Vitabu tu au kuna vingine? ushauri plzzz

Well said. Remembering times nilikuwa naharibu madaftari kufungia mihogo. Kila kukicha siachi kuomba daftari mpya.
Mwishowe mzee akachoka nakuhitaji ni mletee daftari zangu zote lol. Daftari zikaja akahesabu karatasi za daftari zote hazifiki hata daftari moja.
Mzee akaenda dukani akaninunulia daftar moja akaja mbele ya macho yangu akachana karatasi mpaka zilizobaki kufikia jumla ya idadi ya karatsi zilizobaki kwa daftari yangu. He said hizi zitakutosha kwa masomo yako.
Hiyo wiki nilijifunza somo jamani, maana kila mwalimu alikuwa ananipakipondo cha hali ya juu kutokuwa na daftari ya somo husika.
Tangu hapo nilijifunza lol.

ha ha haaa aisee
karibu sana
 
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,
hapana chezeya Mtambuz kabisa..........lol
Huyo kakuonea aibu, mie niliwahi kutemana na GF wangu nikaenda kwao kudai hela zangu za chipsi nilizokuwa namnunulia wakati wa kilele cha mapenzi yetu............... chezea Mtambuzi weye..........................LOL
 
Habari wanajf
Mimi niko na tatizo , mpenzi wangu tuliyeachana hivi karibuni ameenda kudai vitabu hom, sijui ana maana gani na malengo gani kwangu coz si heshima mtu kwenda kichwakichwa kwa wazazi wa x-gal wako kujieleza ili iweje? hapa nilipo nimechanganyikiwa coz mazingira ninayoishi it is not easy for them kuichukulia hiyo issue kawaida, hapa tayari nimeulizwa maswali kadhaa na mama mdogo anayenilea najua itakuwa vigumu sana kwa yeye kuchukulia hiyo issue kawaida. Ushauri plz, tatizo pia kajieleza kuwa tulikuwa na uhusiano na hiyo kitu kwa jinsi ninavyomfahamu mama ni msala mtupu. Plz naihitaji ushauri wenu nifanyeje coz sijui amemueleza nini mama. nahitaji ushauri wenu coz sina mwingine wa kumuomba ushauri.
N.B
Vitabu alinipa mimi na kutokana na hasira zake aliniambia nivichome hivyo alivyovifuata kwangu nikamjibu nimevichoma kwahiyo ili anichomee akaona aende kunisemea hom na huko ameeleza sijui nini kwa mama mdogo.

Inavyoonekana kiumri wewe bado mdogo sana,kama sijakosea upo sekondari.ushauri wangu"kazana na shule achana na haya mambo mengine,mambo ya mapenzi yatakupotezea mda wako.you have to do the right things at the right time"yangu ni hayo tu mdogo wangu.
 
hiyo discipline imekusaidia mno
na pengine unatamani wanao wangeipata hiyo routines....
wala si utani.yale malezi tulikuzwa nayo natamani kweli kweli na to be frank im copying and pasting,though sina shamba la kupeleka watoto wangu lakini najitahidi sana niwape the same routine.kuna vichallenge vya hapa na pale manake kuna kajisentence sikapendi mimi haka""but mum its not fair""
 
dah!unanikumbusha enzi zile za mkoloni wetu acha kabisa yale yalikuwa maisha bana. mtoto nyumbani unajua huyu ni baba na huyu ni mama mtalima mboga na mashamba kama kubota akikupeleka shule anachagua shule yenye kazi eti kisa ukirud home uwe na akili ya kazi.

jamani nilisoma weruweru huko kazi mtido mmoja hadi kuosha ng'ombe ukirud home hakuna kupumzika tena kama kuonsha ng'ombe uje na skills ulizo pata shule ukienda kupanda mahindi uje na skills ulizopewa shule yaani hadi unahisi duia si yako tena. leo hii mpe mtoto bustani ya hatua 4 tu uone cha mtema kuni lol!

yani we acha tu!tukikuwa tunaumiaje umechaguliwa shule ya boarding na baba yako ana nafasi kabisa ya kukuhamisha maana wenzio wanahamisha na kuletwa day,unaacha uende huko huko, mi o level nilisoma day nikajua nimesave kuja a level huwezi amini nilihamishwa shule niliyopata nikapelekwa mtwara girls,imagine kulikuwa kunafananaje ,basi la kwenda shule mnaenda siku tatu njiani,nakuja kukutana na ugali ni bonge la dona,nililia sana siku ya mwanzo lakini ilinipa mafunzo ya maisha kwa namna ya ajabu!ilifundisha kusave,kuishi na watu,kujituma,kujitegemea.
 
