there's more to come ! lets party !
Hawana jipya hawa. Kuna hoja milioni za kujibu na bado hawajajibu halafu leo wanatuletea ngonjerara zao.
Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?
--------------------------------------------------------------------------------
Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?
Kanda wa Upinzani do you real think kwamba Dr.Slaa alitoa hutuma za Nchi kuliwa hadharani akiwa na nia ya kupata madaraka ?Unaamini kwamba anautaka Uraisi na njia ya kuupata ni hii ? I think tha guy is sincere kwa kila jambo lake .Zitto yuko hapa na wako akina Mnyika watatueleza. Zitto ni Naibu Katibu Mkuu means working closely na Slaa so he migh have more to tell .Lakini hizi tuhuma ziko hapa tu mbona wasiende in Public domain na kusema kama wana uhakika nayo ? Nadhani Kanda you can do better like this . Hivi una furahia Nchi kuliwa na jamaa zako na Slaa kusema unaanza kulta ushabiki wa kisiasa ?Shame on you CCM guys .Nadhani hapa wengi wanaongelea Utaifa na si vyama . Hapendwi mtu ila issue na maslahi ya Taifa hili .
Uchunguzi umeonesha kwamba, Dr. SLAA ni fuska aliyebobea, na anayo tabia ya kufanya mapenzi na wake wa marafiki zake hata baada ya kuoa.
Dr. SLAA anasumbuliwa na 爽gonjwa mkubwa・ Amekuwa akienda kutibiwa mara kwa mara nchini Afrika Kusini. Mwezi Oktoba hadi Desemba, 2006, SLAA alilazwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam akitibwa 組onjwa moja hatari sana ・
this is nonsense..Dr. SLAA alikuwa kachero wa Idara ya Usalama wa Taifa kama alivyo LYATONGA MREMA na alikuwa anaendelea kulipwa kiasi kikubwa cha fedha. Baadaye Idara hiyo nyeti iligundua fedha hizo anapeleka kwa hawara zake hivyo ikasitisha malipo
kwa hiyo inawezekana Dr. Slaa ni shoga pia?badala yake hulala kwa rafiki yake ambaye inadaiwa ni shoga.
Wabongo,
Nikiwa mwanachama wa CCM, ninaamini hizi habari kama ni kweli au si kweli, HAZINA mantiki yoyote.
Kwanza ni za kiuchonganishi.
Pili ni Binafsi
Tatu zimetolewa baada ya yeye kuanika UFISADI hadharani kwahiyo itaoneka ni za uzushi tu.
Mwandishi amekosa namna ya kuwa pata hadhira wake, amekuwa too personal.
Kama mwandishi yumo humu anitafute hata kwenye PM nimwandikie upya, hasa kwa lengo la kuivuruga Chadema na sio Dr SLAA.
Kada,
You know that God is omniscient. That is the only person I believe. No more, no less.
mmmeiona? maana kunawatu wengine vichwa maji sana. Wakiambiwa hii tumeipata kwa e mail wanafikiria sisi ni washabiki wa sisiem. Someni post zangu zote muone msimamo wangu wa kisiasa uko wapi. Jamani watu wananilaumu lakini mwanzo nilisema nii nimeipata kwa e mail mnataka BUBU mnataka source gani? Kwani nyie hamjawahi kupokea e mail za forward? Kwanza hata issue ya Balali na BOT mimi niliipata kwa njoa ya email.
mmmeiona? maana kunawatu wengine vichwa maji sana. Wakiambiwa hii tumeipata kwa e mail wanafikiria sisi ni washabiki wa sisiem. Someni post zangu zote muone msimamo wangu wa kisiasa uko wapi. Jamani watu wananilaumu lakini mwanzo nilisema nii nimeipata kwa e mail mnataka BUBU mnataka source gani? Kwani nyie hamjawahi kupokea e mail za forward? Kwanza hata issue ya Balali na BOT mimi niliipata kwa njoa ya email.
Msimalaumu Mtoto wa mkulima jamani,yeye katuletea hili jambo hausiki na chochote kile.Msimamo wake ni tofauti na kile kilichoandikwa humu.
Msimalaumu Mtoto wa mkulima jamani,yeye katuletea hili jambo hausiki na chochote kile.Msimamo wake ni tofauti na kile kilichoandikwa humu.