Vita vya Kagera tulipigana na Libya (Gadafi)

MWIBA,look at the bigger scene,dont you think IRAQ and now AFGHANISTAN are being bombed back to the stone age whereas USA and her allies only loss is body bags being flown home.
 
MWIBA,look at the bigger scene,dont you think IRAQ and now AFGHANISTAN are being bombed back to the stone age whereas USA and her allies only loss is body bags being flown home.

Wapi umeona habari hiyo wewe ? Na kama hivyo ni ushindi basi naona itakuwa wanajidanganya ,sasa mtapiga kutokea juu mpaka lini ,watu wanaishi mapangoni nyinyi mnaenda kupiga vijiji eti mmepata habari kuwa maadui wapo,ikichunguzwa waliokufa ni wanawake,watoto na vilema ,tunasikia jeshi linaomba samahani mpaka uongozi wa Afghani umsituka na kuwambia kama ni hivyo bora muwache kama walivyo ,ndio ukaona wanajikusanya na kujaribu kwenda kwa miguu hapo ndipo wanapokiona kilichomfanya Mbuni awe na shingo refu maana ukitokeza pua tu watu wameondoa shingo.
 
Wapi umeona habari hiyo wewe ? Na kama hivyo ni ushindi basi naona itakuwa wanajidanganya ,sasa mtapiga kutokea juu mpaka lini ,watu wanaishi mapangoni nyinyi mnaenda kupiga vijiji eti mmepata habari kuwa maadui wapo,ikichunguzwa waliokufa ni wanawake,watoto na vilema ,tunasikia jeshi linaomba samahani mpaka uongozi wa Afghani umsituka na kuwambia kama ni hivyo bora muwache kama walivyo ,ndio ukaona wanajikusanya na kujaribu kwenda kwa miguu hapo ndipo wanapokiona kilichomfanya Mbuni awe na shingo refu maana ukitokeza pua tu watu wameondoa shingo.
vita haina macho,hii kuombana msamaha ni geresha.sasa wa kumlaumu nani? OBAMA anayeendelea kudunda au
 
Hawakuwa Libya peke yao - Wapalestina na waarabu kutoka sehemu mbali mbali walishiriki katika vita kutetea mwanachama mwenzao katika OIC kushambuliwa. (Waislamu mtanisamehe) lakini ilidaiwa kuwa nchi yenye kiongozi Muislamu, Uganda, imeshambuliwa na nchi yenye kiongozi Mkristo, Tanzania. Ni Field Marshall, Dr. Al Haj Idi Amin Dada aliyeiingiza Uganda OIC mwaka 1974. Ajabu ni kwamba nchini Uganda Waislamu hawafiki asilimia kumi lakini Wakatoliki wanazidi asilimia sabini. Habari ndiyo hiyo.

Nakumbuka sana vita ile na ndio ilinifanya niache jeshi baada ya kumtukana matusi ya nguoni mkubwa mmoja jeshini kwa kuwa alituzuia tusimkamate Idd Amini wakati tulishamzingira kisa eti mwoga Nyerere aliogopa eti reaction ya waarabu ingekuwa mbaya kwa nchi kwa kuwa walimtishia kutoiuzia mafuta Tanzania kama Idd Amin angekamatwa au kuuawa na majeshi ya Tanzania.Amin Hakutoroka MWENYEWE bali alikusindikizwa na majeshi ya Tanzania baada ya kukubali kuachia uraisi na kukimbilia uhamishoni kama sharti la kutochukuliwa mateka na kupelekwa Dar Es salaam akiwa kafungwa kitambaa usoni na pingu mikononi kwa maagizo ya Nyerere.


Hata wale mateka Nyerere aliwarudisha kwa woga wa kuogopa nchi ingenyimwa mafuta.Mimi ni mmoja wa vijana tuliotaka hata uhusiano wa Tanzania na PLO na Libya na Saud Arabia uvunjwe tukiwa Uganda baada ya Amini Kuamriwa Atoroshwe.Anyway umaskini ni mbaya waarabu walitumia mafuta kutuonea lakini kosa woga wa nyerere Amin alishakuwa marehemu mikononi mwa watanzania au angekuwa ukonga akisubiri kupelekwa mahakama ya wahalifu the hague.
 
