Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Ilikuwa ni kunako asubuhi tulivu kijua cha mawio kinachomoza na mto ukiwa tulivu na upepo tulivu ukipepea ghafla bin vuu mto ukaanza kuchafuka kilichofanya mto kuchafuka ni ugomvi wa mamba wawili uliokuwa mkubwa kupita kiasi huku baadhi ya watu waliokuwa nchi kavu wakishuhudia ugomvi huo pasipo kujua sababu za mamba hao kugombana ghafla mamba mmoja aliyeonekana kushindwa akaamua kutoka ndani ya mto na kuja nchi kavu.
Akakaa kidogo nchi kavu na kushindwa kukaa nchi kavu na kuamua kurudi tena mtoni na mwishowe wakapatana na yule mamba mwenzie huku akiwa na hasira za kimoyomoyo za kutaka kulipiza kisasi na hatimaye akaamua kuwashika kenge masikio na kuwaambia kenge kuwa yule mamba mwingine ndiye anayewafanya kuwa masikini na wale kenge kutokana na njaa zao wakaamua kuingilia ugomvi wasioujua na mamba yule aliyepgwa mwanzo akaona bado haitoshi akaanza kumzushia na kuipakazia taasisi yake mambo meng ya uongo mara ooh ananibania hapigi ngoma zangu hv kutopigwa ngoma na clouds pekee ndo itakufanya upotee kwenye game?kwan kuna radio ngap?E.a,radio1,kiss fm,magic,radio uhuru,passion,rfa,times,capital,classic!!!radio zote hzo zisifanye ngoma yako kuwa hit? Kama ngoma yako kali lazima itakuwa hit tu kwan hit nyingi huamuriwa na mashabiki ndio wanaopga simu redion,kutuma msg,e mail n.k.
Sugu na vinega wake wanashndwa kutambua kuwa style zao ni old fashion,tangu sugu anaanza ku rap mwanzoni mwa miaka ya 90 hadi leo anatumia style yake ile ile hv haoni kuwa style ile imechuja? Ebu mwangalie mwana fa wa 'ingekuwa vp' na mwangalie fa wa 'yalaiti' ni mwana fa wawili tofauti kabsa mwangalie fid q wa 'dot com' na mwangalie fid q wa 'ngosha ze swaga don' ni tofauti kabsa hapa namaansha kubadilika kwa style.Kuna siku nilimuuliza prof Jay kuwa anajua kwa nini ngoma zake mbili za mwisho yan 'msilie' na 'kama ipo' hazkufanya vzur?akanijibu kwa kunisikilizsha ngoma yake mpya ambayo inatarajia kutoka hv karibuni inayoitwa 'kamili gado' ngoma ile nilivoisikiliza nikamwambia vzuri kwa kubadilika.Na sio bongo tu hata marekani wasanii wote wasiobadilika wamepotea yuko wapi method man?twalib?red man?ja rule?black milk?na wengi tu wasiobadilika wameshapotea kwenye industry .
Vinega hawa wanashndwa kuelewa hiki kitu kinachoitwa Edu-tainment yan education+entertinment yani unaburudika zen unaelimika mimi nikimsikiliza sugu siburudiki hata kidogo bali naelimika tu,yan me nimetoka kazini nimechoka nipo kwenye foleni kubwa tu ya kurudi nyumbani alafu nimskilize sugu au sogy dog khaa!si ndo ntazidi kuongeza stress kwa nini nismsikilize Izo business naburudika huku naelimika pia.
Kama mziki wako ukiwa na radha+video kali lazima itakuwa hit tu,eti wanasema ruge anampendelea fa,hv yeye ruge ndiye aliyempa fa tunzo ya EA?au ruge ndo alimpeleka fa channel 0 awards?ukifanya video kali km za ay,fa au cpwaa hata clouds wasipozpga ztagongwa tu kwngne tu.Au ruge ndye anayepga video ya Ay MTV?
Ebu nitajie ni kinega gani mwenye video kali itakayoweza kupgwa channel 0?sugu ana video gani yenye quality ya kuweza kujivunia?Je ana video hata ya Dola 5000?Jibu ni hapana.Sugu huyu anachukua chuki zake binafsi na kuzpeleka bungeni ili kumchafua tu ruge,sugu huyu anachukua maneno ya mitaani na kuyapeleka bungeni!hv huyu ni mbunge makini kweli?alisema kuwa THT wamepewa nyumba na serikali!una ushahid gan wa hili kwel we ni mbunge makini?THT Ile nyumba ni wamepanga na wanalipa kodi kama kawaida usipeleke mambo na chuki zko binafsi bungeni bhana me nilidhani ataongelea kuhusu mauzo ya albamu ndpo wasanii wanaponyonywa sana,badala ya kuiomba serikali kushughurikia tatizo hlo kwa kuwa watapata kodi kwny mauzo hayo,au kufanya harakat kwa wanao ban cd,juke box,na cd fake!!.Me nina uhakika clouds haifanyi wasanii kuwa masikini bali wao ndio wanaowasaidia na kuwainua.
Vinega hawa ndio wanaopga show mbovu wasiokuwa na mawasiliano mazuri na Dj(speaking of experience kwa kuwa nshahudhuria show nying tu). Kama sogy bdo anapanga lakin diamond ana mjengo wake unaona tofauti hyo?sogy z old diamond z new product.
Vinega hacheni kufuata mkumbo kwa njaa zenu na kuinglia ugomvi msioujua(Ambao mimi naujua cwezi kuuanka hapa jamvini,kwa kuwa upo kisheria zaid) ki undani na kutumiwa km chambo AMKENII yooI!!.Cha msingi cha gongeni ngoma kali,video kali na mjue kupga show lazma mtatajirika tu hata kama ngoma zenu hazipgwi clouds na mumuangalie sana sugu atawavuruga sana,na najua sugu utakuwa umeshanijua mimi ni nani kwa 7bu nilishawahi kukuambia na hatimaye pia ukaniita ni snitch yoo!..yoo!
