Vitu muhimu vya kujua kuhusu alama ya mnyama(RFID chip/666)

Chemtrail

JF-Expert Member
Aug 15, 2016
827
442
Mtume Yohana ndiye aliyeandika kitabu cha Ufunuo na katika kitabu hicho alitaja alama ya mnyama,namba 666.Katika kitabu hicho sura ya 13 msitari wa 16-18 tunasoma maneno haya,"Naye afanya wote,wakubwa kwa wadogo,matajiri na maskini,huru na watumwa kupokea alama mkono wa kulia au kwenye paji la uso,ili kila mtu asiweze kununua au kuuza mpaka awe na alama au jina la huyo mnyama au namba yake.Hapa ndipo penye hekima.Mwenye ufahamu na aitafute namba ya huyo mnyama kwa kuwa ni namba ya kibinadamu:Namba yake ni 666."


Alama au namba ya huyo mnyama(roho inayomuwakilisha Shetani) itakuwa ni utambulisho katika mfumo wa kifedha ambao huyo mnyama au Mpinga Kristo atauunda katika kipindi cha miaka saba ya utawala wake.Ataitumia hiyo alama au namba kudhibiti mifumo yote ya maisha ya wanadamu.

Ili kuweza kufanya hivyo,itakuwa lazima kwa kila mtu kuwekewa ka-chip(RFID- Radio Frequency Identification) chini ya ngozi kwenye mkono wa kulia au paji la uso.Kachipu hako katakuwa na taarifa nyingi kuhusiana na kila mtu binafsi.Kwa sasa tekinolojia hii ipo kuweza kufanikisha shuhuli hii,na watu wengi Marekani,Sweden,Australia wameshawekewa. Kila atakayewekewa RFID itakuwa lazima kuapa kiapo cha utii kwa Mpinga Kristo kwa kumkubali kwamba yeye ndiye Mungu,na ndio maana wote watakaopokea alama ya huyo mnyama watapata hukumu ya milele(Uf.14:9-11).

RFID ni tekinolojia ya data ambayo inatumia vichipu vidogo.Vichipu hivi vinaweza kutumika kufuatilia mienendo ya mtu akiwa mbali.

Makampuni makubwa duniani kwa sasa yanataka kubadilisha bar codes kwa mfumo huu wa RFID au "spy chips",ikiwa na maana kwamba kila kitu duniani na yeyote aliyenacho anaweza kufuatiliwa kutoka mbali.

Kampuni ya VeryChip, ndiyo kampuni iliyotengeneza kichipu cha RFID kwa ajili ya matumizi kwa wanadamu.Kampuni hii kwa sasa inatumia kila sababu za uwongo ili tekinolojia hii itumike kwa wanadamu wote.Sababu hizo zinaonekana nzuri,lakini nyuma ya pazia kuna nia ovu ya kum-control mwanadamu 100%.
Endelea kusoma mwenyewe kwenye link ifuatayo:http://rapturewatcher.WordPress.com...t-know-about-the-mark-of-the-beast-rfid-chip/

Uamuzi unao mwenyewe,kupokea RFID au kutopokea, nimekuonya mapema.

Soma pia
http://nationalreport.net/rfid-chip-now-being-issued-in-hanna-wyoming-as-part-of-new-obamacare-plan/ au Google "RFID Chip Now Being Issued In Hanna Wyoming As Part Of New Obamacare Plan."
 
Wewe kama mtaalam ingetakiwa utudadavulie in deep mpaka yaliyo kwenye hizo reference ulizotuachia.
Elimu ya MUNGU ya kuokoa roho za binadamu wenziyo kama unaijua hutakiwi kuitoa nusunusu,utahesabiwa kwa uvivu wa kutokutoa uokovu kamili.
Siyo wana JF wote tunajua kiingereza kiasi cha kuelewa hizo reference ulizotuachia.
 
Nimekuelewa.Ila naamini kwa mtu asiyejua kiingereza hiyo summary inatosha.Itoshe kusema kwamba hata hapo nimejitahidi sana,topic yenyewe ni ndefu na mambo ni mengi.Najua kwamba elimu hii ni muhimu sana,hasa katika siku hizi za mwisho.Naomba tuwiane radhi.
Wewe kama mtaalam ingetakiwa utudadavulie in deep mpaka yaliyo kwenye hizo reference ulizotuachia.
Elimu ya MUNGU ya kuokoa roho za binadamu wenziyo kama unaijua hutakiwi kuitoa nusunusu,utahesabiwa kwa uvivu wa kutokutoa uokovu kamili.
Siyo wana JF wote tunajua kiingereza kiasi cha kuelewa hizo reference ulizotuachia.
 
