza Ni tendo ambalo humwekea mtu alama ya Kudumu huku likianzisha Uhusiano na Yesu Kristovna kumfanya kua mtoto wa Mungu kwa kuondoa Dhambi ya Asili na dhambi zote nyingine lkn iwepo Imani!
Implanted electronic tags might sound futuristic or dystopian depending on the situation but it turns out this is a practice in which some are already participating. The Wall Street Journal recently reported on one man who has several such implants and uses them for things like unlocking doors at his apartment, office and a parking lot gate. Other tags store information, one with business contact information and another with personal information. The newspaper quotes an estimated figure of 30,000 to 50,000 people in the world using these kind of implants.
Is this really the future we're headed toward? It's hard to say how popular this kind of procedure will become, but it's certainly more invasive than a simple wearable device. Many wearables makers are already envisioning a future in which electronic tags can be used in lieu of business cards with the tap of a smartwatch or smart ring. If millions of people are still willing to wear glasses instead of contacts or getting laser eye surgery, it's a good bet that many people will prefer to stick with accouterments over implants.
It's a good time to be in the RFID business, though. These electronic tags have proven useful in all kinds of products. Whether subdermal or not, RFID tags will likely play an ever larger role in the future for things like security and basic electronic information exchange. Possible uses right now are seemingly endless. Possible medical uses have some people especially optimistic about the use of RFID implants. They could be used to identify people with certain conditions that could be critical to paramedics and first responders. They could also be used in hospitals to confirm identities when performing procedures, possibly reducing medical malpractice.
The most practical thing about implanted RFID chips, besides the convenience, is that they can't be switched or mixed up. In hospitals, this could be a more critical feature than for the average consumer. Many people likely still cringe at the idea today, but if this becomes normalized, it could become much more common in younger people. Adults today might not feel like they're missing much by sticking to RFID wristbands or NFC rings, though. Those remain good options too.
 
Sawa mimi sikufundishwa kutukana,ila mwenye macho haambiwi tazama na wala huwezi kumpeleka ng'ombe majini ukamlazimisha kunywa maji.Ila ujue tunajua mambo yaliyo sirini google "The Secret Oath Of The Jesuits" labda itakusaidia kufunguka.Kama una busara utajua kwa nini nimekuelekeza ku-google huko.
Sasa zuzu kama wewe ndio wa kunishika pabaya...We ni wa kupuuzwa maana akili yako ipo makalioni
Sasa zuzu kama wewe ndio wa kunishika pabaya...We ni wa kupuuzwa maana akili yako ipo makalioni
 
Niko timamu kabisa.You are mind controlled ndio maana huwezi kunielewa.They are finished with you si ajabu,na sishangai.Unategemea tushinde humu JF,tuna kazi nyingine za kufanya mbona.Ila nadhani huna haja ya kuhamaki jadili mada.
Elimu elimu elimu......

Matatizo ya njaa kuhamia kwenye kichwa badala ya kukaa tumboni...Hivi si wewe uliyeleta mada kama hii ukimhusisha Pope nikakuuliza maswali ukalala mbele..??

Hebu tafuta clinic ya magonjwa ya akili ukatibiwe ..Unakoekekea utakuja kuwa kichaa....

Ulivyo-bogus huwezi kujiuliza maswali au ukadadisi mambo madogomadogo...Hivi huyo shetani anakaa wapi kwenye hiyo chip..?

Halafu kama ni chip mbona unazo nyingi....Sim Card, ATM , una Laptop....Au hujui maana ya chip na kazi zake....unaakili timamu kweli wewe..? Nani kakuloga???
 
Sawa mimi sikufundishwa kutukana,ila mwenye macho haambiwi tazama na wala huwezi kumpeleka ng'ombe majini ukamlazimisha kunywa maji.Ila ujue tunajua mambo yaliyo sirini google "The Secret Oath Of The Jesuits" labda itakusaidia kufunguka.Kama una busara utajua kwa nini nimekuelekeza ku-google huko.
Nani kakuloga..???
 
Haziko mwilini mwangu nina uwezo wa kuamua kuziweka pembeni,that should be obvious to you,kwa hiyo hawana uwezo wa kuni-control kama robot,something they would be able to do kama hiyo RFID implant ingekuwa mwilini mwangu.
Elimu elimu elimu......

Matatizo ya njaa kuhamia kwenye kichwa badala ya kukaa tumboni...Hivi si wewe uliyeleta mada kama hii ukimhusisha Pope nikakuuliza maswali ukalala mbele..??

Hebu tafuta clinic ya magonjwa ya akili ukatibiwe ..Unakoekekea utakuja kuwa kichaa....

Ulivyo-bogus huwezi kujiuliza maswali au ukadadisi mambo madogomadogo...Hivi huyo shetani anakaa wapi kwenye hiyo chip..?

Halafu kama ni chip mbona unazo nyingi....Sim Card, ATM , una Laptop....Au hujui maana ya chip na kazi zake....unaakili timamu kweli wewe..? Nani kakuloga???
 
