Vita vya Kagera tulipigana na Libya (Gadafi)

can an aircraft carrier like eg the NIMITZ,on its own force tanzania on her knees

...hatuta last hata dakika tano tutakuwa tumemalizwa kila kitu,tunachoweza kuwasumbua labda tuwa brainwash kina Ngabu na X-Paster wawe suicide bombers!
 
...hatuta last hata dakika tano tutakuwa tumemalizwa kila kitu,tunachoweza kuwasumbua labda tuwa brainwash kina Ngabu na X-Paster wawe suicide bombers!
you just have to convince NYANI kwamba huko aendako atakuta mabikra mia mmoja-basi mkanda atauvaa tayari kwenda kujitoa muhanga
 
nini drone,tomhawk cruise missile lilikuwa linaelekea baghdad,likawa limepotea jangwani,bahati nzuri likawaona mabedui wanachunga mbuzi,likapunguza mwendo na kuwauliza kwa kiarabu,baghdad iko wapi?kuelekezwa tu likageuza njia na kuelekea baghdad.hii kitu ikiwa usawa wa ardhi inaheshimu hata traffic lights by stopping at red lights

Ebana eee... du!!! ...lol... Hii inafanana na ile ya Tanzania ndiyo ina intelligence kali dunia nzima.
 
can an aircraft carrier like eg the NIMITZ,on its own force tanzania on her knees

NIMITZ umeenda mbali sana, kama umewahi kuona motorcade ya Obama, kuna kuwaga na ma SUV ambayo nyuma yamefunguliwa vioo, Secret Service afficionados wanasema lile SUV moja tu, lina zana ambazo zinaweza kupigana vita na jeshi zima la nchi changa.
 
Naona watu hawaelewi kuwa siri za ndani kabisa za kijeshi hazitolewi hovyo. Huo mkanda wa TBC ulitupa dondoo kidogo ya nguvu za jeshi letu. Kwa mara ya kwanza Watanzania wengi ndio waligundua kuwa kumbe si mchezo. Maana baada ya kuonesha vita yote ya Uganda, jinsi vikosi vilivyojigawanya mashariki, katikati na magharibu na kupiga kwa kuizunguka Uganda hadi mpakani na Sudani, ndipo walipotuonesha hali ilivyo kwenye kambi zetu. Vifaa, mizinga na mazoezi ya Karate yalionyeshwa pamoja na urushaji wa ndege za kivita pia.

Ukiutazama mkanda huo utaelewa kwa nini Nyerere alivunja jeshi miaka 45 iliyopita baada ya kutaka kupinduliwa na akaanzisha jeshi jipya alilolitunza kama mboni ya jicho lake. Pia utaelewa kwa nini 'sekta ya ulinzi' inapewa kipaumbele sana katika bajeti. Hali kadhalika utajua kwa nini tuna ushirikiano wa karibu wa kijeshi na hayo mataifa mnayoyasifia kuwa yana silaha nzito nzito za kutisha. Na ukijua yote hayo utajua kwa nini jeshi letu lipo kila sehemu kana kwamba sisi ndio Marekani ya Afrika - tupo Kongo, Darfur, Anjuan ndio tumerudi majuzi na tunajulikana hadi Afrika Magharibi, kule Biafra na pale alipokufa yule mwanamama mjeshi wetu.
 
Lakini hoja ipo kwamba gadaffi anashauri waafrika waitenge Israel. Ila mimi kwa hili napendekeza tumpe israel miradi ya maji ziwa victoria atuletee maji na mto nile ukose maji ili waarabu nao watutambue kuwa tunajeuri.
hapa ndipo nionapo mawazo ya WaTanzania yanapoishia ,hivi vyuo vyote hivi vikubwa vikubwa tulivyonavyo tunashindwa kuwapa chalenji wasomi wetu kubuni mbinu za kutumia maji ya ziwa victoria na maziwa mengine yaliyotusheheni kila pembe mbali ya utaalamu wa kutumia maji ya bahari ?

