Kankwale
Senior Member
- Apr 5, 2012
- 131
- 20
mkurugenzi wa NIDA Amewaeleza waandishi wa habari kuwa kitambulisho kitapatikana labda baada ya miaka miwili ijayo kwa kuwa hatua zinazofanyika sasa ni za awali kwani hatua za kupata kitambulisho ni:-1.kujaza fomu 2.kamati za ulinzi na usalama kuhakiki fomu3.kupiga picha na finger print 4.kuprint kitambulisho 1st draft ili mwenye kitambulisho afanye uhakiki wa taarifa5.kitambulisho harisi.Itv na tbc