Vitabu vya geography

Integrated Geography by David Waugh. (bei yake ina range kwenye 90,000/= na kuendelea )
NB: Kama ni mvivu kujisomea vitabu hakikufai tafuta Nyangwine Books.
Pia kuna vingine vimechapwa na Longman ni vizuri kwa maana ya practical na physical. Nenda Bookshop utavpata ni vya kjan.
Kibongobongo physical geo ni nzuri ya Msabila kuliko ZISTI NA practical bora utumie ya Zisti.


Muhimu.
vitabu vilivyoandikwa na Waandishi wa KITANZANIA (ARTS SUBJECTS) VINAMAPUNGUFU,hivyo ni chaguo lako.
 
Integrated Geography by David Waugh. (bei yake ina range kwenye 90,000/= na kuendelea )
NB: Kama ni mvivu kujisomea vitabu hakikufai tafuta Nyangwine Books.
Pia kuna vingine vimechapwa na Longman ni vizuri kwa maana ya practical na physical. Nenda Bookshop utavpata ni vya kjan.
Kibongobongo physical geo ni nzuri ya Msabila kuliko ZISTI NA practical bora utumie ya Zisti.


Muhimu.
vitabu vilivyoandikwa na Waandishi wa KITANZANIA (ARTS SUBJECTS) VINAMAPUNGUFU,hivyo ni chaguo lako.

nashukuru kwa kunifahamisha, kwani kuna kitabu kimoja ambacho kinakuwa na physical and practical au vinakuwa vitabu viwili tofauti? Na hao zisti na msabila siyo wabongo?
 
Zist kamil yuko vizur ktk geography one in practical nenda barneth for diagrams msabila in georg11 yuko vizur sana
 
ni wabongo wenye unafuu,kuna ktabu kimechapwa na Longman n practical geo nikizur zaid na kwa physical geo ndo hyo integrated Geograph. Msab na zist kuna topic kama WETLAND HAWANA NA HATA ALIYOITOA ZIST( kuna kajitabu zist kaunganisha na topic ya soil) Hakikidhi haja ya mwanafunzi juu ya topic ya Wetland
 
Zist kamil yuko vizur ktk geography one in practical nenda barneth for diagrams msabila in georg11 yuko vizur sana

Bannet ni kwa O'Level mkuu, tafuta Physical landform for Africa hiki nacho mchapaji ni Longman. kipo vzur n zaid ya Bannet.
 
Zisti kwa practical yuko poa sema tu survey yake ndo ipo shallow.
lakini its the best kwnye hzo topic nyingine
 
kiukweli waandishi wetu wa kibongo wanazingua sana. naomba mheshimiwa waziri wa elimu alifanyie kazi suala hili maana wanafunzi wetu wamekuwaq wanakimbilia kutumia vitabu bila kujua ubora wake na kujikuta kwenda chaka katika mitihan yao!!!!!!!! tuchukue hatua
 
Jamani naombeni kuuliza vitabu vizuri vya geography vya advance
Tafuta msabila wewe ndio ameelezea vizur katka kila kitu.
1/HUMAN AND ECONOMIC GEOGRAPHY
2/PHYSICAL GEOGRAPHY
3/PRACTICAL GEOGRAPHY
Huyu jamaa yuko vizur mtafute
 
kiukweli waandishi wetu wa kibongo wanazingua sana. naomba mheshimiwa waziri wa elimu alifanyie kazi suala hili maana wanafunzi wetu wamekuwaq wanakimbilia kutumia vitabu bila kujua ubora wake na kujikuta kwenda chaka katika mitihan yao!!!!!!!! tuchukue hatua
Hebu nanyi tungeni tuone ubora wenu, maana mnakosoa bila kuprovide solution, kwa kiasi kikubwa wamejaribu lakini kusema hawajafanya kabisa si kweli.
 
Hebu nanyi tungeni tuone ubora wenu, maana mnakosoa bila kuprovide solution, kwa kiasi kikubwa wamejaribu lakini kusema hawajafanya kabisa si kweli.
Huyo jamaa alivyosema n kwel vitabu ving vya tz vimetofautina katka maelezo yanayoelezea topic mbalmbal.
Ambapo hupelekea kuchanganya wanafunz.
Mfano mzur n topic ya "THREAT TO THE WORLD PEACE AFTER SECOND WORLD WAR"
Hii topic kila mwandish ameilezea tofaut kulingana na uelewa wake.
Major events ameelezea tofaut na mastering ya mwl. Kato, lakn vyote na vitabu vya history.
Apo ndio unapoona utofaut wa vitabu kwa hapa tz na kumchanganya mwanafunz
 
Jamani naombeni kuuliza vitabu vizuri vya geography vya advance
D.T Msabila edition ya 2014 ni kizuri kwa physical geog pia kina topic ya wetlands.
Kwa practical tumia zisti kamili..
Ila Human and economics geog tumia pia kitab cha D.T msabila ni kizur na kitakusaidia sana..Pia jaribu na kutafta vitin vya Mtegetwa kwa topic moja moja zilizofafanuliwa.(physical pia na practical geo)
 
Huyo jamaa alivyosema n kwel vitabu ving vya tz vimetofautina katka maelezo yanayoelezea topic mbalmbal.
Ambapo hupelekea kuchanganya wanafunz.
Mfano mzur n topic ya "THREAT TO THE WORLD PEACE AFTER SECOND WORLD WAR"
Hii topic kila mwandish ameilezea tofaut kulingana na uelewa wake.
Major events ameelezea tofaut na mastering ya mwl. Kato, lakn vyote na vitabu vya history.
Apo ndio unapoona utofaut wa vitabu kwa hapa tz na kumchanganya mwanafunz
Si rahisi waandishi wafanane, maana wakifanana huna haka ya kusoma vitabu vingine hivyo soma ili uchambue hats vitabu vya nje vinatofautiana.
 
Si rahisi waandishi wafanane, maana wakifanana huna haka ya kusoma vitabu vingine hivyo soma ili uchambue hats vitabu vya nje vinatofautiana.
Ndii vinatofautiana lakn cha umuhmu ni maudhui yanatakiwa yalingane.
Ata kama mtatofautina katka lugha katka kuelezea jambo
 
Back
Top Bottom