Vita vya Syria na hatari ya kuzuka vita vya tatu vya dunia

Pia kumbuka hyohyo radar ilishindwa kuendelea kutungua f117 zingine zilizokua zinaendelea kudondosha mabomu km kawa hyo inaamaanisha kwamba ile moja ilyotunguliwa kulkua na mistake ilifanywa na pilot
inawezekana unayosem maana si kila sehemu ya serbia kulikuwa na mifumo hii ya s-125
 
Hivi kwani urusi haiwezi kufanya operation kubwa zaidi ya kuwaondoa hao waasi wote wanaofadhiliwa na USA&NATO.
Coz naona urusi ndiye anateseka sana dhidi ya waasi wanajeshi wake wanakufa+gharama halafu uchumi wake haupo stable kutokana na fitina za USA.
Lakini marekan anakula bata tu kazi yake kupeleka silaha tu kwa waasi.
Kama mbwai mbwai tu russia ajitose tu vyovyote itavyokuwa

hii vita ina mambo mengi sana ambayo watu hawayajui. Marekani ana vikosi vingi sana tena pengine kuliko Russia nchini syria. wengi ni makomandoo na wanatumika katika kuwafundisha waasi namna ya kupigana kumuangusha Assad pamoja na namna ya kutumia silaha za kimarekani. hapo Aleppo Anaetapatapa ni Mmarekani na sio Mrusi maana eneo la waasi limezungukwa kwa muda mrefu hakuna anaeingia wala kutoka watapigana mpaka silaha zao ziwaishie na wauwawe wote wakiwemo makomandoo zaidi ya 300 wa Marekani ambao marekani inahaha kutafuta namna ya kuwaokoa! kwa sasa Assad anashinda maeneo mengi sana huko Aleppo na kabla ya Desember Atakuwa ameshaukomboa mji.
 
Low frequency radar(mfn.VSF)can detect stealth aircraft but kimbembe kinakuja to lock onto the targect yan unakua unajua kuna adui but hujui yupo wapi, umbali gan kwa sababu hzo low frequency radar zina small resolution
Ndio maana JUZI Major General Igor Konashenkov kasema hawatakuwa na muda wa kujiuliza hii ni ndege ya nani na flight path yake ipo vipi. watakachofanya ni kuishambulia tu na wale wote wenye mawazo ya kufikirika kuwa kuna ndege za stealth watakuwa surprised.
 
Acha kujidanganya ndugu yangu wkt wew huku unasema haiwez kua defeated wenzko hawalali wanatafuta countermeasures... Unakumbuka Russia ilipotaka kuiuzia Iran latest version ya S300 kwa ajili ya kulinda vinu vyake vya nuclear Obama alisema! "We'll penetrate any Iranian air defence" ...alikua anajua anachomaanisha. Na pia kuna article flan hv niliisoma ilkua ya generali wa kirusi alkua anazungumzia ile ishu ya Israel kufanya military drill na Greece kuitest S300 akawa anaelezea kwamba air defence yyte inaweza kuharibiwa as long as unajua frequencies zake na ww unatuma zako badala ya radar kuona 1 target inaona 3 au ht 10 ndo maaana ht hpa juz Syria ilidai imeangusha ndege za Israel waliisrael wakakanusha(wao walidhan wameHit target kumbe sio)

hayo yote unayoyasema ni mambo ambayo wewe au mimi hatuna uhakika nayo. ni mambo yakusikia na kusoma soma tu mitandaoni. ila fahamu kuwa hizo technology ni very complex na hakuna anaeweza kuzielezea hapa kwa ufasaha! na Ukishasikia kitu kuwa ni very advanced na sophisticated kwa watu waelewa wanajua nini kinamaanishwa. halafu kumbuka propaganda ni mambo ya kawaida sana kwenye majeshi na vitani.
 
u

una story za kwenye vijiwe vya kahawa soma hapa
an agreement was reached between President John F. Kennedy and Khrushchev. Publicly, the Soviets would dismantle their offensive weapons in Cuba and return them to the Soviet Union, subject to United Nations verification, in exchange for a U.S. public declaration and agreement never to invade Cuba again without direct provocation. Secretly, the United States also agreed that it would dismantle all U.S.-built Jupiter MRBMs, which were deployed in Turkey and Italy against the Soviet Union but were not known to the public.
MRUSI NAYE ALIKALIA KUTI KAVU JAPO KIMYA KIMYA

Mrusi na Marekani hawatakuja kupigana hata siku moja labda waonyeshane ubabe kwenye ardhi ya mwingine lakini sio kwenye ardhi zao maana wanatambua fika hakua atakaepona baina yao.
 
