Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Wadau, naona mwaka tunauanza na kila kitu kikiwa bei juu....cheki mwenyewe..
1. Mchele.. 1900
2. Sukari...2000-2700
3. Maharage....1300-1500 na vingivyo vingi tuu..kwa sisi tulioanza maisha ya kujitegemea juzi....tunakatisha tamaaa tuuu
1. Mchele.. 1900
2. Sukari...2000-2700
3. Maharage....1300-1500 na vingivyo vingi tuu..kwa sisi tulioanza maisha ya kujitegemea juzi....tunakatisha tamaaa tuuu