GT hapa yoo.!
Akakaa kidogo nchi kavu na kushindwa kukaa nchi kavu na kuamua kurudi tena mtoni na mwishowe wakapatana na yule mamba mwenzie huku akiwa na hasira za kimoyomoyo za kutaka kulipiza kisasi na hatimaye akaamua kuwashika kenge masikio na kuwaambia kenge kuwa yule mamba mwingine ndiye anayewafanya kuwa masikini na wale kenge kutokana na njaa zao wakaamua kuingilia ugomvi wasioujua na mamba yule aliyepgwa mwanzo akaona bado haitoshi akaanza kumzushia na kuipakazia taasisi yake mambo meng ya uongo mara ooh ananibania hapigi ngoma zangu hv kutopigwa ngoma na clouds pekee ndo itakufanya upotee kwenye game?kwan kuna radio ngap?E.a,radio1,kiss fm,magic,radio uhuru,passion,rfa,times,capital,classic!!!radio zote hzo zisifanye ngoma yako kuwa hit? Kama ngoma yako kali lazima itakuwa hit tu kwan hit nyingi huamuriwa na mashabiki ndio wanaopga simu redion,kutuma msg,e mail n.k.
Sugu na vinega wake wanashndwa kutambua kuwa style zao ni old fashion,tangu sugu anaanza ku rap mwanzoni mwa miaka ya 90 hadi leo anatumia style yake ile ile hv haoni kuwa style ile imechuja? Ebu mwangalie mwana fa wa 'ingekuwa vp' na mwangalie fa wa 'yalaiti' ni mwana fa wawili tofauti kabsa mwangalie fid q wa 'dot com' na mwangalie fid q wa 'ngosha ze swaga don' ni tofauti kabsa hapa namaansha kubadilika kwa style.Kuna siku nilimuuliza prof Jay kuwa anajua kwa nini ngoma zake mbili za mwisho yan 'msilie' na 'kama ipo' hazkufanya vzur?akanijibu kwa kunisikilizsha ngoma yake mpya ambayo inatarajia kutoka hv karibuni inayoitwa 'kamili gado' ngoma ile nilivoisikiliza nikamwambia vzuri kwa kubadilika.Na sio bongo tu hata marekani wasanii wote wasiobadilika wamepotea yuko wapi method man?twalib?red man?ja rule?black milk?na wengi tu wasiobadilika wameshapotea kwenye industry .
Vinega hawa wanashndwa kuelewa hiki kitu kinachoitwa Edu-tainment yan education+entertinment yani unaburudika zen unaelimika mimi nikimsikiliza sugu siburudiki hata kidogo bali naelimika tu,yan me nimetoka kazini nimechoka nipo kwenye foleni kubwa tu ya kurudi nyumbani alafu nimskilize sugu au sogy dog khaa!si ndo ntazidi kuongeza stress kwa nini nismsikilize Izo business naburudika huku naelimika pia.
Kama mziki wako ukiwa na radha+video kali lazima itakuwa hit tu,eti wanasema ruge anampendelea fa,hv yeye ruge ndiye aliyempa fa tunzo ya EA?au ruge ndo alimpeleka fa channel 0 awards?ukifanya video kali km za ay,fa au cpwaa hata clouds wasipozpga ztagongwa tu kwngne tu.Au ruge ndye anayepga video ya Ay MTV?
Ebu nitajie ni kinega gani mwenye video kali itakayoweza kupgwa channel 0?sugu ana video gani yenye quality ya kuweza kujivunia?Je ana video hata ya Dola 5000?Jibu ni hapana.Sugu huyu anachukua chuki zake binafsi na kuzpeleka bungeni ili kumchafua tu ruge,sugu huyu anachukua maneno ya mitaani na kuyapeleka bungeni!hv huyu ni mbunge makini kweli?alisema kuwa THT wamepewa nyumba na serikali!una ushahid gan wa hili kwel we ni mbunge makini?THT Ile nyumba ni wamepanga na wanalipa kodi kama kawaida usipeleke mambo na chuki zko binafsi bungeni bhana me nilidhani ataongelea kuhusu mauzo ya albamu ndpo wasanii wanaponyonywa sana,badala ya kuiomba serikali kushughurikia tatizo hlo kwa kuwa watapata kodi kwny mauzo hayo,au kufanya harakat kwa wanao ban cd,juke box,na cd fake!!.Me nina uhakika clouds haifanyi wasanii kuwa masikini bali wao ndio wanaowasaidia na kuwainua.
Vinega hawa ndio wanaopga show mbovu wasiokuwa na mawasiliano mazuri na Dj(speaking of experience kwa kuwa nshahudhuria show nying tu). Kama sogy bdo anapanga lakin diamond ana mjengo wake unaona tofauti hyo?sogy z old diamond z new product.
Vinega hacheni kufuata mkumbo kwa njaa zenu na kuinglia ugomvi msioujua(Ambao mimi naujua cwezi kuuanka hapa jamvini,kwa kuwa upo kisheria zaid) ki undani na kutumiwa km chambo AMKENII yooI!!.Cha msingi cha gongeni ngoma kali,video kali na mjue kupga show lazma mtatajirika tu hata kama ngoma zenu hazipgwi clouds na mumuangalie sana sugu atawavuruga sana,na najua sugu utakuwa umeshanijua mimi ni nani kwa 7bu nilishawahi kukuambia na hatimaye pia ukaniita ni snitch yoo!..yoo!
GT hapa yoo.!