kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Ama kweli jana nilikuwa nikiangalia Taarifa ya habari saa 2 za usiku kupitia TBC1 na kumuona Kapt.John Chiligatti akisema viti maalum vimeongezwa hadi kufikia 100, sasa mimi naomba kuuliza hivi hawa nao wanategemea kulipwa posho na mishahara kutoka ktk kodi zetu? wingi wao unanitia shaka na kunifanya niamini huu ni mkakati wa kupeana ulaji wa baadhi ya watu wanaokosa mvuto na kutokubalika kwa wapiga kura, 100 special seats for what?