Bastola je? Miguu ya bia sijui, shingo za upanga vipi mkuu au za kizamani?
Mkuu hizo ni ordinary, hapa tunazungumzia Extraordinary.
Hao mnaowatafute nyie lazima uwe fisadi ndo uweze ishi nao yaani ni too much DEMANDING
Kuna sifa huwa hazionekani kwa macho mpaka uonje. Napenda hizo!.Mim sina sifa hata moja kati ya ulizozitaja hapo juu, ila nawapagawisha sana wanaume (sijifagilii ila ndio hivyo). Nadhani ni ngumu kujua wanaume wanataka nini.
Kuwa ulivyo, usiishi kuimpress mwanaume.
Manyonyo je?
Hivi wanawake wote wangekua wanavaa mabaibui na kungekua hakuna saloo watu wasingeoana?