Mleta mada njoo utudadavulie hii ni mada muhimu sana
Kweli najua ni muhimu,ila nadhani summary hiyo niliyotoa kwa ufahamu was kawaida inatosha.Tatizo ni muda,ndio maana nikatoa links,ili kama mtu anataka taarifa zaidi ajisomee.Tatizo ni muda.Niwie radhi ndugu yangu.
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.......sijui kama dini na sayansi kuna siku zitakuja kupatana.....
Ngoja na mimi nitie neno kidogo.

RFID ni technology ambayo hutumika kwa ajili ya ku-"track" vitu. Inaundwa na vitu viwili vikubwa ambavyo ni TAG na READER. Tag inakua na taarifa za kitu ambacho kimewekewa huo mfumo wa RFID wakati READER hutumika kusoma taarifa za kwenye TAG.
Mfano kama ng'ombe wako kapotea na ulimfunga hii system basi unaweza kujua yuko wapi endapo sehem aliyokwenda kuna hizi reader ambazo zitapeleka taarifa kwenye Database husika. Pia hutumika hospitalini kufuatilia magonjwa hasa ya moyo.

Kuwekewa chip kwa binadamu lengo kubwa ni kuweza kukufatilia kwa ukaribu....hebu waza kidogo kama huu utamaduni ungekuwepo toka kitambo unadhani Osama, IS, Al shabab, Boko haramu na wengineo wengi wangesumbua kiasi hiki kujua walipo?
Fikiria umepata ajali unakwenda hospital badala ya kuanza kukupima wajue blood grup yako ni ipi wanascan tu chip yako wanapata taarifa zako, hapa utahudumiwa haraka na hata ndugu zako watapewa taarifa kwa urahisi badala ya kuanza kuhangaika kukutambua wewe ni nani.

Kama wasiwasi wako ni kufuatiliwa basi ni uoga wa bure tu mkuu kwani mpk sasa unafatiliwa pasipo kujifahamu. Mfano: unatumia line umesajili kwa jina lako, una kadi ya bank, una passport, bima ya afya, leseni, kitambulisho cha kura, vyeti lukuki, leseni nk hivyoo vyote vimehifadhi taarifa zako sehemu tofauti tofauti ina maana ni just mtu kuchukua muda nakuanza kukusanya hizo taarifa na kuziweka pamoja.

Sasa turudi kwenye ufunuo ambao unadai kwamba kutumia chip ni kumtumikia shetani. Mi nadhani imani ya mtu haibadilishwi kwa kuwekewa chipu. Tunatumia vitu vingi sana ambavyo waasisi wake ni hao hao wanadaiwa ni wafuasi wa Lucifer. Swali je imebadilisha imani ya watu na kuanza kumtumikia shetani? Mi nadhani pia kuwa huku na hofu dhidi ya shetani, kunawapa nguvu kiasi cha wale wasio amini uwepo wake kumtilia shaka uweza wake (Mungu).

Mkuu binfsi siungi mkono kuwekewa chip ila si kwa hofu ya imani yangu, la hasha ila sipo comfortable to have the feeling that someone knows niko wapi mda huu coz it compromise my privacy.

Mwisho:
Hebu tuache kumpa kiki shetani (kama wasemavyo vijana wa mjini) manake huyu ibilisi anapewa kiki kuliko hata Mungu. Ifikie mahali tuseme wajinga (shetani na kundi lake) ndio waliwao kma wanaleta vitu vizuri tunatumia kwa jina la Mungu na hakuna baya litakalotupata.
 
Yote uliyotangulia kusema mkuu ni kweli na nilitangulia kusema VeriChip wametoa sababu nyingi nzuri and very convincing kama ulizotoa wewe,lakini nyuma ya pazia upo uovu wa kutisha!Halafu naomba ukumbuke kwamba amount ya surveillance ambayo itakuwepo ukiwa na RFID chip ni massive compared to tracking without an RFID chip yaani sasa.Naomba ukumbuke pia kwamba ukiwa na RFID chip wataweza kuku-control remotely kama robot vile.That technology already exisists na imekuwa imbeded kwenye RFID chip.Mkuu haya mambo ni mazito na yanatisha tusiyachukule lightly kama wao wanavyotaka,ili watupate kiurahisi.Naomba tuwaambie watu ukweli ili wafanye imformed decisions,tusiwadanganye.

