Vita vya Syria na hatari ya kuzuka vita vya tatu vya dunia

Sizingumzii S-300, nazungumzia S-400 ndio inayoongoza katika anti missile technology duniani (sio kwa maneno yangu bali ndio chat inavyosema).

S-300 ni technology ya 1980 na mpaka 1995 mpaka 2005 ilikuwa kwenye Chat. Hivi sasa sio powerful. Ila latest ya S-300 kama S-300V Antey-300 na S-300PMU-2 bado hivi sasa zina uwezo mkubwa kuliko S-300 ya kawaida.

Hivi sasa S-400 ndio imeshikilia Chat. Bado S-500 inatengenezwa. Hizo ni upgrades pia. Sio kwamba nao wanakaa na kuridhika na technology. Nao wanafanya kazi ya kuweka improvements. Tusitazame upande mmoja.


Sijakataa ndo maana pale mwanzon nilikwambia wakt ww upo na silaha yako Kali wenzako hawalali wanatafuta namna ya kuikabili km tunavyojua silaha ni biashara kubwa sana duniani.... Na nikakutolea mfano kwamba unakumbuka wakt Urusi alipotangaza kuiuzia Iran latest version ya S300 Obama alisema"We'll penetrate any Iranian air defence"alikua anamaanisha
 
RT wana ukweli ww wakt kila siku kuipondea US tyu... Waliongopa meli ya US ilizimwa na ndege ya kirusi baadae US NAVY wakatoa had video kukataa hilo na kuonyesha jinsi ilvyokua

Inategemea na mitazamo ya watu juu ya US. Sio kila mtu anaona kama US inapondwa na RT. US ina tabia ya kubrainwash watu kupitia media. Unaweza kuona inapondwa lakini sio kupondwa bali ni kuambiwa ukweli.

US ina tabia ya kukana vitu ili kujilinda na kuondoa kupungua kwa uaminifu na raia wake.

Wiki iliyopita tu walisema kupitia media zake kuwa wale maspy wawili waliokufa Russia walikuwa sio assets wa US, wakati wapelelezi wa Russia waligundua ni spy na wakawa na ushahidi.

Lakini ninachomaanisha kuwa, mimi kama mimi huwa napenda kutazama media mbalimbali. Siwezi kutegemea tu informations za western media, sometimes napenda kuangalia na channels ambazo sio common to the west Ili niwe na balance ya information.

Zamani Aj Jazeera walikuwa wanajitahidu lakini iliponunuliwa upya, baasi imekuwa kawaida now days.
 
Inategemea na mitazamo ya watu juu ya US. Sio kila mtu anaona kama US inapondwa na RT. US ina tabia ya kubrainwash watu kupitia media. Unaweza kuona inapondwa lakini sio kupondwa bali ni kuambiwa ukweli.

US ina tabia ya kukana vitu ili kujilinda na kuondoa kupungua kwa uaminifu na raia wake.

Wiki iliyopita tu walisema kupitia media zake kuwa wale maspy wawili waliokufa Russia walikuwa sio assets wa US, wakati wapelelezi wa Russia waligundua ni spy na wakawa na ushahidi.

Lakini ninachomaanisha kuwa, mimi kama mimi huwa napenda kutazama media mbalimbali. Siwezi kutegemea tu informations za western media, sometimes napenda kuangalia na channels ambazo sio common to the west Ili niwe na balance ya information.

Zamani Aj Jazeera walikuwa wanajitahidu lakini iliponunuliwa upya, baasi imekuwa kawaida now days.
Kila nchi ina propaganda ht hao Russia wanatumia media zao kuleta propaganda, N. Korea,Israel,n.k na sio US peke yake
 
USA HAJAWAHI kushindwa vita yyt ktk modern era!USA hawezi gorrila wars ambayo ndiyo ilikua Vietnam!
Vita vimegawanyika ktk mafungu ma 5!
(1)Usafiri na jinsi ya kufikisha vifaa vyako uwanja wa pambano(ktk manowari 17 duniani;11 ni za USA)
(2)Vifaa(ktk ndege na vifaru vya kisasa kila 100 basi 70 ni vya USA)
(3)Mafuta(vita vikianza uzalishaji wa mafuta unasimama na USA ana mafuta ya akiba kutumia miaka 10)
(4)Chakula(vita vikianza uzalishaji unasimama na US wana chakula cha akiba cha kutumia miaka mingi
(5)Skills-nani asiye ijua Pentagon kwenye mikakati?
hayo yote hayasaidii sana iwapo marekani watapigana na russia.

