Vitu ambavyo wanaume hawapendi kutoka kwa wenza wao.

ndio maana wanasema, kuishi vizuri na mume, mpende kidogo, ila umuelewe kwa sanaaa

maisha yanakuwa burudan ingawa sometimes tc too hard kuwaelewa hawa viumbe, kwa mfano....
kuna kipind nilikuwa nagombana sana na husby kisa hapendi nimuulize yuko wap...anadai maswali kama hayo yanamshushia hadhi kwa wenzie, nikaona poa, nikaacha kuuliza kiac kwamba hata kama kachelewa vp kurud, siuulizi kwa kupiga sim, wala akija home, siuliz zaid ya kumuuliza ameshinda vipi, na wala sigombani nae au kumkasirikia anaporud amechelewa, haikupita hata mwez akaanza kunipigia mwenyewe akilalamika vipi siku hizi mbona sijali tena yuko wapi na nan, na anafanya nini,..tena akaongezea au labda nimewekeza kwa mwingine....nikachoka kwa kweli...
niliwahi kusema habari wengine wanataka zenye harufu ya fenesi hapa watu wakanibishia!mwnanadamu bwana!
 
nahisi nyie pia sometimes mnakuwa sitaki nataka, coz reaction ya husby wangu ilionionesha kuwa alikuwa anaenjoy hiyo hali ya mie kumuuliza na kumsumbua kuwa yuko wapi na anarudi saa ngapi......
Teh teh teh Sisi ndio wanaume bwana, Tunabadirika kutokana namazingira.
 
Ni Mario flani

ben_kinyaia.jpg
Wabongo kwa kuchanganya watu. Huyu mbona ni Ireen uwoya?
 
Mimi huwa ananikera nikiwa ofcn muda wa kazi ananipigia na kuanza kuniuliza kama nampenda, ananimisi, alafu mimi nianze kumliwaza. Huwa nakata cm bora achukie. Niko nafanya kazi serious inataka attention af mtu analeta mambo ya mapenzi kazini inakera
 
Back
Top Bottom