Niko timamu kabisa.You are mind controlled ndio maana huwezi kunielewa.They are finished with you si ajabu,na sishangai.Unategemea tushinde humu JF,tuna kazi nyingine za kufanya mbona.Ila nadhani huna haja ya kuhamaki jadili mada.
Kuna mada hapo au porojo za aliyekosa akili hata ya kufikiri..??? Nimekuuliza unajua maana chip...??

Hapo ulipo una-chip zaid ya tatu sasa sijui unaongelea chip gani..? Huenda hujui unachoandika wewe umebaki ni kuchota google...Huko google mtu yoyote anaweza andika chochote anachopenda.

Sasa nakuuliza kwa akili yako na uelewa wako chip ni kitu gani..?
 
Ndiyo, kwani huwa taarifa zinatoka wapi, si kwenye internet. Professors wa Havard wana quote wapi, si kwenye majarida yalijaa humu, wewe sijui elimu yako umepata wapi. Anyway kwa kujaribu kukufungua ubongo wako ulioganda na kupindishwa, hebu google"Vatican preparing statement on extraterrestrial life."You will be shocked to the bones. Pole sana, jamaa wamekuingiza mkenge sana, chomoka.
Kuna mada hapo au porojo za aliyekosa akili hata ya kufikiri..??? Nimekuuliza unajua maana chip...??

Hapo ulipo una-chip zaid ya tatu sasa sijui unaongelea chip gani..? Huenda hujui unachoandika wewe umebaki ni kuchota google...Huko google mtu yoyote anaweza andika chochote anachopenda.

Sasa nakuuliza kwa akili yako na uelewa wako chip ni kitu gani..?
 
Kiukweli mimi sijalogwa.Wewe uliyeko huko ndiye uliyelogwa.Kuhakikisha kwamba kweli umelogwa,hembu soma hiyo link: humansarefree.com/2014/04/eyewitnesses-testify-pope-francis- Sijamalizia maneno yote kwenye link ila utayakuta ndani ni mabaya.Nadhani utalia.Narudia tena,chomoka huko,wenzio wamekuingiza mkenge!
Nani kakuloga..???
 
Ndiyo, kwani huwa taarifa zinatoka wapi, si kwenye internet. Professors wa Havard wana quote wapi, si kwenye majarida yalijaa humu, wewe sijui elimu yako umepata wapi. Anyway kwa kujaribu kukufungua ubongo wako ulioganda na kupindishwa, hebu google"Vatican preparing statement on extraterrestrial life."You will be shocked to the bones. Pole sana, jamaa wamekuingiza mkenge sana, chomoka.
Kuna maswali nimekuulizs yajibu basi...Mbona kama unapotezea..

Nani kakuloga..??
 
Mtume Yohana ndiye aliyeandika kitabu cha Ufunuo na katika kitabu hicho alitaja alama ya mnyama,namba 666.Katika kitabu hicho sura ya 13 msitari wa 16-18 tunasoma maneno haya,"Naye afanya wote,wakubwa kwa wadogo,matajiri na maskini,huru na watumwa kupokea alama mkono wa kulia au kwenye paji la uso,ili kila mtu asiweze kununua au kuuza mpaka awe na alama au jina la huyo mnyama au namba yake.Hapa ndipo penye hekima.Mwenye ufahamu na aitafute namba ya huyo mnyama kwa kuwa ni namba ya kibinadamu:Namba yake ni 666."


Alama au namba ya huyo mnyama(roho inayomuwakilisha Shetani) itakuwa ni utambulisho katika mfumo wa kifedha ambao huyo mnyama au Mpinga Kristo atauunda katika kipindi cha miaka saba ya utawala wake.Ataitumia hiyo alama au namba kudhibiti mifumo yote ya maisha ya wanadamu.

Ili kuweza kufanya hivyo,itakuwa lazima kwa kila mtu kuwekewa ka-chip(RFID- Radio Frequency Identification) chini ya ngozi kwenye mkono wa kulia au paji la uso.Kachipu hako katakuwa na taarifa nyingi kuhusiana na kila mtu binafsi.Kwa sasa tekinolojia hii ipo kuweza kufanikisha shuhuli hii,na watu wengi Marekani,Sweden,Australia wameshawekewa. Kila atakayewekewa RFID itakuwa lazima kuapa kiapo cha utii kwa Mpinga Kristo kwa kumkubali kwamba yeye ndiye Mungu,na ndio maana wote watakaopokea alama ya huyo mnyama watapata hukumu ya milele(Uf.14:9-11).

RFID ni tekinolojia ya data ambayo inatumia vichipu vidogo.Vichipu hivi vinaweza kutumika kufuatilia mienendo ya mtu akiwa mbali.

Makampuni makubwa duniani kwa sasa yanataka kubadilisha bar codes kwa mfumo huu wa RFID au "spy chips",ikiwa na maana kwamba kila kitu duniani na yeyote aliyenacho anaweza kufuatiliwa kutoka mbali.

