Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
Silka ya hoyo wako na ayeyo wako!unatuletea ushamba wako wa isirii!MadameX...mm hata sikutongozi....nacheza na akina Jokate...Mademu wa Ukweli:nod::nod:
Silka ya hoyo wako na ayeyo wako!unatuletea ushamba wako wa isirii!MadameX...mm hata sikutongozi....nacheza na akina Jokate...Mademu wa Ukweli:nod::nod:
tehe tehe that's why i luv Jamii Forums....yaani wee acha tu.....
shukrani sana juan.....kusifia ni kuzuri nashangaa wabongo wanawaka hasiraa.....angewaponda je?Nyie vipi!! Hebu acheni vitoto vya kibongo visifiwe.
alshabab............unauraia wa tz,au unaingiaaa kwa mbwembwee
dah!!! mi nakumbuka kichenchede changu cha kisomali..kitamu icho..nlikuwa huko muda flani.. lakini nlirudi huku kwaajili ya matatizo ya vita na njaa huko, nlikua nawachapa kweli maana nlikuwa nawahonga unga wa msaada.. bora kaka ake yuko hapa karibu nijaribu kumuuliza kama katakuwa hakajafa kwa vita au njaa..eti broo dada ako yupo bado..
Mmmh nami ningekwenda somalia nikaonje,lakini mambo ya alshabab nakosa amani kabisa.