Vita Rashid Mfaume Kawawa

MwanaJamii; si mzee Kawawa ni Vita ni mtoto wa wa mzee kawawa ndiye anazungumziwa hapa.
Inaelekea cv yake bungeni inawalakini.
Waliona habari kamiri endeleeni kutu habarisha.
:D:D:D:D:D:D:D:D

Oh aksante sana Mchukia Fisadi kwa kuniondoa tongotongo la ubongo maana nilishapitwa mie.
Thanx bro.


Mh isijekuta ndo yale yale kaingizwa kwa vile mtoto wa........ I wish nami baba yangu angekuwa kiongozi mbona ngefaidi.... maana kama si ubunge basi japo umeneja BOT ningepata pamoja na kuwa elimu yangu ya ngumbaru.
 
Sifa ya kuwa mbunge; ujue kusoma na kuandika kiswahili!.
CBE huwa na kozi ya mwaka mmoja ili mtu apate ADBA-provided ana Diploma ya kawaida. Nahisi kuna kitu kimerukwa kwenye hiyo CV
 
Kumezuka kamtindo ka viongozi wetu kurithisha wanawao madalaka ya nchi hii.
Najua kwamba kuna watu wanakuja na hoja kwamba kwani ni vibaya? Sawa si vibaya lakini haka kamtindo kamezuka.
Nami nawambia nyie msio na mama au baba kiongozi wa nchi hii huko mbele subirini kama mtapata uongozi wa nchi hii.
Mwaka 2015 utasikia Ridhiwani naye anagombea ubunge:D
 
katiba haijatoa sifa ya elimu kwa mtu kugombea ubunge.ila hiyo miaka ndo inatisha!
 
Kumezuka kamtindo ka viongozi wetu kurithisha wanawao madalaka ya nchi hii.
Najua kwamba kuna watu wanakuja na hoja kwamba kwani ni vibaya? Sawa si vibaya lakini haka kamtindo kamezuka.
Nami nawambia nyie msio na mama au baba kiongozi wa nchi hii huko mbele subirini kama mtapata uongozi wa nchi hii.
Mwaka 2015 utasikia Ridhiwani naye anagombea ubunge:D


Ukisikia ku make a storm in a tea cup ni huku sasa.... Vita ni Mbunge tena Mbunge wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa sasa kama kurithishwa ni wananchi waliomchagua ndio waliofanya hivyo.

CV ya Vita ipo safi kabisa, nilikuwa pale CBE ukimaliza DBA ya miaka miwili ukiamua unamalizia tu mwaka mmoja na kuchukua advanced Diploma utaratibu huo upo hata hapa UK ukimaliza HND ( Higher National Diploma ) miaka miwili unamalizia mwaka mmoja na kupewa degree. Sasa why all the fuss?

Mh Vita hajafoji cheti kama yule Mbunge wa Buchosha na humo bungeni kunalundo la ma standard seven na form four failures, majungu tu yamewajaa.

Afterall kigezo cha chini kuwa Mbunge ni kujua na kusoma kiswahili sasa mtu mwenye advanced Diploma mnahoji ukisikia personal vendetta ndio hizi
 
Ukisikia ku make a storm in a tea cup ni huku sasa.... Vita ni Mbunge tena Mbunge wa kuchaguliwa na sio kuteuliwa sasa kama kurithishwa ni wananchi waliomchagua ndio waliofanya hivyo.

CV ya Vita ipo safi kabisa, nilikuwa pale CBE ukimaliza DBA ya miaka miwili ukiamua unamalizia tu mwaka mmoja na kuchukua advanced Diploma utaratibu huo upo hata hapa UK ukimaliza HND ( Higher National Diploma ) miaka miwili unamalizia mwaka mmoja na kupewa degree. Sasa why all the fuss?

Mh Vita hajafoji cheti kama yule Mbunge wa Buchosha na humo bungeni kunalundo la ma standard seven na form four failures, majungu tu yamewajaa.

Afterall kigezo cha chini kuwa Mbunge ni kujua na kusoma kiswahili sasa mtu mwenye advanced Diploma mnahoji ukisikia personal vendetta ndio hizi
Mbona umekuja na wahaka.........hakuna aliebisha kuwa sytem ya dip miaka 2 na mwaka mmoja wa adv dipl ipo...

