Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
vin,huogopi kupigwa 'misumari'?
Mie ndio mwenye kiwanda cha misumari...karibu sana
vin,huogopi kupigwa 'misumari'?
Mamndenyi najua wala sina hofu coz hata huku niliko na The secretary gari tunalotumia ni la Bishanga alimpa mkewe wakati kazimika na tunakula good time kwa gharama za huyo mzee Bishanga tajiri wa kihaya anayetesekea mapenzi yan hajawahi kuenjoy hata siku mojaMi nina msimamo wa kati,
Erickb52 lile gari tunalotumia kwenye safari zetu za kusuluhisha ndoa si unajua ametoa Bishanga kama msaada kwa jf.
habari ya samunge? babu hajambo?mwenye kisu kikali ndo hula nyama mkuu!
Mamndenyi najua wala sina hofu coz hata huku niliko na The secretary gari tunalotumia ni la Bishanga alimpa mkewe wakati kazimika na tunakula good time kwa gharama za huyo mzee Bishanga tajiri wa kihaya anayetesekea mapenzi yan hajawahi kuenjoy hata siku moja
jg usiparamie msitu na kiwembe,utaumia.Wa kwenda fesi buku kwa akina erick nani? bishanga ndo umslopogas wa jf,gongeni kifua chake mparanganyike.Hii issue Baba v uko sahihi, mimi niseme
Those skillde in wars brin' the enemy to the field of battle , and are not brought there by him.
Under ground war with that Bepari also are needed , as such as B52 attack him kwa kujibariki The secretary!
But secret operations are essential in war , au kwa bandiko hili mwenyewe mdogomdogo awahi kutafuta ukimbizi fcbk .
Mi nina msimamo wa kati,
Erickb52 lile gari tunalotumia kwenye safari zetu za kusuluhisha ndoa si unajua ametoa Bishanga kama msaada kwa jf.
Remmy kidogo kidogo nimeanza kukupenda ujue?
Wala usiwaze Bishanga we endelea kuenjoy na TANZANITE yako si tunagonga dhahabu tu na bibie
The secretary achana nao hao wapendane tu sisi tuendelee na mapenzi yetu mapyaHata na mie naona
utajiri wenyewe wa juju kulala unalala chini
tena huruhusiwi kulala bila nguo, ataenjoy nini hapo tena.
mgongo mama mgongo unasumbuale bishanga mutu ya pesa mingi ila analala chini!!!
@Tthe secretary umeniuzi sana ujue,nimekununia.Hata na mie naona
Usihangaike kupenda kidogo....we penda kabisa coz si ndio haturudi nyuma tena