Huyu alikuwa Mtanzania, Hans Pope, ambaye ngozi yake ni nyeupe! Idi Amin Dada alitumia propaganda ku-justify matumizi ya mamluki wake wa kiarabu/kiislamu!
Vita ya mwaka 1978/79 Hans Pope hakuwepo, yeye aliuwawa kwenye uvamizi wa mwaka 1972, yeye alikuwa RPC wa mkoa wa Kagera (wakati huo Ziwa Magaharibi) na alikwenda kule na kikosi cha polisi kutuliza fujo Mutukula kumbe walikuwa askari wa Uganda wamevamia, hapo ndiyo alipouwawa na Amin akachukua maiti yake na kudai ni Mchina.

Naona wachangiaji wengi pamoja na aliyeanzisha Thread hii ni vijana wa BONGOFLEVA na somo la Historia mashuleni lilifutwa na kuwafanya wengi mtumia taarifa za kusikia vijiweni.
 
Vita yetu na Uganda tuliweza kushinda siyo kwa sababu tulikuwa na silaha nzuri ukilinganisha na Uganda bali ni kutokana na uongozi shupavu wa mwalimu Nyerere pamoja na mshikamano,morali na moyo wa kujitolea kwa wananchi wetu kwa wakati ule. kwa sasa vita ikitokea tusitegemee kushinda kiurahisi na hii inatokana na uongozi goigoi uliopo ambao hauwezi kushughulikia mambo madogo kama ufisadi.
 
viva JWTZ...! VIVA TANZANIA.....! VIVA WAZALENDO......!
maadui wa TANZANIA ZIIIIIIIIIIII.....!
 
..mimi nawafagilia hawa jamaa wa JWTZ.

..kila walipotumwa kwenda kufanya kazi wamerudi na USHINDI.

..na siyo hapo Uganda tu. askari wetu wamewahi kutumwa Seychelles, Comoro nadhani wamekwenda mara mbili, Mozambique, Zimbabwe, na DRC.

..binafsi napendekeza wawezeshwe zaidi katika nyanja za Engineering, pamoja na uokoaji. lazima tuwe na jeshi ambalo liko active hata wakati wa amani.
 
the same Gadafi comes today to tell us that we should hate our beloved Israel, the only begotten son of God on this earth, the only nation and race on planet earth whose land ilitolewa na Mungu mwenyewe kabisa kispesho. hivi anafikiri kila mtu ni mwislam, hivi anafikiri kila mtu ni gaidi kama wao walibya?

look on how our helpless president Kikwete anavyojipendekeza kwa gadafi. yaani ukiwa na rais mwislam ni tatizo tupu, kila kitu anawaza uarabuni tu. sifuri tupu tena sifuri kubwa iliyozunguka, yaan oooo.
 
..mimi nawafagilia hawa jamaa wa JWTZ.

..kila walipotumwa kwenda kufanya kazi wamerudi na USHINDI.

..na siyo hapo Uganda tu. askari wetu wamewahi kutumwa Seychelles, Comoro nadhani wamekwenda mara mbili, Mozambique, Zimbabwe, na DRC.

Huko walikotumwa hata mgambo wangepata ushindi! Wapelekwe Falujah basi tuone. Wakipata ushindi na huko hapo ndo ntasema yeeeeah...that's what's up! Sio Comoro na Ushelisheli....
 
Vita ya mwaka 1978/79 Hans Pope hakuwepo, yeye aliuwawa kwenye uvamizi wa mwaka 1972, yeye alikuwa RPC wa mkoa wa Kagera (wakati huo Ziwa Magaharibi) na alikwenda kule na kikosi cha polisi kutuliza fujo Mutukula kumbe walikuwa askari wa Uganda wamevamia, hapo ndiyo alipouwawa na Amin akachukua maiti yake na kudai ni Mchina.
Ok, thanx kwa kutuhabarisha!
 
Nyani Ngabu said:
Huko walikotumwa hata mgambo wangepata ushindi! Wapelekwe Falujah basi tuone. Wakipata ushindi na huko hapo ndo ntasema yeeeeah...that's what's up! Sio Comoro na Ushelisheli....

NN,

..mimi nawafagilia hawa wabongo wenzetu wamewakilisha.

..haijalishi kama walikuwa ni mgambo, au vijana wa JKT, au JWTZ, cha msingi walikwenda huko wakiwa wamebeba bendera ya Tanzania.

..halafu twende Fallujah kufuata nini? kama hao madogo wana shida na sisi watufuate nina hakika madogo wetu watafanya vitu vyao. kwani wale 200 waliofanyiziwa pale Lukaya si dizaini ya watu wa Fallujah?

NB:

..madogo wa Fallujah wanapata bichwa kwasababu Marekani anawadekeza.

..Marekani anataka kuwa muungwana ktk eneo ambalo wanaheshimu unyama-unyama tu.
 