Ikiwa tutaendelea kuwa omba omba huoni tutarudi palepale kuwakaribisha mafisadi wa ndani na nje kuweza kuendeleza dili za kifisadi ?

Na zaidi itatubidi tufunge vyuo vyote tulivyonavyo maana miaka zaidi ya arubaini hatujatoa msomi awezae kubuni hata miradi ya maji ,tuvifunge hivi vyuo ili kuendeleza kuleta waisraeli na wachina.

Mimi huwa naona aibu sana panaposemwa mambo haya ya kiufundi kuombwa nchi za nje ?
Na tujiulize tumewatumia vipi wananchi wetu wasomi ambao wanazunguka na mashahada kutoka ofisi moja kwenda nyingine kutafuta kuajiriwa ,hawa tumewafundisha na tumewapatia elimu ya juu kabisa kiasi ya kuwashinda baadhi ya hao wanaokwenda kuombwa ,sasa kujaribu kuwashirikisha katika mambo haya ,hamuoni kama kwamba tutakuwa tunajenga utamaduni wa kuwatumia ,iangalieni Irani,iangalieni India iangalieni Pakistani ,wate hawa wamefikia walipofikia kwa kuwatumia wasomi wake kiasi cha kuwafanya wawe wanahitajika katika mataifa makubwa kwa bei yeyote ile.
Hebu kamtafuteni Doctor Kadeer ,huyo ni mpakistani ambae ndie aneitesa Amerika katika mambo ya kiufundi ya silaha za nyuklia aliondoka Amerika kwa Buibui na kurudi nchini kwake hadi hii leo Wamerikani wanamhitajia lakini amejichimbia kwao na kila siku tunasikia Pakistan wakifanya majaribio ya kinyuklia ,sisi hapa Uranium tunaikanyaga na tunao wataalamu wa mambo ya nyuklia.

Nasema wasomi tulio nao wanadharauliwa sana na hawapewi kipau mbele na bajeti inanyimwa kuwapa mwanya wa kujitanua katika elimu yao ,leo hii kama wataalamu wetu wangekuwa wanathaminiwa tusingefika kutafuta makandarasi wa kutandaza reli ya kisasa Tanzania nzima,tusingeshindwa kutandaza barabara za lami Tz nzima ,mawe yametujalia,cement kila sehemu vyuma vinatuozea ,nguvu kazi imekaa haina la kufanya inacheza bao tu.

Wasomi tulio nao ni hazina kubwa sana lakini wamenyimwa sehemu katika serikali hizi za CCM zinazopokezana vijiti kuongoza nchi hii.

Somo ambalo lipo mbele yetu na kila mmoja wetu analiona ni kuanguka kwa uchumi wa dunia ,athari zake zinazidi kusonga mbele na kupanda kila siku ,na kila nchi inajibana kivyake ,hivyo kutafuta sababu za kuombaomba na kukubaliwa zinazidi kuwa ngumu ,kila nchi hivi sasa inabana matumizi na inajaribu kutumia wasomi wake katika kujikwamua na kubuni mbinu za kusonga mbele bila ya kutegemea nchi nyengine kuna siku jawabu tutakalopata kutoka nchi tunazo ombaomba ni kutwambia mtajiju !!
 
companero,
hivi leo south africa aamue kupanda juu in all total warfare scenario unafikiri kikwazo cha kwanza katika black africa atakipata wapi?
 