Ngoja nikufundishe kitu we mtu, mrusi alipoona hamna faida ya kuwa na military base kila kona na kibao ambazo ukija dondoshea kitu kidogo tu kama chupa ya chai lote linasambaratika na kiwa hasara, alifunga kambi zake zote na kisema ktk hii dunia yy atapigana vita yake tokea moscow, halafu bado unamw9na mtu huyo fala

Unachosema ndio hali halisi. Watu hawafuatilii kiundani tunaongozwa na upenzi. Kukodisha eneo kwa military base moja kule Cuba ingewakosti warusi $200 milioni kwa mwaka ambapo hiyo hela ingetosha kununua rada za kisasa zaidi ya 100 pamoja na dhana nyingine kibao za kijeshi. ndio maana warusi walivunja military base huko cuba baada ya mkataba wao wa kukaa huko bure ulipoisha. japo pia kuna baadhi ya mambo ambayo marekani alikuwa anamsumbua nayo na hatimae akaona bora afunge hiyo base. ila kwa sasa Urusi inajiandaa kufungua tena Military base Cuba na Vietnam pamoja na nyingi nyingine nyingi zikiwemo baadhi ya nchi za africa. bahati mbaya Tanzania haimo.. hahaha
 
Hzo air defence zinaweza kua destroyed km silaha nyngne yyte coz there's no perfect weapon....mfano hyo s400 ina range ya km400 but unaweza kutumia stealth aircraft zikaenda mpk as close as 50km to destroy them km tunavyojua the role of stealth to reduce visibility(mfn. Radar cross section of f22 is less than 0.0001)pia kuna missiles maalum za kudestroy hzo airdefence pia u can launch multiple missiles and kuna zile Stand Off weapons za US zina range more than 1000km(so hz Mara nyng zinatumika kwa non stealth aircraft unakaa out of range ya hyo defence then unailauch km range ya s400 ni km400 kwa hyo ww unaweza kaa km600 away then unaLaunch...mfano. Ni AGM 86 missile)
======
Ebu msikilize vizuri Jenerali wa jeshi la Russia.

 
Russia hawezi kupigana na US/NATO maana ni nchi maskini sana compare na wenzake, think about this 2013 GDP yao ilikuwa 2200 Bilion today 1300 Billion na sababu ni sanctions alizopigwa na kuanguka kwa oil price, sasa can you imagine ajiingize kwenye vita na hawa watu? kibaya zaidi uchumi wa Russia zaidi ya 30% umeshikwa na watu ambao hawazidi 100 ambao wote wana ties na West, sawa Russia ana nuclear lakini kwani wenzake hawana? na sijui kama wako tayari kuigeuza nchi yao kuwa majivu eti kwa sababu ya kuipigania Syria (its not gonna happen), kitakachotokea US atawapa waasi silaha nzito sana na Russia ataishia kupigana na waasi tuu ambao wataishia kumtia hasara kubwa kumfanya kuwa maskini kabisa huku nao wakipiga sanctions zaidi na kuangusha bei ya mafuta zaidi, Russia asipokuwa smart huu ndio utakuwa mwanzo wa kuanguka kwa taifa lao na ni plan hii ya US kama alivyoisambaratisha USSR
Wewe huijui Russia bali unaijua Russia ya CNN, FOX News, BBC na Al Jazeera. Russia ya Putin ni tishio na hao NATO wana litambua hilo na usitegemee tactics US na NATO walizo zitumia miaka ya 1970's na 1980's itaweza kuiangamiza Russia kama walivyo fanikiwa kwa USSR. Putin is Smart and he knows what he is doing. Na kama upo makini utaona kua US kashaanza kulia lia.
 
nikulize kitu mbwa wew.vita ya nuclear ndani ya wiki 1 tu mshindi kashajulikana sasa uwo uchumi unaotaka wew ni wa kazi gani?
Achana na huyo boya, kama vita ni uchumi US angesha mpiga North Korea tokea miaka ya 1990's ila hadi leo anaogopa kwakua anajua vita ya Nuclear sio vita vya kupigana na wanamgambo wa Talibani au Al Qaeda.
 
Urusi ndio inayomiliki strong defence system kuliko nchi yoyote kwa kuwa na S-500s na S-400s ambazo zipo nears kambi za NATO na ameweka defense katika kambi zake na mpaka sasa hakuna missile au ndege yenye uwezo wa kuiangusha defense ya S-500s ni imara katika kulinda kambi kwa threat yoyote.

Ana SS-18 ambayo ni missile kubwa duniani yenye speed kubwa 18 minutes kutoka Russia kufika New York na 23.3 minutes kufika Los Angeles. Ina iwezo wa kuangusha mvua ya Mabomu ya Nuclear kuanzia kilotons 700, 1000, 5000, 10000 mpaka 20,000 kwa mfululizo sawa na athari mara 1000 ya Bomu la Hiroshima.

Ana Jeti za Topol M ICBM zenye speed ya 16000 miles per hour.

Tupolev Tu-160s ina speed mara tatu ya speed ya sauti na ina uwezo wa kupiga Nuclear bombs marekani na kurudi Russia kabla na kutazama hilo Tukio kwenye TV.