Kakelende said:
Vita ya mwaka 1978/79 Hans Pope hakuwepo, yeye aliuwawa kwenye uvamizi wa mwaka 1972, yeye alikuwa RPC wa mkoa wa Kagera (wakati huo Ziwa Magaharibi) na alikwenda kule na kikosi cha polisi kutuliza fujo Mutukula kumbe walikuwa askari wa Uganda wamevamia, hapo ndiyo alipouwawa na Amin akachukua maiti yake na kudai ni Mchina.

Kakalende,

..Maj.Gen.John Walden "kamanda black mamba" naye alikuwa chotara kama Hans Pope.

..ndugu zetu toka Zenj nao wamechanganya damu kwa hiyo siyo kitu cha ajabu kufikiria kwamba jeshi letu lina askari wa kukodiwa.

NB:

..yuko afisa mwingine chotara nimemsahau jina lake lakini alipewa nishani baada ya kuwaokoa askari aliokuwa akiwafundisha wasilipukiwe na hand grade iliyokuwa mis-handled na askari mwanafunzi.
 
NN,
kwani wale 200 waliofanyiziwa pale Lukaya si dizaini ya watu wa Fallujah?

Lukaya wakati ule wa vita dhidi ya nduli? Heheheheee...nasikia mpambano wenyewe ulikuwa wa virungu na bakora...Lol...but I guess ushindi ni ushindi tu
 
Nyani Ngabu said:
Lukaya wakati ule wa vita dhidi ya nduli? Heheheheee...nasikia mpambano wenyewe ulikuwa wa virungu na bakora...Lol...but I guess ushindi ni ushindi tu

Nyani Ngabu,

..umepatia. ushindi ni ushindi tu.

..usiombee kushindwa vita ndugu yangu.

..si unaona Wamarekani wale wa kizazi cha Vietnam walivyoharibikiwa maisha na walivyojaa hasira-hasira.

NB:

..nasikia FFU huwa wana mazoezi ya kupiga virungu. naambiwa wanaweza ku-practice siku nzima jinsi ya kutwanga watu virungu. sasa FFU wakitokezea mahali kipigo chake huwa siyo mchezo.
 
Huko walikotumwa hata mgambo wangepata ushindi! Wapelekwe Falujah basi tuone. Wakipata ushindi na huko hapo ndo ntasema yeeeeah...that's what's up! Sio Comoro na Ushelisheli....

Unamaanisha kwamba JWTZ hawawezi kujilipua na kulipua watu ovyo sokoni, misikini, kwenye mabasi, kama wanavyofanya akina Hamas, Hezbollah, Al Qaeda, nk?
 
Unamaanisha kwamba JWTZ hawawezi kujilipua na kulipua watu ovyo sokoni, misikini, kwenye mabasi, kama wanavyofanya akina Hamas, Hezbollah, Al Qaeda, nk?

Thubutu! Hatuna ujasiri kama huo sisi. Ikifikia mahala tukafikia hatua hiyo basi ujue tumeshashindwa na ni wachache sana watakaochukua hatua hiyo. It's a whole different mindset to take your own life for something...it ain't easy at all.
 
Nyani Ngabu,

..ni upumbavu tu mtu kuchukua maisha yake mwenyewe.

..hao madogo wa Fallujah wanaheshimu na kuogopa mtu mkatili asiyekuwa na utu kama Saddam Hussein, Manachem Begin, au Ariel Sharon.
 
Vita yetu na Uganda tuliweza kushinda siyo kwa sababu tulikuwa na silaha nzuri ukilinganisha na Uganda bali ni kutokana na uongozi shupavu wa mwalimu Nyerere pamoja na mshikamano,morali na moyo wa kujitolea kwa wananchi wetu kwa wakati ule. kwa sasa vita ikitokea tusitegemee kushinda kiurahisi na hii inatokana na uongozi goigoi uliopo ambao hauwezi kushughulikia mambo madogo kama ufisadi.

Mzalamo nani kakwambia kuwa wakati wa vita vya kagera hatukuwa na silaha nzuri, kawaulize jamaa wa kule Msumbiji na Angola watakwambia habari zake. Tulikuwa na vifaa vizuri na magari ya deraya yaliyokidhi hali ya wakati ule, tena naweza kusema ni vifaa bora kabisa vya kijeshi. Kwani tulikuwa na mkusanyiko wa siraha kutoka Burgaria, China, Urusi na Iraq.

Isitoshe pia Jeshi lilikuwa na uzowefu tayari, ndio maana hata Jeshi Kaburu lilikuwa linahara kila vijana anapotia timu kule kusini mwa Afrika.
 
Back
Top Bottom