Ebwana hata mie naanza kuamini kuwa shida huleta maarifa..
Kizazi ambacho watu hawakuwa na nyenzo they really worked hard kutafuta maarifa compared na hawa wasasa..
Last time nilikuwa Japan wanalalamika kuwa wanashindwa kupata ile 'cream ya intellectuals' iliyowabeba kwenye 'bubble economy' ya miaka ya 80s..Kizazi kilichopo kimekuwa cha cut and paste from wikipedia..

sasa hiyo ni japan wanalia hivo huku kwetu si ndo balaaa!jamani mi nafikiri ifike wakati kama familia tuamue kuwa na maisha tofauti kidogo na jamii inayotuzunguka kusema ukweli hawa watoto tunavozidi kuwaacha hivi hatuwatendei haki,hebu kila mzazi kwa nafasi yake ajitazame na kind of discipline codes alizoweka nyumbani kwake haijalishi tuna nafasi nzuri kiasi gani kimaisha,thingz like mtoto anarudi nyumbani muda anaotaka,chakula kinawekwa mezani anasema hali sasa hivi,au we umetoa maagizo upikwe wali na maharage ye anachukua nyama kwa sababu ipo kwenye fridge ndo yanapoanzia mambo ya kutokuwajibika kimaisha ndio hapo wanapoanza kutake eevrything for granted,ndipo wanapoanza kutokuwa makini na muda,pesa,jamii,.na mambo mengine mengi hata wanaanza kuwa irresponsibly kwa miili yao wenyewe!
 
wala si utani.yale malezi tulikuzwa nayo natamani kweli kweli na to be frank im copying and pasting,though sina shamba la kupeleka watoto wangu lakini najitahidi sana niwape the same routine.kuna vichallenge vya hapa na pale manake kuna kajisentence sikapendi mimi haka""but mum its not fair""
hahahah...the exact phrase mdogo wangu anachopenda kukitumia....tena akikatishwa video game anasema "oh meeeen"....nimekuja kugundua kuwa umri unavyozidi kwenda wazazi wanapunguza ukali,maana ingekuwa enzi zetu ni viboko kwenda mbele..
 
hahahah...the exact phrase mdogo wangu anachopenda kukitumia....tena akikatishwa video game anasema "oh meeeen"....nimekuja kugundua kuwa umri unavyozidi kwenda wazazi wanapunguza ukali,maana ingekuwa enzi zetu ni viboko kwenda mbele..

yani we acha tu!hivi mzazi anakwambia uache kitu miaka ile unathubutu kumjibu!nini kumjibu mi mamangu alikuwa akikuona umekunja sura tu utafinywa mapajani we mpaka ukojoe.
 
yani we acha tu!tukikuwa tunaumiaje umechaguliwa shule ya boarding na baba yako ana nafasi kabisa ya kukuhamisha maana wenzio wanahamisha na kuletwa day,unaacha uende huko huko, mi o level nilisoma day nikajua nimesave kuja a level huwezi amini nilihamishwa shule niliyopata nikapelekwa mtwara girls,imagine kulikuwa kunafananaje ,basi la kwenda shule mnaenda siku tatu njiani,nakuja kukutana na ugali ni bonge la dona,nililia sana siku ya mwanzo lakini ilinipa mafunzo ya maisha kwa namna ya ajabu!ilifundisha kusave,kuishi na watu,kujituma,kujitegemea.

ila kiukweli sisi wazazi wa sasa wadogo zetu walikosewa ila sisi tusiwakosee watoto wetu. tujitahd kuwalea kwa kuwajengea kujituma na kujitegea yaani ukweli mim mwanangu wa miaka 9 anafua chupi na soksi zake na anakipande cha busatani mbili za kumwagilia maua na mboga. zote ni hatua 5,5. jion akitoka shule baada ya kula anamwagilia ndipo apumzike. sina huruma katika kumfunza kazi.

likizo huwa nahakikisha kalima hata kama ni mchicha analima na kupanda mwenyewe na kama mimi napanda maharage ama mahindi basi yeye naye anakuja kupanda na mimi lol! watotowenyewe wakaka watupu nikiwaendekeza nitalia mwaya. nimeshasemwa na watu kwamba nawafanysha kazi watoto nikawajibu kwangu sifugi mtu nafuga wanyama so kila mtu ajitegemee. atii.
 
yani we acha tu!hivi mzazi anakwambia uache kitu miaka ile unathubutu kumjibu!nini kumjibu mi mamangu alikuwa akikuona umekunja sura tu utafinywa mapajani we mpaka ukojoe.

