The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Well said. Remembering times nilikuwa naharibu madaftari kufungia mihogo. Kila kukicha siachi kuomba daftari mpya.
Mwishowe mzee akachoka nakuhitaji ni mletee daftari zangu zote lol. Daftari zikaja akahesabu karatasi za daftari zote hazifiki hata daftari moja.
Mzee akaenda dukani akaninunulia daftar moja akaja mbele ya macho yangu akachana karatasi mpaka zilizobaki kufikia jumla ya idadi ya karatsi zilizobaki kwa daftari yangu. He said hizi zitakutosha kwa masomo yako.
Hiyo wiki nilijifunza somo jamani, maana kila mwalimu alikuwa ananipakipondo cha hali ya juu kutokuwa na daftari ya somo husika.
Tangu hapo nilijifunza lol.
ha ha haaa aisee
karibu sana