Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
CHADEMA wana kazi kubwa huku Iramba Magharibi. Miezi miwili iliyopita Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA alibambikiziwa uchawi nyumbani kwake huko Kijijini Kisana. Wanakijiji wakakusanyika na kutaka kumpiga akakimbia. Tangu kipindi hicho amekuwa akijificha. Watu walidai kipindi hicho kwamba mpango ulisukwa na Mwigulu ili kumchafua na kuharibu taswira ya CHADEMA kwa kuonyesha kwamba viongozi wa CHADEMA ni wachawi! Watu hawakuamini sana.....
Chadema can fix that by electing a real an m4c guy na inakuwa jibu kamili am sure wako wengi wanajuana so go Iramba go