chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Mchakato wa vitambulisho vya RAIA vya Taifa umeanza. Pale Chuo Kikuu Kampasi kuu, wafanyakazi wanajaza fomu za kupata vitambulisho hivyo. Fomu zinazojazwa zimeandikwa kwa Kiingereza. Maswali yangu:
1. Mbona taarifa hizi hazitangazwi kwa RAIA WOTE? Kwa nini zoezi hili limeanza kimya kimya?
2. Wananchi wa sehemu nyingine wameanza pia kujaza fomu hizi? Kama bado wataanza lini?
3. Je, ni lvipi kuhusu ugha inayotumika katika fomu hizi?
4. Nani ameshinda tenda ya kuvitengeneza?
Tujadili. Tueleweshane!
1. Mbona taarifa hizi hazitangazwi kwa RAIA WOTE? Kwa nini zoezi hili limeanza kimya kimya?
2. Wananchi wa sehemu nyingine wameanza pia kujaza fomu hizi? Kama bado wataanza lini?
3. Je, ni lvipi kuhusu ugha inayotumika katika fomu hizi?
4. Nani ameshinda tenda ya kuvitengeneza?
Tujadili. Tueleweshane!