Naona watu hawaelewi kuwa siri za ndani kabisa za kijeshi hazitolewi hovyo. Huo mkanda wa TBC ulitupa dondoo kidogo ya nguvu za jeshi letu. Kwa mara ya kwanza Watanzania wengi ndio waligundua kuwa kumbe si mchezo. Maana baada ya kuonesha vita yote ya Uganda, jinsi vikosi vilivyojigawanya mashariki, katikati na magharibu na kupiga kwa kuizunguka Uganda hadi mpakani na Sudani, ndipo walipotuonesha hali ilivyo kwenye kambi zetu. Vifaa, mizinga na mazoezi ya Karate yalionyeshwa pamoja na urushaji wa ndege za kivita pia.
Ukiutazama mkanda huo utaelewa kwa nini Nyerere alivunja jeshi miaka 45 iliyopita baada ya kutaka kupinduliwa na akaanzisha jeshi jipya alilolitunza kama mboni ya jicho lake. Pia utaelewa kwa nini 'sekta ya ulinzi' inapewa kipaumbele sana katika bajeti. Hali kadhalika utajua kwa nini tuna ushirikiano wa karibu wa kijeshi na hayo mataifa mnayoyasifia kuwa yana silaha nzito nzito za kutisha. Na ukijua yote hayo utajua kwa nini jeshi letu lipo kila sehemu kana kwamba sisi ndio Marekani ya Afrika - tupo Kongo, Darfur, Anjuan ndio tumerudi majuzi na tunajulikana hadi Afrika Magharibi, kule Biafra na pale alipokufa yule mwanamama mjeshi wetu.

Lakini bado tunashindwa kulinda EEZ yetu mpaka tunakodisha mamluki kuja kukamata wavuvi haramu !!!!
 
companero,
hivi leo south africa aamue kupanda juu in all total warfare scenario unafikiri kikwazo cha kwanza katika black africa atakipata wapi?

Akipita kushoto - Angola
Akipita katikati - Zimbabwe
Akipita kulia - Msumbiji
 
Lakini bado tunashindwa kulinda EEZ yetu mpaka tunakodisha mamluki kuja kukamata wavuvi haramu !!!!

Hiyo ni kwa sababu za kifisadi na uamuzi wa kutochanganya kazi ya jeshi na polisi au hujaona kinachotokea jeshi letu linapoingilia kati...

Subiri aingie madarakani Rais kama Idi Amin, Paul Kagame au Yoweri Museveni uone kama kuna mtu atakatisha hapo kwenye EEZ...
 
Si ndio hapo. Afu Maroketi yaliyoitwa sabasaba (Kaytusha rockets), wapalestina na Izbollah wanategeneza kwenye garage za uchochoroni. AK47, inatengenezwa na watu wasiokwenda shule Pakistani.

Pakistani na Afghanistan hawa jamaa mwisho ,wanatengeneza sio hiyo AK47 bali aina yeyote ile ya silaha ,aidha uwapatie copy au picha au zana yenyewe basi watakutengenezea kwa idadi uzitakazo na pia wanaweza kuzifanyia modifikeshon ,uonavyo gereji za magari hapo bongo basi kule kwao huwa ni gereji za kutengeneza silaha na ni vijana wadogo wadogo tu,inagwa hukumbwa na masaibu ya kufa wakati wakizijaribu lakini baadae hufanikiwa kutengeneza kifaa,kuna wapakistani ninaowafahamu ambao wamenipa story ,mmoja wao anarisasi ya kwenye mfupa wa paja na imeshindwa kutolewa kwa sababu za kidaktari kama ikitolewa itamsababishia ulemavu wa kupooza ,hivyo imeachwa na wala huwezi kumjua na anafanya kazi kikamilifu,hiyo ilipata wakati akijariribu pistol aliyoitengeneza ,ni habari ndefu,ila ndio hivyo ukaona vita haviishi kwao na wamerikani hawawezi na hawana ubavu wa kuwazuilia silaha maana wanazitengeneza wenyewao.
Apa Tz ukiweza kutengeneza gobole tu basi jela.
 
Akipita kushoto - Angola
Akipita katikati - Zimbabwe
Akipita kulia - Msumbiji

Hamna kikwazo kwa Africa Kusini in the whole of Africa, Siyo Black Africa tu. Kidogo Egypt wanaweza kupigana lakini nao watalazwa chali. Angola wana F18 lakini they are no match to SA. Tusisahau kwama SA wana teknolojia ya nyuklia kutoka miaka ya 70. Wakishindwa kabisa they might pull a Nagasaki on their enemy.
 