Lastly naomba nikufahamishe kwamba sayansi ambayo the Bible cannot prove is fake science achana nayo,science must be able to be proved by the word of God. Vitu kama Evolution sio science is ,ni udaku.Wanasayansi hawaundi kitu kjipya,they are using forces and materials which already exisist!Narudia science which the Bible can't prove is not science,ni udaku,it is utter nonsense.
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.......sijui kama dini na sayansi kuna siku zitakuja kupatana.....
Ngoja na mimi nitie neno kidogo.

RFID ni technology ambayo hutumika kwa ajili ya ku-"track" vitu. Inaundwa na vitu viwili vikubwa ambavyo ni TAG na READER. Tag inakua na taarifa za kitu ambacho kimewekewa huo mfumo wa RFID wakati READER hutumika kusoma taarifa za kwenye TAG.
Mfano kama ng'ombe wako kapotea na ulimfunga hii system basi unaweza kujua yuko wapi endapo sehem aliyokwenda kuna hizi reader ambazo zitapeleka taarifa kwenye Database husika. Pia hutumika hospitalini kufuatilia magonjwa hasa ya moyo.

Kuwekewa chip kwa binadamu lengo kubwa ni kuweza kukufatilia kwa ukaribu....hebu waza kidogo kama huu utamaduni ungekuwepo toka kitambo unadhani Osama, IS, Al shabab, Boko haramu na wengineo wengi wangesumbua kiasi hiki kujua walipo?
Fikiria umepata ajali unakwenda hospital badala ya kuanza kukupima wajue blood grup yako ni ipi wanascan tu chip yako wanapata taarifa zako, hapa utahudumiwa haraka na hata ndugu zako watapewa taarifa kwa urahisi badala ya kuanza kuhangaika kukutambua wewe ni nani.

Kama wasiwasi wako ni kufuatiliwa basi ni uoga wa bure tu mkuu kwani mpk sasa unafatiliwa pasipo kujifahamu. Mfano: unatumia line umesajili kwa jina lako, una kadi ya bank, una passport, bima ya afya, leseni, kitambulisho cha kura, vyeti lukuki, leseni nk hivyoo vyote vimehifadhi taarifa zako sehemu tofauti tofauti ina maana ni just mtu kuchukua muda nakuanza kukusanya hizo taarifa na kuziweka pamoja.

Sasa turudi kwenye ufunuo ambao unadai kwamba kutumia chip ni kumtumikia shetani. Mi nadhani imani ya mtu haibadilishwi kwa kuwekewa chipu. Tunatumia vitu vingi sana ambavyo waasisi wake ni hao hao wanadaiwa ni wafuasi wa Lucifer. Swali je imebadilisha imani ya watu na kuanza kumtumikia shetani? Mi nadhani pia kuwa huku na hofu dhidi ya shetani, kunawapa nguvu kiasi cha wale wasio amini uwepo wake kumtilia shaka uweza wake (Mungu).

Mkuu binfsi siungi mkono kuwekewa chip ila si kwa hofu ya imani yangu, la hasha ila sipo comfortable to have the feeling that someone knows niko wapi mda huu coz it compromise my privacy.

Mwisho:
Hebu tuache kumpa kiki shetani (kama wasemavyo vijana wa mjini) manake huyu ibilisi anapewa kiki kuliko hata Mungu. Ifikie mahali tuseme wajinga (shetani na kundi lake) ndio waliwao kma wanaleta vitu vizuri tunatumia kwa jina la Mungu na hakuna baya litakalotupata.
 
Mimi sio Msabato 100% ila ninajua kwa kina uovu unaoendelea ambao uko kinyume na mapenzi ya Mungu.Ninachofanya ni kufunua uovu huo kila inapowezekana ili watu wafanye imformed decisions.Hivi ndivyo Mungu alivyoagiza.Hii ni muhimu hasa kwenye siku hizi za mwisho.

