Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Jamani, jana sikwenda kazini, nikafungulia radio fulani hivi, sijui inaitwa radio heri au nini ile, ya waislam. kulikuwa na shehe mmoja hivi alikuwa anaongoza mjadala wa "kwanini wakristo wanakuwa wazungumzaji wakuu wa mambo ya kiislam kuliko waislam wenyewe", jambo walilokuwa wakisimamia ni kuhusu "mahakama za kadhi" na pili ni "kujiunga na OIC". niliacha vitu vyote nikaanza kusikiliza. sikuamini macho yetu kutokana ya yale yaliyokuwa yakiongelewa.
nitakoti vitu vichache tu, nilimsikia yule shehe kwa masikio yangu akisema"WAKRISTO WAKIONA WAISLAM TUMEANZISHA VITA, LAZIMA TUTAWASHINDA TU KWASABABU WAO HAWANA HISTORIA YA KUTUSHINDA VITA SISI WAISLAM, NA HAPA TZ HATABAKI HATA MKRISTO MMOJA. watu wengi walipiga simu sana, wakawa wanatoa lugha za chuki na sumu huwezi amini kwamba sisi wote ni watz. wengi walikuwa wakongea kuwa, wakristo wanapendelewa na selikali ndo maana wamepewa majengo mengi ya kujenga shule na vyuo ndo maana vyuo vingi hapa tz ni vya wakristo na shule pia. wakawa wanasema kupewa jengo la Tanesco morogoro kuwa chuo kikuu haitoshi. pia, walikuwa wanasema kuwa, walifikiri kwasababu raisi wetu ni mwislam, walifikiri atafanya chochote kwaajili ya waislam, na wakawa wanaongea kama ku influence kuwa rais anatakiwa afanye hivyo. na kwamba waislam wanaonewa na makafiri ndo maana wengi wao hawajasoma kama walivyo wakristo.
jamani, nadhani kuna watu wengine mtakuwa mlisikia huu mjadala, hivi hii tz tunaenda wapi kwa kuhubiri chuki na vita kama hizi? hivi kweli watz tunaiweza vita kweli? tunaweza kuishi kwenye vita kweli?tukawaulize wenzetu wa lebanon walipopigana wenyewe kwa wenyewe kwa vita ya kidini wakristo na waislam wamefaidika na nini?, na wakristo huwa hawasikilizi kabisa hizi radio za waislam, muone namna ambavyo tunafanywa target, is this fair?radio gani ya waikristo inahubiri chuki na kuanzisha vita na waislam? is this a tz that we need?
watu wengine kama mimi, naogopa sana vita,hivi kama wataendelea na mambo kama hayo, ni bora nianze kuhamisha vitega uchumi vyangu nipeleke hata zambia tu au nchi yoyote ile ambayo nitalala bila shida. kauli za kusema kuwa, wakristo hatabaki hata mmoja, na selikali haichukui hatua yoyote ile kwenye kauli kama hizo,ni mbaya sana. Mungu ibariki Tanzania, tuepushe na watu wakatili wanaotaka tuingie kwenye vita ya kuuana. na shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu ktk hili, na wafuasi wake wote wameshindwa vilevile. Naamuru kwa jina la Yesu, hakuna vita itakayotokea Tz. amina.
nitakoti vitu vichache tu, nilimsikia yule shehe kwa masikio yangu akisema"WAKRISTO WAKIONA WAISLAM TUMEANZISHA VITA, LAZIMA TUTAWASHINDA TU KWASABABU WAO HAWANA HISTORIA YA KUTUSHINDA VITA SISI WAISLAM, NA HAPA TZ HATABAKI HATA MKRISTO MMOJA. watu wengi walipiga simu sana, wakawa wanatoa lugha za chuki na sumu huwezi amini kwamba sisi wote ni watz. wengi walikuwa wakongea kuwa, wakristo wanapendelewa na selikali ndo maana wamepewa majengo mengi ya kujenga shule na vyuo ndo maana vyuo vingi hapa tz ni vya wakristo na shule pia. wakawa wanasema kupewa jengo la Tanesco morogoro kuwa chuo kikuu haitoshi. pia, walikuwa wanasema kuwa, walifikiri kwasababu raisi wetu ni mwislam, walifikiri atafanya chochote kwaajili ya waislam, na wakawa wanaongea kama ku influence kuwa rais anatakiwa afanye hivyo. na kwamba waislam wanaonewa na makafiri ndo maana wengi wao hawajasoma kama walivyo wakristo.
jamani, nadhani kuna watu wengine mtakuwa mlisikia huu mjadala, hivi hii tz tunaenda wapi kwa kuhubiri chuki na vita kama hizi? hivi kweli watz tunaiweza vita kweli? tunaweza kuishi kwenye vita kweli?tukawaulize wenzetu wa lebanon walipopigana wenyewe kwa wenyewe kwa vita ya kidini wakristo na waislam wamefaidika na nini?, na wakristo huwa hawasikilizi kabisa hizi radio za waislam, muone namna ambavyo tunafanywa target, is this fair?radio gani ya waikristo inahubiri chuki na kuanzisha vita na waislam? is this a tz that we need?
watu wengine kama mimi, naogopa sana vita,hivi kama wataendelea na mambo kama hayo, ni bora nianze kuhamisha vitega uchumi vyangu nipeleke hata zambia tu au nchi yoyote ile ambayo nitalala bila shida. kauli za kusema kuwa, wakristo hatabaki hata mmoja, na selikali haichukui hatua yoyote ile kwenye kauli kama hizo,ni mbaya sana. Mungu ibariki Tanzania, tuepushe na watu wakatili wanaotaka tuingie kwenye vita ya kuuana. na shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu ktk hili, na wafuasi wake wote wameshindwa vilevile. Naamuru kwa jina la Yesu, hakuna vita itakayotokea Tz. amina.