Hivyo vita vitadumu masaa 2 tu na kila kitu kitakuwa kimeeleweka,
ndege,vifaru ,wanajeshi wa miguu etc hawatakuwa na kazi za kufanya katika vita hivyo,ni mwendo wa ICBM na SLBM
 
Kila nchi ina propaganda ht hao Russia wanatumia media zao kuleta propaganda, N. Korea,Israel,n.k na sio US peke yake

Pia sio swala la propaganda tu, leo hii TV za tanzania zinaweza kuficha maovu ya serikali kwa kuiogopa lakini media ya nje inaweza kuwa na uhuru kwa sababu haina limitation na pia kibali chake hakitegemei TCRA.

Ni mtu kutotegemea Channel moja kupata informations.
 
hayo yote hayasaidii sana iwapo marekani watapigana na russia.

Hivyo vita vitadumu masaa 2 tu na kila kitu kitakuwa kimeeleweka,
ndege,vifaru ,wanajeshi wa miguu etc hawatakuwa na kazi za kufanya katika vita hivyo,ni mwendo wa ICBM na SLBM
Na unahisi kwenye vita vya NUKES basi Russia ni zaidi ya USA?
 
Wewe huijui Russia bali unaijua Russia ya CNN, FOX News, BBC na Al Jazeera. Russia ya Putin ni tishio na hao NATO wana litambua hilo na usitegemee tactics US na NATO walizo zitumia miaka ya 1970's na 1980's itaweza kuiangamiza Russia kama walivyo fanikiwa kwa USSR. Putin is Smart and he knows what he is doing. Na kama upo makini utaona kua US kashaanza kulia lia.
haha sawa bwana ila ukweli mtaujua soon na wape salaam wale wakomunist wengine America is so advance zile cheap labour zilizowaletea viwanda zimeanza kuwa replaced na advanced manufacturing na robotic revolution hizo iphone na nike zitakuwa produced in US sijui mtawapeleka wapi millions of cheap labour wanaotegemea Us export
 
Heko kwako mwalimu kwa uchambuzi, endelea subiri ajira nasikiasikia uhakiki mwisho mwezi huu..
Pia ungekuwa kazin usinge pata fursa ya kuchambua maswala ya kimataifa kama hivi.
 
Kila nchi ina propaganda ht hao Russia wanatumia media zao kuleta propaganda, N. Korea,Israel,n.k na sio US peke yake

Hata sisi tuna propaganda zetu alafu this time za kweli si za kusadikika...kwa sasa tumewatisha na hawajui pakushika maana hawana clue where is all these coming from...Wanaona giant fulani waliompiga usingizi miaka kadhaa zilizopita, mbona dawa inakaribia kuisha wakati watoto ndiyo wameachiwa ulinzi na wakubwa wapo kumdhibiti adui mwenye nguvu kama wao...Nzuri sana! Na mimi wamenipa shavu wakidhani wataniingiza kwenye mtego wao kirahisi...hii ni next level sijui kwanini wenzangu hamfurahi Mungu katukumbuka na karibu tutaitangazia dunia mazishi ya goliath wao anayetutukana kila iitwapo leo...

Hee kumbe nilikuwa nimepitiwa na usingizi na kuanza kuota, ndoto zina raha wewee.....
 
Hizo nchi mashuhuri wako so much polarized kiasi kwamba vi nchi vi dogo kama vya kwetu hivi vinavyokuja mdogo mdogo vitabadili mchezo na kuwaingiza kwenye 18 kama BRICS walichowatenda...Mungu bado ni mtawala wa dunia hii kitakachokuja kuwa dondosha wasiamini macho yao ni vitu vidogo ambavyo walividharau na kujisahau as if wana hati miliki ya dunia yote...Haya wee wengine tulizaliwa kufanya majaribio na tutajaribu kuona kama Mungu pia walimpeleka likizo kutogawa vipawa kwa viumbe dhaifu kama sisimizi wawezao kuua tembo...
 
. Putin is Smart and he knows what he is doing. Na kama upo makini utaona kua US kashaanza kulia lia.
Putin is not smart but a sick, deranged individual who's behaving irresponsibly under a guise of a macho man, taking into consideration that he has his finger on the nuclear trigger. He's unnecessarily 'putin'g the whole world at risk of going kaboom.
 
Putin is not smart but a sick, deranged individual who's behaving irresponsibly under a guise of a macho man, taking into consideration that he has his finger on the nuclear trigger. He's unnecessarily 'putin'g the whole world at risk of going kaboom.
I wanna know that special type of Detergent which the western media has use it to wash your Brain.
 
Putin is not smart but a sick, deranged individual who's behaving irresponsibly under a guise of a macho man, taking into consideration that he has his finger on the nuclear trigger. He's unnecessarily 'putin'g the whole world at risk of going kaboom.
Tatizo la kua brainwashed ndio hili.
 
Back
Top Bottom