Mutambukamalogo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 397
- 85
Tupo hapa Kobil Mlimani City. Kuna fujo ya hali ya juu. Ni kama ni kituo pekee kinachouza mafuta kwa ukanda huu,hali ambayo imesababisha magari na raiwa wenye vidumu wengi kusongamana na wengine kupigana. Barabara ya kwenda Sinza imezibwa kabisa. Ni kama baadhi ya scene tuonazo Somalia.When this is gonna end only God knows.