Vita mpya mji wa Mosul nchini Irak, kuwaondoa ISIS yaanza

Sasa hao Islamic States hizo drone uzisemazo wewe wamezipata wapi...?
1477116092543.jpg
1477116099166.jpg
 
Syria imeshindikana na Mrusi amewavimbia Waamerika, vita imehamishiwa Iraq. Hivi ni lini haya mambo yasio na tija kwa wanaadamu yatakwisha ili ndugu zetu waishi kwa amani kama zamani?
 
Tuliambiwa ni bibi zetu....kuwa uyaoneee.....sasa....tuna miaka....20+...tumeshaanza kuona maana ya ule usemi...."KUWA UYAONE" .......!!!!!!!!!
 
Wakuu, hiyo ndiyo vita inatengenezwa kati ya nchi za magharibi na Russia/ Syria kwani hiyo njia ya kukimbilia iliyopo upande wa magharibi inaelekea nchini Syria.
Mkuu, kama haujui Sasa hivi ISIS wanatorekea Ulaya wakiwa katika sura za wakimbizi.
Designer USA na Europe aliye design hii kitu alikosea sana pale alipo underestimate Russian capability. Walijua isingechukua hata miezi mitatu kwa Assad kubaki madarakani tangu walipochichea Yale maandamano.
Walipopata nafasi ya kurekebisha blue print yao, wakajua vile vikwazo ndiyo destiny ya Russia. Masikini, kumbe kati ya roho saba za Russia, mpaka Sasa hawajafanikiwa kuigusa hata Moja.
 
Richard nimemsikiliza Sergei Lavrov leo mchana kasema hili shambulio wanakubaliana nalo lakini bado linaleta ukakasi. Kwasababu kama shambulio litaendelea ina maana kutakuwa na wakimbizi wengi ambao mpaka sasa Shirika la msalaba mwekundu (ICRC) linasema wanaweza kufika zaidi ya laki tatu.
Ukiangalia ramani sehemu ambayo wakimbizi wanaweza kufika kwa urahisi sana ni Uturuki na Syria. Japo kuingia nchini Uturuki ni ngumu kwasababu hali ya hewa ya kisiasa haijakaa vizuri baada ya jaribio la uasi; hivyo wakimbizi watapata vikwazo vingi sana.

Hapo njia rahisi kwa wakimbizi itakuwa ni kuingia nchini Syria, na hili linawezekana kwasababu maeneo mengi ya mipaka hayapo chini ya uangalizi mzuri. Sasa wakimbizi zaidi ya laki moja wanapoingia kwenye nchi huwezi kujua mbaya ni yupi na mwema na yupi. Magaidi wanaweza wakajichanganya humo humo pamoja na wakimbizi. Na kinachotatiza zaidi ni kwamba mpaka sasa inasemekana Marekani kapeleka wakufunzi wa kijeshi kama 5000 nchini Iraq ambao humo ndani unweza kuta nao wakajichanganya na wakimbizi na kwenda kuongeza nguvu huko Syria.

Hapa anayetafutwa ni Urusi na Syria,
Tena kuna fununu zinasema kwamba Saudi Arabia imewaambia Magaidi wakimbie Mosul na kuelekea Syria. Huko watendelea kulindwa na kupewa silaha. Binafsi naamini huu uvumi kwasababu kwenye E-Mail za Clinton zilizovujishwa na Wiki-Leaks wiki lililopita zinaonyesha Hillary akikubali kwamba silaha zinafika kwa magaidi kupitia Saudi Arabia. Marekani anajifanya anawauzia waarabu kumbe wao wanazipeleka kwa magaidi huko Syria na Iraq. Sasa hapa lazima ujiulize sana kama kweli wanamapenzi mema na kuikomboa Mosul kama wanavyosema.
Mkuu, hiyo strategy wala haimuumizi kichwa Russia, suala la namna ya Ku deal na the locals linasimamiwa kwa karibu sana na Iran ambaye hutumia vikundi vyake vya kiharakati kupenyeza watu wake na kupata taarifa. Hii partnership ya Iran na Russia ndiyo chanzo cha kufeli kwa Marekani katika sakata la Syria.
Kinachoenda kuwapata Sasa hivi ni tetemeko. Ngoja Muingereza amalize kuisindikiza ile ngoma ya mdundiko (Meli ya Russia inaypita pale British Channel)
 
Mkuu Koba nimekwisha kwambia quangmire ya Afghanistan aiwezi kujirudia nchini Syria na Wala Merikani na washirika wao awawezi kufanya lolote huko Syria, si rahisi ku risk kuingia vitani moja kwa moja na Urusi kwa sababu ya Syria, pamoja na mapungufu yao Wamerika sio wajinga kufanya miscalculations ambayo zinaweza kula kwao wakajikuta ina wa cost an arm and leg, hata Hillary akingia madarakani atafuata ushauri wa mumewe na siyo wapenda vita - Bill awezi kumruhusu mkewe ndiye awe chanzo cha WW3 vita ambavyo matokeo yake yatakuwa highly unpredictable. Kumbuka nchi zote mbili hakuna ambaye ana appetite ya kupigana vita.
Kingine nikionacho kwenye huu mgogoro ni kwamba Russia anatoa fire cover kwa China kuimarisha uchumi wake na kumdondosha Marekani.
 
Hizo zinapita zinaelekea bahari ya Mediterranean na kisha kuelekea Syria.

