Viti maalumu (women special seats)

Wanaangalia mambo mengi, mfano kwa cdm nilishawahi kusikia vigezo vilivyotumika ni uzoefu katika chama, mchango wake katika ujenzi wa chama, elimu yake, muda ambao amekitumikia chama, uthubutu katika kushiriki katika mchuano wa ubunge and the like!

Kwa Chadema wanaangalia kama una uhusiano na Mtei unapata
 
Mkuu, umwkosea sana. Kwa chadema hivyo si vigezo. Chadema wanaangalia unasaba na viongozi wakuu au waasisi wa chama, urembo, kama ni kiburudisho cha wenye mamlaka na kutokuwa na tabia ya kuhoji mambo

Najua unafanya kusudi ukweli unaujua,misijui vizuri ila walitenga kwa % kwa kila kigezo.mf elimu digrii 10%,kujitoa kwa chama 10%,kugombea kwenye jimbo 10% na mengineyo lkn yote ni 10%
 
CHADEMA vigezo na masharti vinazingatiwa, Mbowe au BABU wanajua mbinu zao.

Acha zako ww,Waliopanga vigwezo kwa upande wa CHADEMA ni kamati maalum ya chama.Wahusika ni Pro M.Baregu na Dr Kitila Mkumbo.Huyu wa mwisho ni rahisi kumuuliza ili katae,muulize basi
 
Siri ya wenye viti wa vyama labda mbowe anajua zaidi

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Marehemu chacha wangwe enzi ya Uhai wake alipinga staili uliyokuwa ikitumika kuteua wabunge viti maalum kwani enzi zile ilikuwa from kasikazini Pia mambo fulani yalibugikwa kiaina
 
Kwa chadema vigezo ni hivi hapa
1: kipochi manyoya mnato
2: ukioza meno
3: undugu na misu,kengeza,sina raha
4:uwe mtiifu kwenda dubai
5: uwe na uwezo wa kubeba mbami kama mukya

Chezea Mzimu wa chacha wangwe wewe...
 
Ambaye anafahamu hivo vigezo naomba anijulishe
Money Stunna

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wa-viti-maalum-na-hoja-za-leticia-musore.html


Tatizo la huyu mama yetu alikariri kwamba yeye lazima ilikuwa awe mbunge wa viti maalumu kwa sababu tu alikuwa mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Bahati mbaya kwake ni kwamba hatukuwa na kigezo specific cha kumlenga mwenyekiti wa bawacha au kiongozi yeyote mwingine. Katika vigezo tulivyotumia yeye aliangukia kwenye namba 29 kama inavyoonekana katika orodha hapa chini ya first 40 candidates.

Katika safari hii ya mapambano sio abiria wote watakaofika mwisho wa safari; wapo watakaoshukia njia-huyu ni mojawapo!!

Orodha ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu-CHADEMA

Orodha ya wanawake 40 wa juu


1.Lucy Fidelis Owenya
2. Esther Nicholas Matiko
3. Mhonga Said Ruhwanya
4. Anna MaryStella John Mallac
5. Halima James Mdee
6. Paulina Philipo Gekul
7. Conjesta Leos Rwamlaza
8. Susan Kiwanga
9. Grace Sindato Kiwelu
10. Susan Lyimo
11. Regia Mtema
12. Christowaja Mtinda
13. Anna Valerian Komu
14. Mwanamrisho Abama
15. Joyce Mukya
16. Leticia Mageni Nyerere
17. Naomi Kaihula
18. Chiku Abwao
19. Rose Kamil Sukum
20. Christina Lissu Mughiwa
21. Raya Ibrahim Hamisi
22. Philipa Geofrey Mturano
23. Mariam Salum Msabaha
24. Rachel Mashishanga Robert
25. Sabrina Hamza Sungura
26. Rebecca Michael Mngodo
27. Cecilia Daniel Pareso
28. Subira Shabani Waziri
29.
Leticia Gati Musore
30. Helen John Kayanza
31. Rosana Osemu Chapita
32. Mona Shomary Bitakwate
33. Evarim Adrian Mpangama
34. Asha Sudi Kayumba
35. Hija Rashid Wazee
36. Mary James Martin
37. Sophia Hebron Mwakagenda
38. Bupe Odeni Kyambika
39. Magreth Thadei Mangowi
40. Esther Cyprian Daffi


chitambikwa likes this.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom