Vita vya Kagera tulipigana na Libya (Gadafi)

Mzalamo nani kakwambia kuwa wakati wa vita vya kagera hatukuwa na silaha nzuri, kawaulize jamaa wa kule Msumbiji na Angola watakwambia habari zake. Tulikuwa na vifaa vizuri na magari ya deraya yaliyokidhi hali ya wakati ule, tena naweza kusema ni vifaa bora kabisa vya kijeshi. Kwani tulikuwa na mkusanyiko wa siraha kutoka Burgaria, China, Urusi na Iraq.

Isitoshe pia Jeshi lilikuwa na uzowefu tayari, ndio maana hata Jeshi Kaburu lilikuwa linahara kila vijana anapotia timu kule kusini mwa Afrika.


Vita vilitokea wakati nchi za magharibi na mashariki zipo kwenye vita baridi. Hivyo zana nyingi zilikuwa zinatolewa kama pipi. Hata majeshi ya rebels kama ya Savimbi na Afonso Dhlakama yalikuwa na vifaa bila kuwa na revenue yoyote hile.
 
Vita vilitokea wakati nchi za magharibi na mashariki zipo kwenye vita baridi. Hivyo zana nyingi zilikuwa zinatolewa kama pipi. Hata majeshi ya rebels kama ya Savimbi na Afonso Dhlakama yalikuwa na vifaa bila kuwa na revenue yoyote hile.


Najuta kuthubutu kusoma thread hii. Inaonekana wachangiaji wengi walikuwa watoto wakati wa ile vita. Mnatonesha vidonda na kudhihaki kazi tuliyofanya ya kumwondoa nduli na Gadafi wake. Kwa taarifa yenu tu, uchumi wetu kabla ya vita ulikuwa mzuri tu, lakini sadaka ya vita iliuumiza sana, na Gadafi alifanya kila hila kutukwamisha kwa kushirikiana na mataifa ya kiarabu, tukashindwa kuagiza mafuta kwa mkopo ambapo ingaliwea kurejesha uzalishaji na uchumi wetu uendelee kupaa; matokeo yako tukaendelea kududumizwa. Huyo Gadafi- unamtetea tu kwa sababu pekee ni muumini mwenzako. Acheni uvivu wa kufikiri. Ni nani anaweza kuonyesha amefanya nini zaidi ya kuangamiza wengine. Hio Green Revolution kule Libya haijatusaidia. Na nadhani mtu anayekusaidia mabenzi hajakusaidia, angejenga basi reli

Eti alitubu - wapi? Nyerere ni mtu wa aina yake, alimvumilia tu, angefanya nini, wakati amekumbatiwa na nchi zote za kiislamu Africa, mlitaka Nyerere aendelee kutengwa? Mmeniudhi sana, msitanie vita, vita sio lelemama. Umewahi kusikia mlio wa risasi wa revolver! Hey si ulikimbia! sembuse milio ya mapigano katika vita....
 
hakika Gadafi ni gaidi. hafai kuwa hata rafiki wa Tanzania. lakini kwasababu wote tupo africa, tunahitaji kushirikiana naye tu, kwasababu hatuna jinsi.ile NI LAZIMA TUSHIRIKIANE KWA UMAKINI, tuwe macho muda wote, ni mtu asiyeaminika. ni ajabu kuona kikwete anajipendekeza kwake, nafikiri kikwete hakwenda kabisa kule kagera kupigana. hana machungu labda.

Gadafi aliharibu sana uchumi wetu aisee, alipiga kampeni mataifa ya kiarabu yakaibagua tz hata tukawa kama kisiwa. tulikosa mafita na ilikuwa adhabu tuliyopewa sisi watz kwasababu tulimtoa nduli idi amini alipovamia nchi na uhuru wetu. kwasababu alikuwa ni mwislam, basi, mataifa ya kiarabu yanayojali tu uislam lakini hayajali utu, yalitupiga adhabu hiyo. si ajabu leo hii tungekuwa juuu kuliko hata kenya, kwasababu you know, tz pamoja na kwamba tulikuwa wajamaa, nyerere alikuwa anaenda vizuri tu pamoja na mapungufu yake. HUU NDO URAFIKI WA TZ NA WAARABU. waarabu wengine wazuri tu, pamoja na kwamba hatutasahau walichotufanyia, ila kwa Gadafi, hakika anahitaji kutuomba msamaha.
 
Najuta kuthubutu kusoma thread hii. Inaonekana wachangiaji wengi walikuwa watoto wakati wa ile vita. Mnatonesha vidonda na kudhihaki kazi tuliyofanya ya kumwondoa nduli na Gadafi wake. Kwa taarifa yenu tu, uchumi wetu kabla ya vita ulikuwa mzuri tu, lakini sadaka ya vita iliuumiza sana, na Gadafi alifanya kila hila kutukwamisha kwa kushirikiana na mataifa ya kiarabu, tukashindwa kuagiza mafuta kwa mkopo ambapo ingaliwea kurejesha uzalishaji na uchumi wetu uendelee kupaa; matokeo yako tukaendelea kududumizwa. Huyo Gadafi- unamtetea tu kwa sababu pekee ni muumini mwenzako. Acheni uvivu wa kufikiri. Ni nani anaweza kuonyesha amefanya nini zaidi ya kuangamiza wengine. Hio Green Revolution kule Libya haijatusaidia. Na nadhani mtu anayekusaidia mabenzi hajakusaidia, angejenga basi reli

Eti alitubu - wapi? Nyerere ni mtu wa aina yake, alimvumilia tu, angefanya nini, wakati amekumbatiwa na nchi zote za kiislamu Africa, mlitaka Nyerere aendelee kutengwa? Mmeniudhi sana, msitanie vita, vita sio lelemama. Umewahi kusikia mlio wa risasi wa revolver! Hey si ulikimbia! sembuse milio ya mapigano katika vita....

Mkuu Njilembera, achana na hao mazumbukuku - hawajui walisemalo. Kama kuna somo tulimpa huyo gaidi ni kumpiga na tulimpiga kisawasawa baada ya kuwaingiza Walibya katika vita ambayo haikuwahusu. Nakumbuka hao Walibya na Wapalestina walivyopewa somo kuwa vita si lelemama - wao wamezoea vya kunyonga kwa kuvizia na kujilipua, vya kuchinja kwenye uwanja wa mapambano wataviweza ?. Ghadafi ni gaidi tu na kiongozi wetu kumkumbatia hakika ni kutonesha kidonda - si ajabu alikuwa anamtetea Nduli Idi Amin, wote ni hao hao.
 
Kama si Wazanzibar ile vita tusingeshinda. tafuteni jezi kabisa.
 
Kama si Wazanzibar ile vita tusingeshinda. tafuteni jezi kabisa.

Wazenj walifanya nini maana mlishindwa kumtoa Sultani bila msaada wa John Okello, Mganda na Watanganyika leo mjidai kupambana na gaidi Gaddafi?
 
Najuta kuthubutu kusoma thread hii. Inaonekana wachangiaji wengi walikuwa watoto wakati wa ile vita. Mnatonesha vidonda na kudhihaki kazi tuliyofanya ya kumwondoa nduli na Gadafi wake. Kwa taarifa yenu tu, uchumi wetu kabla ya vita ulikuwa mzuri tu, lakini sadaka ya vita iliuumiza sana, na Gadafi alifanya kila hila kutukwamisha kwa kushirikiana na mataifa ya kiarabu, tukashindwa kuagiza mafuta kwa mkopo ambapo ingaliwea kurejesha uzalishaji na uchumi wetu uendelee kupaa; matokeo yako tukaendelea kududumizwa. Huyo Gadafi- unamtetea tu kwa sababu pekee ni muumini mwenzako. Acheni uvivu wa kufikiri. Ni nani anaweza kuonyesha amefanya nini zaidi ya kuangamiza wengine. Hio Green Revolution kule Libya haijatusaidia. Na nadhani mtu anayekusaidia mabenzi hajakusaidia, angejenga basi reli

Eti alitubu - wapi? Nyerere ni mtu wa aina yake, alimvumilia tu, angefanya nini, wakati amekumbatiwa na nchi zote za kiislamu Africa, mlitaka Nyerere aendelee kutengwa? Mmeniudhi sana, msitanie vita, vita sio lelemama. Umewahi kusikia mlio wa risasi wa revolver! Hey si ulikimbia! sembuse milio ya mapigano katika vita....