Putin amejipanga mkuu. Anamjua Marekani vizuri na tangu Cold War Russia ilijua inatakiwa iwe imara kivita kwa wakati wowote.

Whatsupic - World War 3: Russia Is Officially Ready and Can Destroy New York In 18 Minutes
Well said mkuu, Wakati US akitumia Pesa nyingi kumaintain Military Bases zaidi ya miatano Duniani Russia alitumia pea zake kufanya tafiti nyingi na kuona ni namna gani ya kumtungua US akiwa pale pale Moscow. Tatizo hapa watu wana izungumzia Russia according ya kinacho oneswa na CNN, FOX News, na mitandao ya West. Russia soo watu wa kujitangaza tangaza na kujisifia kama US.
 
Wewe mbulula pata somo hapa!
USA atamfikia mapema zaidi Russia kuliko Russia kumfikia USA
USA ana base karibu sana na Russia kama vile Poland hata Korea Kusini
Russia kuipiga USA itabidi atoke kwae na manowari za kubeba hizo nuke anayo moja tu commisioned
USA ataipeleka moja kati ya manowari zake 11 kwenye bases zake hapo karibu na Russia
Inawezekana hata hujui umbali wa USA na Russia
Wala hujui kwa nn USA ana majeshi kila bara hapa duniani
Soma shule acha madrasa,ona sasa aibu tu
kwa iyo base zina nyuklia?.sio mchezo ndug kuweka nyuklia kwenye nchi ya mtu
 
Well said mkuu, Wakati US akitumia Pesa nyingi kumaintain Military Bases zaidi ya miatano Duniani Russia alitumia pea zake kufanya tafiti nyingi na kuona ni namna gani ya kumtungua US akiwa pale pale Moscow. Tatizo hapa watu wana izungumzia Russia according ya kinacho oneswa na CNN, FOX News, na mitandao ya West. Russia soo watu wa kujitangaza tangaza na kujisifia kama US.

True words. Bora hata RT ipo vizuri kwa kusema ukweli. Hizi media za hivi sasa ni lies tu na propaganda. Kuna a group of elites who chose what they have to speak and what to hide.
 
Acha kujidanganya ndugu yangu wkt wew huku unasema haiwez kua defeated wenzko hawalali wanatafuta countermeasures... Unakumbuka Russia ilipotaka kuiuzia Iran latest version ya S300 kwa ajili ya kulinda vinu vyake vya nuclear Obama alisema! "We'll penetrate any Iranian air defence" ...alikua anajua anachomaanisha. Na pia kuna article flan hv niliisoma ilkua ya generali wa kirusi alkua anazungumzia ile ishu ya Israel kufanya military drill na Greece kuitest S300 akawa anaelezea kwamba air defence yyte inaweza kuharibiwa as long as unajua frequencies zake na ww unatuma zako badala ya radar kuona 1 target inaona 3 au ht 10 ndo maaana ht hpa juz Syria ilidai imeangusha ndege za Israel waliisrael wakakanusha(wao walidhan wameHit target kumbe sio)

Sizingumzii S-300, nazungumzia S-400 ndio inayoongoza katika anti missile technology duniani (sio kwa maneno yangu bali ndio chat inavyosema).

S-300 ni technology ya 1980 na mpaka 1995 mpaka 2005 ilikuwa kwenye Chat. Hivi sasa sio powerful. Ila latest ya S-300 kama S-300V Antey-300 na S-300PMU-2 bado hivi sasa zina uwezo mkubwa kuliko S-300 ya kawaida.

Hivi sasa S-400 ndio imeshikilia Chat. Bado S-500 inatengenezwa. Hizo ni upgrades pia. Sio kwamba nao wanakaa na kuridhika na technology. Nao wanafanya kazi ya kuweka improvements. Tusitazame upande mmoja.

 
Well said mkuu, Wakati US akitumia Pesa nyingi kumaintain Military Bases zaidi ya miatano Duniani Russia alitumia pea zake kufanya tafiti nyingi na kuona ni namna gani ya kumtungua US akiwa pale pale Moscow. Tatizo hapa watu wana izungumzia Russia according ya kinacho oneswa na CNN, FOX News, na mitandao ya West. Russia soo watu wa kujitangaza tangaza na kujisifia kama US.
Mkuu samahani...hivi hizo kambi ambazo USA anazo katika kila nchi analipa/anailipa Fedha nchi ambayo ameweja kambi yake ya kijeshi??? Au kunakuwa na makubaliano maalumu na nchi husika?
 
True words. Bora hata RT ipo vizuri kwa kusema ukweli. Hizi media za hivi sasa ni lies tu na propaganda. Kuna a group of elites who chose what they have to speak and what to hide.
RT wana ukweli ww wakt kila siku kuipondea US tyu... Waliongopa meli ya US ilizimwa na ndege ya kirusi baadae US NAVY wakatoa had video kukataa hilo na kuonyesha jinsi ilvyokua
 
Back
Top Bottom