Vita mpya mji wa Mosul nchini Irak, kuwaondoa ISIS yaanza

Napata ukakasi sana nchi za magharibi style yao vita.. haiwezekani gaidi mmoja lakini mji mzima mnaangamiza kwa mabomu matokeo yake wanakufa watu wasio hatia...!
Isis wanatumia kivuli cha kukichanganya na raia kama human shield
 
Russia atapoteza hii vita in a long run. Sioni Russia akiweza kufund budget ya kupigana hii vita muda mtefu tena ukizingatia sasa hivi ni kama vile anatengenezewa "monster" apigane na adui wengi mwisho ataingia hasara kubwa atalazimika kuondoka tu. Wait and see
Ni mtazamo wako mkuu,, ila ujue wao wanawaza mara nyingi zaidi yako
 
Russia leo imesogeza meli zake za kivita sita, Nyambizi moja, meli sita za kusaidia na meli mbili kutokea Ureno na Ulaya kuelekea bahari ya Mediterranean kupitia mkondo wa maji ulipo Uingereza wa English Channel.

Meli sita za jeshi la nchi za NATO na ile ya makomandoo wa Uingereza zilikuwa njiani kwenda kujaribu kusaidia mpito wa msafara wa meli za Russia kama zinavyoonekana kwenye picha.

ad_223291801.jpg

Meli kubwa ya kivita ya Russia iitwayo Admiral Kuznetsov’ na ingine ‘Pyotr Veliky’ zikiondoka katika pwani ya Norway.
ad_223301613.jpg

Ndege za kivita za Russia zikifanya mazoezi halisi Live Fire kwenye bahari ya Norway.

war.jpg

Pilikapilika kwenye bahari ya Kaskazini North Sea na ile ya mkondo wa English Channel mapema leo.

ad_223291937.jpg

Ndege mbili za kivita aina ya SU 33 zikifanya mazoezi kwenye bahari ya kaskazini mwa Norway.

ad_223291799.jpg

Askari wa majini wa Norway wakiwa ndani ya meli yao iitwayo KNM ‘Fridtjof Nansen’ wakiangalia meli za kivita za Russia zikipita kwemye bahari yao kuelekea bahari ya Mediterranean.
 
Russia leo imesogeza meli zake za kivita sita, Nyambizi moja, meli sita za kusaidia na meli mbili kutokea Ureno na Ulaya kuelekea bahari ya Mediterranean kupitia mkondo wa maji ulipo Uingereza wa English Channel.

Meli sita za jeshi la nchi za NATO na ile ya makomandoo wa Uingereza zilikuwa njiani kwenda kujaribu kuzuia msafara wa meli za Russia kama zinavyoonekana kwenye picha.

ad_223291801.jpg

Meli kubwa ya kivita ya Russia iitwayo Admiral Kuznetsov’ na ingine ‘Pyotr Veliky’ zikiondoka katika pwani ya Norway.
ad_223301613.jpg

Ndege za kivita za Russia zikifanya mazoezi halisi Live Fire kwenye bahari ya Norway.

war.jpg

Pilikapilika kwenye bahari ya Kaskazini North Sea na ile ya mkondo wa English Channel mapema leo.

ad_223291937.jpg

Ndege mbili za kivita aina ya SU 33 zikifanya mazoezi kwenye bahari ya kaskazini mwa Norway.

ad_223291799.jpg

Askari wa majini wa Norway wakiwa ndani ya meli yao iitwayo KNM ‘Fridtjof Nansen’ wakiangalia meli za kivita za Russia zikipita kwemye bahari yao kuelekea bahari ya Mediterranean.
Hivi nifahamishe kidogo....!!

Hizo meli Rusia zimezuiwa au..??
Zilikuwa zinaelekea wapi...??
 
Hivi nifahamishe kidogo....!!

Hizo meli Rusia zimezuiwa au..??
Zilikuwa zinaelekea wapi...??

Hizo zinapita zinaelekea bahari ya Mediterranean na kisha kuelekea Syria.

Hakuna anaeweza kuzizuia ila Uingereza , NATO na wengine wanaziangalia tu zikipita na kuhakikisha zinapita salama.
 
Hizo zinapita zinaelekea bahari ya Mediterranean na kisha kuelekea Syria.

Hakuna anaeweza kuzizuia ila Uingereza , NATO na wengine wanaziangalia tu zikipita na kuhakikisha zinapita salama.


Ahsante Mkuu.... Ila wanamuangalia kidume jinsi anavyopita.

Je. Mkuu hiyo Norway ni NATO...?
 
Hahahabahahahahahahahahahahahah


Umemsikia Mugabe wa Ufilipino huko alivyo ipiga Chini USA....???

Na maanisha Rodrigo Duterte.....!!!

7952654-3x2-940x627.jpg


Huyu jamaa amekwenda China na ujumbe wa watu 200.

Wamesaini mkataba wa Dolali milioni 13.5

Amesema- "With that, in this venue, your honours, in this venue, I announce my separation from the United States,"

Akaendelea, "I have separated from them. So I will be dependent on you for all time"

Kisha akamalizia - "But do not worry. We will also help as you help us."

Msemaji wa White House bwana John Kirby amesema kwamba- Matamshi ya Durtete ni kama -"inexplicably at odds with the very close relationship" na kwamba akaendelea kusema, "We are going to be seeking an explanation of exactly what the president meant when he talked about separation from us,".

Dah!

:D:D:D
 
7952654-3x2-940x627.jpg


Huyu jamaa amekwenda China na ujumbe wa watu 200.

Wamesaini mkataba wa Dolali milioni 13.5

Amesema- "With that, in this venue, your honours, in this venue, I announce my separation from the United States,"

Akaendelea, "I have separated from them. So I will be dependent on you for all time"

Kisha akamalizia - "But do not worry. We will also help as you help us."

Msemaji wa White House bwana John Kirby amesema kwamba- Matamshi ya Durtete ni kama -"inexplicably at odds with the very close relationship" na kwamba akaendelea kusema, "We are going to be seeking an explanation of exactly what the president meant when he talked about separation from us,".

Dah!

:D:D:D
Vp kuhusu jeshi La mardo
 
Kuhusu jeshi la Marekani na uhusiano wao

Uhusiano wa Philippines na Marekani ni wa kiuchumi na kijeshi na hata hivi karibuni bado Marekani walikuwa wakifanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Phillipines.

Hivyo itabidi Philippines izungumzie rasmi kuhusu kujitenga na Marekani katika nyanja hizo mbili.

Ila China anataka kuendelea kubadilishana vifaa vya umeme na maembe dodo ya Philippines.
 
Nimeangalia tv muda huu inaonyesha vita imepamba moto kweli kweli na Islamic state wametuma drone mbili katika uwanja wa vita na moja ikaangushwa, mpaka muda huu wameshakufa raia ishirini wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom