Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
mtoto anayekulaumu haelewi.. CCM huwa hawajibu hoja, wao huleta vioja.. na kama ni mlango huo ndio wameufungua.. wajue in war, every thing is fair game.. sasa tukubali hilo na tuanze mchezo huo mchafu tuangalie.. maisha binafsi ya viongozi. Ndio maana, bado nasimamia principle yangu ya mwanzo. Personal issues sijali sana unless zinahusu criminal activity. Kama hao CCM wanaamini kuwa Dr. Slaa ameshiriki katika mauaji mbona hawajamfungulia mashtaka, kama yeye ni fuska mkubwa, watuoneshe basi mafuska wadogo pale Dodoma, hoja hizi ni za kitoto.
Mambo ya binafsi tunawaachia binafsi, niliyeakataa kwa Amina, niliyekataa kwa Zitto, na ninayakataa kwa kiongozi mwingine yoyote, siyo kwa vile hatujui details za maisha yao na mambo ambayo wameyafanya lakini kwa sababu hatutaki kuingia mtego huo.
Mimi kwa hili sina la kuchangia, ila ninachosema ni kuwa "wewe ukidhania unajua hili, wenzio wanajua lile".. na mkuki utakapogeuzwa kwa binadamu tutaambiwa "nendeni mahakamani!" au "waambieni Takukuru"..
Mambo ya binafsi tunawaachia binafsi, niliyeakataa kwa Amina, niliyekataa kwa Zitto, na ninayakataa kwa kiongozi mwingine yoyote, siyo kwa vile hatujui details za maisha yao na mambo ambayo wameyafanya lakini kwa sababu hatutaki kuingia mtego huo.
Mimi kwa hili sina la kuchangia, ila ninachosema ni kuwa "wewe ukidhania unajua hili, wenzio wanajua lile".. na mkuki utakapogeuzwa kwa binadamu tutaambiwa "nendeni mahakamani!" au "waambieni Takukuru"..