Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Je kwa mtindo wa kufutia waganga wote wa jadi leseni zao za kufanya kazi ya ujuzi wao katika kile ambacho kinaitwa 'kupambana na vita dhidi ya mauaji ya Albino) kuna uwezekano wa siku chache zijazo kwa Waziri Mkuu kutangaza kufutia leseni wahasibu wote wa serikali kwa sababu ya wachache ambao wanajihusisha na vitendo vya kifisadi?
Nini/nani atamzuia?
Nini/nani atamzuia?