Kwenda zako huko. Ni nani alikwambia mimi na Gadafi tuna imani moja? Vita vilianza October na kufikia April vikawa vimekwisha.

Ni vita gani vya miezi sita, tena vya kupigana na marungu vinavyofilisi nchi?Kilichofilisi nchi ni majukumu ya Tanzania kuendelea kutawala Uganda kwa miaka miwili hili kumtayarisha Obote arudi madarakani.

Na kuna watu wenye akili mbovu humu, ambao walitaka Tanzania iende Rwanda.
 
Gadaffi ni liability. Huwezi jua
kesho atakurupuka na nini. Anajiita mfalme wa wafalme (anadhihaki dini?). Ni mtu wa kumuweka mbali sana,hatabirikia. Hivii hatuwezi jitegemea wenyewe mpaka tujikombe kwa watu wenye utashi hafifu? yaani atupe ushauri wa nani awe rafiki yetu?
 
Huyo jenerali mwingine chotara alikuwa anaitwa Brigadear Cuthless - anatokea somewhere in Iringa au Mbeya na muda refu kwenye early 1970s alikuwa commander kwenye National Service CTS Makutopora na pia Ruvu. Alikuwa hodari na makini sana.
 
Huyo jenerali mwingine chotara alikuwa anaitwa Brigadear Cuthless - anatokea somewhere in Iringa au Mbeya na muda refu kwenye early 1970s alikuwa commander kwenye National Service CTS Makutopora na pia Ruvu. Alikuwa hodari na makini sana.

Hodari na makini kwa vitu gani? Kuwa chotara?
 
Tukipata Gadafi kama wawili tukaongezea na wengine wawili kama Mugabe ,Africa tungejikomboa kutoka mawazo duni ya kila kitu kizuri ni cha mzungu kama haitosho tikaongezea na Museveni mmoja.
 
Hivi huu urafiki wa JK na Gadaff au TZ na Libya ulianza lini.

Actually nilishangaa jamaa yetu alivyojitosa kwenye mnuso??? Jamaa wote wenye akili zao hawakutokea sasa sijui jamaa yetu alienda kutafuta nini huko??? Kama kweli tulisha sameheana naye mbona sijasikia hata siku mmoja kaja Bongo?? Tuliona njinsi alivyofanya msafara kwenda Malawi tena kwa gari. Lakini sijasikia anampango wa kuja Bongo hata siku mmoja.
 
Gadafi alipokuwa anafungua msikiti kule Uganda, alisema Biblia ni kitabu kichafu, angekuwa na uwezo angekichoma moto. alisema kuwa watu wote anapenda wawe waislam. huyo ndiye mwenyekiti wa Au...tumekosa mtu wa kutuongoza?
 
Nakumbuka Gadafi alivyotaka kutuangamiza wa TZ kwa kushirikiana na nduli Amini.Alituma jashi na zana za kivita kali.Mungu alivyompenda baba wa Taifa(uuuuuuiiiiiii)-----(Mungu ailaze pema roho yake) Alituma ndege la kivita mungu akalielekeza Uwanja wa Kenyata.Wakati huo mmbaya wa Julius Kinyata alishafariki, Basi Rais Moi kampigia Mwalimu simu kuhusu ndege hio ndipo Mwalimu alielekeza ndege kutua KIA na wakazungukwa na kutekwa na kupelekwa Monduli hadi vita inaisha wakarudishwa kwao.So u nyama wakutisha huooooo.Akungutwe pamoja na wajukuu zake ili kizazi kichafu na ukoo wake vitoweke duniani
 
Gadaff akishirikiana na Idd Amin walishindwa kumzuia Nyerere sasa nashangaa hao wanaomwita shujaa wanachukulia ushindi anaoupata kwa kuwauwa waandamanaji au nini?

Gadaff amezoea mechi na civillians sasa acheze na wanajeshi wenzie wa magharibi tuone atafika wapi?jana karudishwa nyuma 110km
 
Back
Top Bottom