Vitambulisho vya Taifa vyakamilika!

mushi.JPG
South African ID ( Kitambulisho)
mush.JPG
 
Pasipoti, leseni ya udereva, kitambulisho cha kura, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha kazi, na sasa kitambulisho cha taifa. Vyooote hivi vinamtambua tu mmoja!

Je kwa hicho kipya cha kitaifa kitakuwa ni muungano wa vyooooote au tena utalazimika kubeba vitambulisho vingine?
 
Na huu Muungano wenye pending issues itakuwaje?hao wanaotaka kujitoa watapewa vitambulisho vya wapi?
 
Pasipoti, leseni ya udereva, kitambulisho cha kura, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha kazi, na sasa kitambulisho cha taifa. Vyooote hivi vinamtambua tu mmoja!

Je kwa hicho kipya cha kitaifa kitakuwa ni muungano wa vyooooote au tena utalazimika kupeba vitambulisho vingine?
Bureaucracy at its best...ilitakiwa mambo yote yawe katika ID moja.
 
apologies in advance

the drive behind this ilikua ni ile procurement contract zaidi
 
Pasipoti, leseni ya udereva, kitambulisho cha kura, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha kazi, na sasa kitambulisho cha taifa. Vyooote hivi vinamtambua tu mmoja!

Je kwa hicho kipya cha kitaifa kitakuwa ni muungano wa vyooooote au tena utalazimika kubeba vitambulisho vingine?

Kuna ulazima pia wa kuwa na hivyo vitambulisho vingine maana kila kitambulisho kina kazii yake. Sasa kama nikitumia kitambulisho cha taifa ofisini unadhani ni nani atakaye nitambua kuwa nafanya kazi katika kampuni husika?
 
Pasipoti, leseni ya udereva, kitambulisho cha kura, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha kazi, na sasa kitambulisho cha taifa. Vyooote hivi vinamtambua tu mmoja!

Je kwa hicho kipya cha kitaifa kitakuwa ni muungano wa vyooooote au tena utalazimika kubeba vitambulisho vingine?

Kuna watu hawana passport,drivers license,kitambulisho cha kura wala kitambulisho cha kazi,National ID itawasaidia
 
Tusubirie kusikia ubadhilivu utakaokuwa umefanywa ktk uandaaji wa hivi vitambulisho
 
Back
Top Bottom