wee acha tu nakumbuka kuna siku tulikuwa tumetoka shamba kuchuma kahawa kisha tukatakiwa kutwaga ili kupata pishi moja la mchele tupike tule. miye nikajidi kuchoka nikasingizia naumwa tumbo nikaenda chooni nikakaa huko muda mrefu kweli hadi wakamaliza kutwanga. mama hakunisemesha kitu. imefika msosi umepikwa miye nikajisahau nikawa nkachangamka as if siumwi. muda msosi uko tayari mezani maza akapakulia kila mtu kwenye sahan yake si unajua kijijini hakuna self service? basi alichokifanya Mungu hatak alichukua mpunga akaweka mboga akanipa akasema hakuna mtumwa hapa kila mtu ale kwa jasho lol! niliishia kula mboga tu nikalala usingizi haukujakabisa kisa njaa. toka siku hiyo uvivu niliachana nao.
 
That's so nice but msitulaumu sana ndo mnavyotulea wenyewe... Baba yupo busy, mama yupo busy wenyewe wanachojua ni kulipa xul fees tu na kuweka kila kitu ndani as msipate shida may be na ka dstv na playstations za kuwaliwaza wakati hawapo hapo lazima watoto wawe wavivu kwenye kazi za mikono as mzaz unakuta anataka usome tu mambo ya kazi hayakuhusu watafanya wanaolipwa mishahara, I grow up in a family of busy parents so najua what's happening japokuwa watoto nao wanazingua....
 
That's so nice but msitulaumu sana ndo mnavyotulea wenyewe... Baba yupo busy, mama yupo busy wenyewe wanachojua ni kulipa xul fees tu na kuweka kila kitu ndani as msipate shida may be na ka dstv na playstations za kuwaliwaza wakati hawapo hapo lazima watoto wawe wavivu kwenye kazi za mikono as mzaz unakuta anataka usome tu mambo ya kazi hayakuhusu watafanya wanaolipwa mishahara, I grow up in a family of busy parents so najua what's happening japokuwa watoto nao wanazingua....

hatuwalaumu,tunajiuliza turudi vipi kwenye malezi tulipewa na babu na bibi zenu!
 
Inavyoonekana kiumri wewe bado mdogo sana,kama sijakosea upo sekondari.ushauri wangu"kazana na shule achana na haya mambo mengine,mambo ya mapenzi yatakupotezea mda wako.you have to do the right things at the right time"yangu ni hayo tu mdogo wangu.

Naona mnadhani mimi ni mtoto wa sekondari la mm ni graduant tena nina mwaka niko hom tangu nimalize degree yangu ya kwanza. tatizo nililonalo ni kuwa alwayz mama ni mkali anadhani sisi bado ni watoto wadogo, but mm ni mkubwa na huwa najifikiria hv huyo n mchumba atashuka tuu kutoka hewan bila kwa kwny relationships?
 
Naona mnadhani mimi ni mtoto wa sekondari la mm ni graduant tena nina mwaka niko hom tangu nimalize degree yangu ya kwanza. tatizo nililonalo ni kuwa alwayz mama ni mkali anadhani sisi bado ni watoto wadogo, but mm ni mkubwa na huwa najifikiria hv huyo n mchumba atashuka tuu kutoka hewan bila kwa kwny relationships?

Kama wewe ni graduate it means umri wako una-range 25-26yrs,nadhani ni umri sahihi sana kwako wewe kuwa na uhuru wa mawazo kwasababu wewe ni mtu mzima hasa na muda sio mrefu utaenda kwenda kuanzisha maisha yako na familia yako,uyo mpenzi wako na yeye ni graduate?mbona anabehave kitoto sana na ni kama mtu ambaye hajawa matured enough.
 
wee acha tu nakumbuka kuna siku tulikuwa tumetoka shamba kuchuma kahawa kisha tukatakiwa kutwaga ili kupata pishi moja la mchele tupike tule. miye nikajidi kuchoka nikasingizia naumwa tumbo nikaenda chooni nikakaa huko muda mrefu kweli hadi wakamaliza kutwanga. mama hakunisemesha kitu. imefika msosi umepikwa miye nikajisahau nikawa nkachangamka as if siumwi. muda msosi uko tayari mezani maza akapakulia kila mtu kwenye sahan yake si unajua kijijini hakuna self service? basi alichokifanya Mungu hatak alichukua mpunga akaweka mboga akanipa akasema hakuna mtumwa hapa kila mtu ale kwa jasho lol! niliishia kula mboga tu nikalala usingizi haukujakabisa kisa njaa. toka siku hiyo uvivu niliachana nao.
Aina hii ya ufundishaji, ninaipenda sana. Hapa kamwe huwezi kutegea kazi hata kidogo.
 
Back
Top Bottom