Hakuna anaeweza kuzizuia ila Uingereza , NATO na wengine wanaziangalia tu zikipita na kuhakikisha zinapita salama.
Kwa kifupi wametoroka 'madarasani' ili kwenda kuzishangaa. Maana walikua wanasimuliwaga tu kuhusu meli za kivita za Russia.
 
Mkuu, kama haujui Sasa hivi ISIS wanatorekea Ulaya wakiwa katika sura za wakimbizi.
Designer USA na Europe aliye design hii kitu alikosea sana pale alipo underestimate Russian capability. Walijua isingechukua hata miezi mitatu kwa Assad kubaki madarakani tangu walipochichea Yale maandamano.
Walipopata nafasi ya kurekebisha blue print yao, wakajua vile vikwazo ndiyo destiny ya Russia. Masikini, kumbe kati ya roho saba za Russia, mpaka Sasa hawajafanikiwa kuigusa hata Moja.

Hiyo naifahamu tangu miaka minne ilopita, maana huu mpango ni wa muda mrefu tangia Libya ivamiwe.

Kwa kifupi bara la Ulaya kwa sasa lina matatizo makubwa sana.
 
Mkuu, hiyo strategy wala haimuumizi kichwa Russia, suala la namna ya Ku deal na the locals linasimamiwa kwa karibu sana na Iran ambaye hutumia vikundi vyake vya kiharakati kupenyeza watu wake na kupata taarifa. Hii partnership ya Iran na Russia ndiyo chanzo cha kufeli kwa Marekani katika sakata la Syria.
Kinachoenda kuwapata Sasa hivi ni tetemeko. Ngoja Muingereza amalize kuisindikiza ile ngoma ya mdundiko (Meli ya Russia inaypita pale British Channel)
Yani hapo mwisho kwa jinsi ulivyo pamalizia umeniacha kwa kicheko mkuu

 
russian-ships-channel.jpg

Meli ya kivita ya Russia iitwayo Admiral Kuznetsov ikipita kwenye pwani ya Devon nchini Uingereza, huku watu mbalimbali wakiiangalia.

Inasemekana kwamba raisi Putin amefanya hivyo makusudi kuwapoteza watu ambao wangezingatia kitendo hiki huku mambo mengine yakifanyika sehemu ingine.

Vyombo mbalimbali vya habari barai Ulaya na Uingereza vyote vilipumbazwa na mbinu hii ya Putin ambayo ililenga kuwazubaisha na huku wakiwa wanategea mambo mawili makuu.

Kwanza, ni kutaka kuunyesha ulimwengu uwezo wa kijeshi wa Russia na pili kuzisomba vyomb0 vyote vya habari ili vielezee habari hiyo na kuifanya kubwa ili kupata maoni ya watu.
 
russian-ships-channel.jpg

Meli ya kivita ya Russia iitwayo Admiral Kuznetsov ikipita kwenye pwani ya Devon nchini Uingereza, huku watu mbalimbali wakiiangalia.

Inasemekana kwamba raisi Putin amefanya hivyo makusudi kuwapoteza watu ambao wangezingatia kitendo hiki huku mambo mengine yakifanyika sehemu ingine.

Vyombo mbalimbali vya habari barai Ulaya na Uingereza vyote vilipumbazwa na mbinu hii ya Putin ambayo ililenga kuwazubaisha na huku wakiwa wanategea mambo mawili makuu.

Kwanza, ni kutaka kuunyesha ulimwengu uwezo wa kijeshi wa Russia na pili kuzisomba vyomb0 vyote vya habari ili vielezee habari hiyo na kuifanya kubwa ili kupata maoni ya watu.
Kumbe wazungu ni washamba hivi. Cheki wanavoshangaa vyombo vya Mrusi. Hapo huenda wakichungulia kwenye radar hawaioni hivyo wakaamua kuiangalia 'pekupeku'.
 
Mkuu Koba nimekwisha kwambia quangmire ya Afghanistan aiwezi kujirudia nchini Syria na Wala Merikani na washirika wao awawezi kufanya lolote huko Syria, si rahisi ku risk kuingia vitani moja kwa moja na Urusi kwa sababu ya Syria, pamoja na mapungufu yao Wamerika sio wajinga kufanya miscalculations ambayo zinaweza kula kwao wakajikuta ina wa cost an arm and leg, hata Hillary akingia madarakani atafuata ushauri wa mumewe na siyo wapenda vita - Bill awezi kumruhusu mkewe ndiye awe chanzo cha WW3 vita ambavyo matokeo yake yatakuwa highly unpredictable. Kumbuka nchi zote mbili hakuna ambaye ana appetite ya kupigana vita.
na wakithubutu tuu kupigana ww3 ndio utakua mwisho wa Amerika as super power
 
Very soon tutamsikia waziri mkuu wa Uingereza akiishukuru serikali ya Russia kwa kuchagua kupitisha meli yake pale British Channel na kwamba kitendo hicho kimeipa heshim sana Uingereza kwa kuitangaza, na kupelekea watalii kukusanyika kwa wingi toka sehemu mbalimbali duniani.
Pia ilikua fursa kwa jeshi la uingereza na wana sayansi wao kujifunza pia ataongeza kuwa ingawa wamesikitishwa kwa kitendo cha russia kuificha meli yao isionekane kwenye radar na kwa kusaabisha mawasiliano ya vyombo vyao vy ulinzi vilivyokua umbali fulani kutoka ilipo meli hiyo kuwa scrambled
 
Back
Top Bottom