Nilimsikia siku moja akisema siasa imemfilisi. Nadhani karudi kwenye uwakili wake wa kujitegemea ambao kwa hapa Tz unalipa kwelikweli na kwa muda mfupi tu. Jamaa hawa(Advocates) mimi huwa nawafananisha na waganga wa kienyeji akina Chief Matunge, Prof. Maji Marefu, Sheikh Yahya,...