Frankly sijui kwa nini mnawa-lable Wasabato.Ni kweli wanayomafundisho mengine ambayo hayaendani na Biblia,lakini kwa bahati mbaya siyo mnayoya-quote.FUNDISHO LAO KUHUSU THE ANTICHRIST NI SAHIHI KABISA!Pole kama wamekushika pabaya.
Hizi mada zinakuja sabato inapoanza au kuisha..
 
Pole kama unadhani RFID chip kama ilivyo ina nia njema kwa wanadamu.Tangu lini Shetani akawa na nia njema kwako.Kwa taarifa yako halali usiku na mchana akijaribu kuharibu kila jamboi jema Mungu alilopanga kwa ajili yako.Wakeup man,mbona umelala sana?The devil is after your body and soul,fight back.
Kwa nini kila jambo zuri anasingiziwa shetani?Au hatuna maarifa?
 
Nimekutana na hii habari kwenye jarida moja wakiongelea RFID hata hivyo sijui Ni kwanini tunaihusisha na Unabii wa Ufunuo! Kwani alama za Kiimani hufanyika nafsini kwa ishara itakayo fanywa Juu ya mwili kwa lengo Hilo . Kwa mfano Ukimwagia mtu Maji au hata ukimzamisha mtoni kama mhusika hajui 'ubatizo' utakua hujambatiza! Lkn kumwagia Maji mtu anaetaka kubatizwa kwa Lengo la kumbatiza Ni tendo ambalo humwekea mtu alama ya Kudumu huku likianzisha Uhusiano na Yesu Kristovna kumfanya kua mtoto wa Mungu kwa kuondoa Dhambi ya Asili na dhambi zote nyingine lkn iwepo Imani!
Implanted electronic tags might sound futuristic or dystopian depending on the situation but it turns out this is a practice in which some are already participating. The Wall Street Journal recently reported on one man who has several such implants and uses them for things like unlocking doors at his apartment, office and a parking lot gate. Other tags store information, one with business contact information and another with personal information. The newspaper quotes an estimated figure of 30,000 to 50,000 people in the world using these kind of implants.
Is this really the future we're headed toward? It's hard to say how popular this kind of procedure will become, but it's certainly more invasive than a simple wearable device. Many wearables makers are already envisioning a future in which electronic tags can be used in lieu of business cards with the tap of a smartwatch or smart ring. If millions of people are still willing to wear glasses instead of contacts or getting laser eye surgery, it's a good bet that many people will prefer to stick with accouterments over implants.
It's a good time to be in the RFID business, though. These electronic tags have proven useful in all kinds of products. Whether subdermal or not, RFID tags will likely play an ever larger role in the future for things like security and basic electronic information exchange. Possible uses right now are seemingly endless. Possible medical uses have some people especially optimistic about the use of RFID implants. They could be used to identify people with certain conditions that could be critical to paramedics and first responders. They could also be used in hospitals to confirm identities when performing procedures, possibly reducing medical malpractice.
The most practical thing about implanted RFID chips, besides the convenience, is that they can't be switched or mixed up. In hospitals, this could be a more critical feature than for the average consumer. Many people likely still cringe at the idea today, but if this becomes normalized, it could become much more common in younger people. Adults today might not feel like they're missing much by sticking to RFID wristbands or NFC rings, though. Those remain good options too.
 
Alama ya 666 ni ya rohoni au ni ya kinafsi zaid na si kihalisia hakuna cha kuwekewa chip wala nn ni mfumo wa kiutambuzi wa kiimani zaid.
 
Mimi sio Msabato 100% ila ninajua kwa kina uovu unaoendelea ambao uko kinyume na mapenzi ya Mungu.Ninachofanya ni kufunua uovu huo kila inapowezekana ili watu wafanye imformed decisions.Hivi ndivyo Mungu alivyoagiza.Hii ni muhimu hasa kwenye siku hizi za mwisho.

Frankly sijui kwa nini mnawa-lable Wasabato.Ni kweli wanayomafundisho mengine ambayo hayaendani na Biblia,lakini kwa bahati mbaya siyo mnayoya-quote.FUNDISHO LAO KUHUSU THE ANTICHRIST NI SAHIHI KABISA!Pole kama wamekushika pabaya.
Sasa zuzu kama wewe ndio wa kunishika pabaya...We ni wa kupuuzwa maana akili yako ipo makalioni
 
Pole kama unadhani RFID chip kama ilivyo ina nia njema kwa wanadamu.Tangu lini Shetani akawa na nia njema kwako.Kwa taarifa yako halali usiku na mchana akijaribu kuharibu kila jamboi jema Mungu alilopanga kwa ajili yako.Wakeup man,mbona umelala sana?The devil is after your body and soul,fight back.
Elimu elimu elimu......

