ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Ndugu zangu naomba kujua je vitabu vya mtunzi Elvis msiba nitavipata wapi mana nina kumbuka mbali sana kipindi hicho cha shule kuna kaka yangu alikuwa anakuja navyo wakati wa likizo.naomba msada nitavipataje.mfano KUFA NA KUPONA .KIKOSI CHA KISASI.HOFU.NJAMA.HUJUMA au uhaini Mwandishi mwingine ni MTOBWA na vitabu vya JOLAM KIANGO.Naomba tufafahamishane ndugu zangu emeil yangu ni josepheric674@yahoo.com