Hiyo ni kwa sababu za kifisadi na uamuzi wa kutochanganya kazi ya jeshi na polisi au hujaona kinachotokea jeshi letu linapoingilia kati...

Subiri aingie madarakani Rais kama Idi Amin, Paul Kagame au Yoweri Museveni uone kama kuna mtu atakatisha hapo kwenye EEZ...
Basi, either kwa sababu ya ufisadi, mipango mibovu na sababu kadha wa kadha, jeshi letu siyo imara kama unavyotaka tufikirie. Jeshi haliwezi kununua helikopta za kiraia na kuwa za kivita. Hata mounted machine guns zinaizidi uzito !!
 
lakini wapakistani wamegwaya kwa american drones. Hawana hamu, utawaona wanakimbia na kanzu hovyo kisa wamesikia mlio.
 
enzi za cold war ambapo mnapewa silaha bure zimekwisha,sasa hivi ni pesa yako,wataalam wa mambo ya kijeshi wanatazama % ya national product inayokwenda kwenye ulinzi,in that case sisi tanzania net national product yetu tayari ndogo hivyo basi we cannot afford to buy any weapons ndiyo maana hata choppers za kiraia zinatumiwa jeshini
 
hao wote anawa BLITZ kama hitler alivyoifanya poland,naadhani atatoka jasho kidogo akikutana na nigeria

wewe medani za vita hujui, nigeria hawana chochote ktk mbinu vitani, labda kama unaongelea vifaa. kumbuka Idd Amin alikuwa na vifaa mara 2 yetu lakini alifulia.
 
Hamna kikwazo kwa Africa Kusini in the whole of Africa, Siyo Black Africa tu. Kidogo Egypt wanaweza kupigana lakini nao watalazwa chali. Angola wana F18 lakini they are no match to SA. Tusisahau kwama SA wana teknolojia ya nyuklia kutoka miaka ya 70. Wakishindwa kabisa they might pull a Nagasaki on their enemy.

Acha kuupotosha umma. Nyuklia ya Sauzi Wamarekani walihakikisha haibaki kwenye mikono ya 'weusi'. Waliyo nayo sasa hivi ni ya kutengeneza umeme tu na sio silaha za maangamizi ya halaiki. Kama huamini kasomeni hayo magazeti yenu ya vita mnayodai kuwa yanaaminika - au google hii ishu!
 
wewe medani za vita hujui, nigeria hawana chochote ktk mbinu vitani, labda kama unaongelea vifaa. kumbuka Idd Amin alikuwa na vifaa mara 2 yetu lakini alifulia.
nani alikwambia amin alikuwa na vifaa,hizi ni propaganda,mbona waganda mpaka leo wanaisimulia katyusha wanasema walikuwa hawajawahi ona kitu inapiga mluzi,wakisikia mluzi tu si raia wala wanajeshi wote wanayatafuta maandaki.
 
Acha kuupotosha umma. Nyuklia ya Sauzi Wamarekani walihakikisha haibaki kwenye mikono ya 'weusi'. Waliyo nayo sasa hivi ni ya kutengeneza umeme tu na sio silaha za maangamizi ya halaiki. Kama huamini kasomeni hayo magazeti yenu ya vita mnayodai kuwa yanaaminika - au google hii ishu!

Elewa maelezo kwanza kabla haujanukuu, nimeandika wana teknolojia. hiyo, na uwezo pia wanao,lakini hawana silaha hiyo, Mandela alifuta program hiyo alipochukua nchi,haina maana kwamba walichoma moto program yote. Ni tofauti na North Korea sasa hivi, au Iran wao ndiyo wanakimbilia huko. SA waliishafika huko tayari.
 
Back
Top Bottom