Matatizo ya njaa kuhamia kwenye kichwa badala ya kukaa tumboni...Hivi si wewe uliyeleta mada kama hii ukimhusisha Pope nikakuuliza maswali ukalala mbele..??

Hebu tafuta clinic ya magonjwa ya akili ukatibiwe ..Unakoekekea utakuja kuwa kichaa....

Ulivyo-bogus huwezi kujiuliza maswali au ukadadisi mambo madogomadogo...Hivi huyo shetani anakaa wapi kwenye hiyo chip..?

Halafu kama ni chip mbona unazo nyingi....Sim Card, ATM , una Laptop....Au hujui maana ya chip na kazi zake....unaakili timamu kweli wewe..? Nani kakuloga???
 
nimeridhika na majibu
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.......sijui kama dini na sayansi kuna siku zitakuja kupatana.....
Ngoja na mimi nitie neno kidogo.

RFID ni technology ambayo hutumika kwa ajili ya ku-"track" vitu. Inaundwa na vitu viwili vikubwa ambavyo ni TAG na READER. Tag inakua na taarifa za kitu ambacho kimewekewa huo mfumo wa RFID wakati READER hutumika kusoma taarifa za kwenye TAG.
Mfano kama ng'ombe wako kapotea na ulimfunga hii system basi unaweza kujua yuko wapi endapo sehem aliyokwenda kuna hizi reader ambazo zitapeleka taarifa kwenye Database husika. Pia hutumika hospitalini kufuatilia magonjwa hasa ya moyo.

Kuwekewa chip kwa binadamu lengo kubwa ni kuweza kukufatilia kwa ukaribu....hebu waza kidogo kama huu utamaduni ungekuwepo toka kitambo unadhani Osama, IS, Al shabab, Boko haramu na wengineo wengi wangesumbua kiasi hiki kujua walipo?
Fikiria umepata ajali unakwenda hospital badala ya kuanza kukupima wajue blood grup yako ni ipi wanascan tu chip yako wanapata taarifa zako, hapa utahudumiwa haraka na hata ndugu zako watapewa taarifa kwa urahisi badala ya kuanza kuhangaika kukutambua wewe ni nani.

Kama wasiwasi wako ni kufuatiliwa basi ni uoga wa bure tu mkuu kwani mpk sasa unafatiliwa pasipo kujifahamu. Mfano: unatumia line umesajili kwa jina lako, una kadi ya bank, una passport, bima ya afya, leseni, kitambulisho cha kura, vyeti lukuki, leseni nk hivyoo vyote vimehifadhi taarifa zako sehemu tofauti tofauti ina maana ni just mtu kuchukua muda nakuanza kukusanya hizo taarifa na kuziweka pamoja.

Sasa turudi kwenye ufunuo ambao unadai kwamba kutumia chip ni kumtumikia shetani. Mi nadhani imani ya mtu haibadilishwi kwa kuwekewa chipu. Tunatumia vitu vingi sana ambavyo waasisi wake ni hao hao wanadaiwa ni wafuasi wa Lucifer. Swali je imebadilisha imani ya watu na kuanza kumtumikia shetani? Mi nadhani pia kuwa huku na hofu dhidi ya shetani, kunawapa nguvu kiasi cha wale wasio amini uwepo wake kumtilia shaka uweza wake (Mungu).

Mkuu binfsi siungi mkono kuwekewa chip ila si kwa hofu ya imani yangu, la hasha ila sipo comfortable to have the feeling that someone knows niko wapi mda huu coz it compromise my privacy.

Mwisho:
Hebu tuache kumpa kiki shetani (kama wasemavyo vijana wa mjini) manake huyu ibilisi anapewa kiki kuliko hata Mungu. Ifikie mahali tuseme wajinga (shetani na kundi lake) ndio waliwao kma wanaleta vitu vizuri tunatumia kwa jina la Mungu na hakuna baya litakalotupata.
nimeridhika na majibu yako mungu akubariki ndugu yangu
 
Back
Top Bottom