Kampuni ya VeryChip, ndiyo kampuni iliyotengeneza kichipu cha RFID kwa ajili ya matumizi kwa wanadamu.Kampuni hii kwa sasa inatumia kila sababu za uwongo ili tekinolojia hii itumike kwa wanadamu wote.Sababu hizo zinaonekana nzuri,lakini nyuma ya pazia kuna nia ovu ya kum-control mwanadamu 100%.
Endelea kusoma mwenyewe kwenye link ifuatayo:http://rapturewatcher.WordPress.com...t-know-about-the-mark-of-the-beast-rfid-chip/

Uamuzi unao mwenyewe,kupokea RFID au kutopokea, nimekuonya mapema.

Soma pia
http://nationalreport.net/rfid-chip-now-being-issued-in-hanna-wyoming-as-part-of-new-obamacare-plan/ au Google "RFID Chip Now Being Issued In Hanna Wyoming As Part Of New Obamacare Plan."
Huu ni uongo mzuri tu, ambao muanzilishiwake ni baba wa huo yaani adui wa haki. Lengo ni kutia hofu wakazi wa dunia wakose matumaini. Mungu ameshaeleza kama unamwamini huna haja ya kuogopaogopa ovyo
 
Kiukweli mimi sijalogwa.Wewe uliyeko huko ndiye uliyelogwa.Kuhakikisha kwamba kweli umelogwa,hembu soma hiyo link: humansarefree.com/2014/04/eyewitnesses-testify-pope-francis- Sijamalizia maneno yote kwenye link ila utayakuta ndani ni mabaya.Nadhani utalia.Narudia tena,chomoka huko,wenzio wamekuingiza mkenge!
Haya ndiyo majibu ya maswali niliyokuuliza..?

Ukileta mada hapa maana yake umeichambua, umielewa, kama ni kada yako/ taaluma yako inakubidi uchimbe deep uje uweke hapa..Hata ukiulizwa maswali unakuwa na uwezo wa kuyajibu maama unaelewa...

Msomi si yule anayechoto uozo google bila hata kufanyia tafiti na kuleta hapa.. Kama unauhakika na ulichokiandika jibu maswali niliyokuliza...

Chip ni kitu gani..??? Kinafanyaje kazi..?
Je! Sim card, ATM sio chip??? Wewe hutumii chip-?
Hivi unajua kuna watu hawamini uwepo wa Mungu..? Hao unawazungumziaje??
Vipi Mjapan na Mchina na Mhindi wenye miungu yao...? Hao unawaweka kundi gani. ??

Huenda hujui unachikijadili zaidi ya hisia tu zilishika akili zako...
 
Kuna maswali nimekuulizs yajibu basi...Mbona kama unapotezea..

Nani kakuloga..??
Sijibu maswali ya kizushi,ila nakushauri utoke huko,hilo ni chaka la wanyang'anyi.Nadhani dose imekutosha,kama kweli una nia ya kwenda mbinguni chomoka huko,unapelekwa jehanam.
 
....kama huendagi kanisani pita tu usichafue hali ya hewa
 
Huu ni uongo mzuri tu, ambao muanzilishiwake ni baba wa huo yaani adui wa haki. Lengo ni kutia hofu wakazi wa dunia wakose matumaini. Mungu ameshaeleza kama unamwamini huna haja ya kuogopaogopa ovyo
Umesahau neno la Mungu ndugu yangu.Yapo maandiko ambayo yanatuhamasisha kupata maarifa ili tusinaswe kiurahisi na shetani.Kwa mfano neno la Mungu ni taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu.Hii ina
maana kwamba kama una neno la Mungu la Kitabu cha Ufunuo 13:16-18 utaiona mitego ya Shetani kama RFID.Pia neno la Mungu linasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Ili Shetani asitunase ni lazima tuwe na maarifa kama ya RFID.Vinginevyo Shetani atakuingiza mkenge kirahisi.Halafu kama wewe ni mtu wa Mungu mtakatifu,woga ni wa nini?Soma Zab.23:4;Jos.1:9;Zab.118:6;Kumb.31:6;Rum.8:15,utiwe moyo.Kumbuka kwamba woga ni dhambi na unatokana na yule mwovu
 
Haya ndiyo majibu ya maswali niliyokuuliza..?

Ukileta mada hapa maana yake umeichambua, umielewa, kama ni kada yako/ taaluma yako inakubidi uchimbe deep uje uweke hapa..Hata ukiulizwa maswali unakuwa na uwezo wa kuyajibu maama unaelewa...

Msomi si yule anayechoto uozo google bila hata kufanyia tafiti na kuleta hapa.. Kama unauhakika na ulichokiandika jibu maswali niliyokuliza...

Chip ni kitu gani..??? Kinafanyaje kazi..?
Je! Sim card, ATM sio chip??? Wewe hutumii chip-?
Hivi unajua kuna watu hawamini uwepo wa Mungu..? Hao unawazungumziaje??
Vipi Mjapan na Mchina na Mhindi wenye miungu yao...? Hao unawaweka kundi gani. ??

Huenda hujui unachikijadili zaidi ya hisia tu zilishika akili zako...
Nadhani hii mada imekuchoma sana,pole lakini huo ndio ukweli whether you like it or not.
 
Back
Top Bottom