Vita kwenye Cv yake hakujaonyeshwa kama alipata diploma ya miaka mi2 kabla ya mwaka mmoja huo wa adv diploma......
 
Mbona umekuja na wahaka.........hakuna aliebisha kuwa sytem ya dip miaka 2 na mwaka mmoja wa adv dipl ipo...

Vita kwenye Cv yake hakujaonyeshwa kama alipata diploma ya miaka mi2 kabla ya mwaka mmoja huo wa adv diploma......

Ur missing the whole point qualification wise hutangulizwa ile kubwa kama kwa kuwa kishapata adv dip ambayo ni extension ya ord dip kuweka tena ord dip ingekuwa ni tautology isiyo na lazima....
 
Ur missing the whole point qualification wise hutangulizwa ile kubwa kama kwa kuwa kishapata adv dip ambayo ni extension ya ord dip kuweka tena ord dip ingekuwa ni tautology isiyo na lazima....
Sijakataa........lakini ile ya dip ya miaka miwili sioni au alisoma akiwa O level?
 
..hakuna anayekataa kuwa sifa kuu ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika [kiswahili na kingereza]...nina shaka na kuelewa,...well huyu vita hakuna ambaye angekuwa na tatizo naye kama angeamdika tu kuwa elimu yake ni ya kidato cha nne proudly.......tatizo amefanya misrepresentation ya qualification zake kwa kuweka kwenye cv elimu ambayo ..uwezekano mkubwa hana wala hajawahi kuipata ....hii ni forgery na inatosheleza kumuondoa bungeni kama alivyoondolewa kihiyo.........

Inaeleweka wazi kuwa hakuna advance diploma ya kusoma mwaka mmoja...tena bila ushahidi kuwa alifika high school au at list alijiendeleza hadi kufikia kufanya mitihani ya form six as private candidate....au alifanya certificate ya business baada ya form four ili kumpatia sifa ya kuingia advance....!!!

Anayo kesi ya kujibu!
 
Tuache udaku wa vijiwe/saloon za ususi. tuongee hoja nzito.unaweza kuwa na degree nyingi tuu ukawa bomu
 
Tuache udaku wa vijiwe/saloon za ususi. tuongee hoja nzito.unaweza kuwa na degree nyingi tuu ukawa bomu

Upo sawa kabisa. Kwanza kuna maswali mengi ya kujiuliza hivi pamoja na cv yake haijakamilika kwa majubu wa madai, hivi hiki chuo cha uingereza hakikuangalia background ya elimu yake. Tuache uzandiki kwani vita amechaguliwa na wananchi wa Namtumbo kwa kuzingatia sifa walizoona anazo. Ila hoja kama hii mneelekeza kwa wale wa la saba waliotajwa kufoji vyeti ningewaelewa tena wengine ni mawaziri.
 
Huyu ndio mbunge wa jimbo la Namtumbo na ufuatao ndio wasifu wake kwa mujibu wa tovuti ya Bunge

Kazaliwa Mwaka 1964
Elimu yake ni kama ifuatavyo

Shule ya msingi Turian:1972-78

Sekondari Agakhan Mzizima :1979-82

Elimu ya juu College of Business Education:Advanced Diploma in Business Administration:1988-89 and Certificate in Computer Data Processing mwaka huu huu 1988 mpaka 1989

Pia kahudhuria

The City and Guilds of London Institute na kutunukiwa The City and Guilds of London Institute mwaka 1996

Form four asome advanced diploma wakati ule si kweli?
 
Sioni tatizo na cv yake. He is humble na ni mtu wa watu. Nilisoma nae sekondari. Tulikuwa tunadandia mabasi licha ya cheo kikubwa cha baba yake. Kabla ya ubunge nilikuwa namuona akifanya ujasiria mali anaye struggle kupata mafanikio. To me he is very okay.
 
Taifa lina majamga makubwa sana,sehem moja wapo ya kujadili majanga hayo ni kwenye social networks ambazo ata waheshimiwa wenyewe wanazitembelea pia,sasa siona kama ni busara kuzozana CV ya vita kawawa,namtumbo wamemkubali na anawafaa na CV iyo iyo,tuongelee changamoto za DISCOVERY OF OIL AND GAS TANZANIA,mana ina effect kubwa kwa uchumi wa nchi yetu yuliwa makini
 
Back
Top Bottom